Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji3][emoji3][emoji3]Duh...
Hapa standard bar Kimara na ni bar inavuma siku za katikati ya wiki mauzo sio faida, mauzo ndio hiyo laki tatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Duh...
Hapa standard bar Kimara na ni bar inavuma siku za katikati ya wiki mauzo sio faida, mauzo ndio hiyo laki tatu.
Tumia pesa ikuzoeeCheki hii ni moja Kati ya bill zao..tatizo umasikini ndy unatufanya kila kitu tusiamini..Kama huamini ingia kwenye page Yao pia ukajionee na kujiridhisha mwenyewe bill zao,kuanzia chakula Hadi vinywajiView attachment 2262739View attachment 2262740
Me hata sio mdau wa huko ...kwanini niseme uongoWewe kule kidimbwi mdau sio
Kuna maeneo dar sitaenda [emoji16][emoji16][emoji16]Me hata sio mdau wa huko ...kwanini niseme uongo
Watoto wa kishua ndio wanasumbua kidimbwii. Sio matajiri wenyewe..
Wasumbufu wengi kidimbwii ni wale baba gavana BOT.. ama baba CEO bandarini...
Na kuna wale wana urithi wa nguvu. Unakuta baba na mama wamefariki wamewaachia ukumbi za maharusi na appartments za kutosha dar.. hao ndio wanachezea hela kidimbwii.. maana zinaingia tu kila siku
Shida ya kidimbwiii madem wengi ni wadangaji tu.. ukiwaona pisiii kali jichanganyeee wakuuzie ukimwi
Eti ndio niihonge fedha hiyo midudu!Mamaae hio kwenya picha ndio miji super slay queen yaan hao mtaji papuchi
Kama wapi ?Kuna maeneo dar sitaenda [emoji16][emoji16][emoji16]
Kapicha nimekaailavyu huna kengineCheki hii ni moja Kati ya bill zao..tatizo umasikini ndy unatufanya kila kitu tusiamini..Kama huamini ingia kwenye page Yao pia ukajionee na kujiridhisha mwenyewe bill zao,kuanzia chakula Hadi vinywajiView attachment 2262739View attachment 2262740
Kama kiwanja chako cha kujidai ni pale dukani kwa Mangi, kinywaji double kick mixer balimi, kwanini mada hii usione chai!Chai
Mkuu si ungesema tu kwa mtu asie na pesa sasa kutaja majina ya mitaa yetu hapa shy town ndio Nini!??Kweli mkuu, kwa mtu wa Ibinzamata,Kizumbi,Mwigumbi,Upongoji, Iselamagazi ataona hio Ni chai kabisa.Piga balimi 4 hapo mwanawane.
Hahahaha huko mbona ni kuingia gharama tuu. Wee mwambia afungue ule uzi wetu wa warembo atajiona ng'ong'ozo mwenyeweRafiki zangu wakaka wanasemaga demu wako akikusumbua mpeleke Kidimbwi akiona zile pisi kali atatulia mwenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila Kidimbwi kuna warembo jamani. Nikiendaga pale naishia tu kusema, "Wanaume wana kazi sana"
Nimecheka sana comment ya huyu jamaa ina ukweli flani soma kwa kurudia utaelewaWord.
Viwanja kama hivyo ni vya malaya,drug dealers, blackmailers, Pimps, wazee wa dark tricks zote na mafekeche
Viwanja kama hivi utapata HIV, gonorrhea, syphilis,klamedia, UTI, herpes, mifangasi.
Watu smart wenye cashflows zao wanakula hyatt regency movenpick au double tree by hilton.
Wanakula wale high class bi.tc.hes Au career women.
Mtu smart hawezi fvck demu mvuta sigara,mvuta shisha mwenye mitatoo kama gazeti.
These areas are there for the damned people with no life purposes but luckily visited with money.
Umeyataja vizuri maeneo ya nyumbani kwenu ila umesahau kukitaja kijiji cha kwenu NHALEGANI kwenye washamba wengi kupita maeneo yote uliyoyataKweli mkuu, kwa mtu wa Ibinzamata,Kizumbi,Mwigumbi,Upongoji, Iselamagazi ataona hio Ni chai kabisa.Piga balimi 4 hapo mwanawane.
Mbususu 200k dah nyie wa dah mbona mnapigwa sana🤣🤣🤣🤣🤣Hapana..ni hivi;pale kidimbwi na maeneo dizain ile mademu hawapo Kwa ajili ya kuoendana,wapo kufanya biashara na wanachouza ni k. Na hiyo k mtu atataka 200-300k one night stand..Sifanyi huo ujinga
Wenzako wanatumia hivyohivyo bila kubadili bei kuwa dolaliHizo bei ukichenji kuwa US dollars ni pesa ndogo sana.
Jamani unachosha sana humu kwa kweli, 🤦🤦wacha nitulie na mbususu tuu
Tumia pesa ikuzoeeMtaani kinywaji kinauzwa kati ya TZS 40,000 - 80,000 kule kinauzwa mara tatu ya bei, hivi ni kwamba vinywaji vinakuwa na huduma nyinginezooo ama ni icho kimiminika kilichoko kwa chupa tuu
So u need a massage?🤔🤔Jamani unachosha sana humu kwa kweli, 🤦🤦