Kifo cha Princess Diana kilichotokana na ajali ya gari

Kifo cha Princess Diana kilichotokana na ajali ya gari

Huyu jamaa hapa chini ndio chanzo cha huyo mama kufa na walikufa wote pamoja kisa ni kwamba Diana alishabeba mimba ya huyu jamaa ambaye ni Muarabu wazungu wakaona watakua wamezalilishwa mno!

Dodi+Al+Fayed
Vp sasa ivi sera zao bado wazungu wanatoka na waarabu ama
 
Hivi best ni jambo gani Diana alitaka kulisema? Any idea

black sniper

Wengine wanasema kwa kuwa alitaka kufunga ndoa na Dodi wakaamua abadili dini
Ndipo akautangazia umma kuwa mtasikia jambo la kuwashtua sana
Na upande mwingine alikuwa mjamzito

Maskini Harry nae anasema anaogopa historia ijirudie ( kwenye mahojiano na Oprah
 
Wengine wanasema kwa kuwa alitaka kufunga ndoa na Dodi wakaamua abadili dini
Ndipo akautangazia umma kuwa mtasikia jambo la kuwashtua sana
Na upande mwingine alikuwa mjamzito

Maskini Harry nae anasema anaogopa historia ijirudie ( kwenye mahojiano na Oprah
Jamani Harry ametokea kuwa muoga mnoo[emoji22][emoji22]
 
Hayaendi vizuri kwake kwani kuna wafanyakazi wake wa zamani wanamtuhumu mke wake alikuwa bully kwao na Buckingham palace wanachunguza tuhuma hizo
Wanawaandama sana na hii ni baada tu ya mahojiano na Oprah
Ngoma inogilee
Lkn mbona kwa oprah hajaongea kitu chochote kibaya kuhusu Buckingham asee[emoji848][emoji848]

Kweli waingereza wana viherehere asee , hivi huyu dada hawawezi kumkashoggi??
 
Lkn mbona kwa oprah hajaongea kitu chochote kibaya kuhusu Buckingham asee[emoji848][emoji848]

Kweli waingereza wana viherehere asee , hivi huyu dada hawawezi kumkashoggi??

Yaani wanawaonea sana tangu wajitenge
Ndio maana Harry anaogopa yamtokee ya mama yake
Na Baba yake naona kachomoa kumpa support ya hela
Ila hela wanazo na maisha mazuri ila wanaandamwa sana
 
Ka Meghan watakaacha salama kweli?

Kusema kweli hawakumtendea haki kwani nakumbuka alipopata mtoto wa kwanza na kusimama nae nje ya mjengo kesho yake kama unakumbuka waliweka picha yao wakiwa na nyani na alieiweka ni mtu mashuhuri
Mimi naona bora amehama mazima ila sidhani kama watamuua
Ila hawamuachi kwa unoko wao
 
Kusema kweli hawakumtendea haki kwani nakumbuka alipopata mtoto wa kwanza na kusimama nae nje ya mjengo kesho yake kama unakumbuka waliweka picha yao wakiwa na nyani na alieiweka ni mtu mashuhuri
Mimi naona bora amehama mazima ila sidhani kama watamuua
Ila hawamuachi kwa unoko wao
Weeee waliweka nyani???...ni nani huyo alifanya hivo?

Kama hawatamuua, afadhali mengine yatajipa tu ilimradi Harry kafa kaoza
 
Weeee waliweka nyani???...ni nani huyo alifanya hivo?

Kama hawatamuua, afadhali mengine yatajipa tu ilimradi Harry kafa kaoza

Danny Baker alikuwa mtangazaji wa BBC radio 5
Baada ya tweet hiyo alifukuzwa kazi ila aibu ilikuwa kubwa sana

Hili la kummaliza mke wake nimeliwazia na mimi, kwani kuhama huko

Jana usiku nilikuwa naangalia documentary yao vs Monarchy wamewazungumzia sana mwanzo mwisho na Bibi hana raha na vyeo vingi kawanyang’anya wote
 
Danny Baker alikuwa mtangazaji wa BBC radio 5
Baada ya tweet hiyo alifukuzwa kazi ila aibu ilikuwa kubwa sana

Hili la kummaliza mke wake nimeliwazia na mimi, kwani kuhama huko

Jana usiku nilikuwa naangalia documentary yao vs Monarchy wamewazungumzia sana mwanzo mwisho na Bibi hana raha na vyeo vingi kawanyang’anya wote
Jana nilikuwa nacheki kitu " Elizabeth at 90 a family tribute documentary" hii kitu ni noma mazee[emoji119][emoji119]...umeicheki?

Yule Bibi ni mafia, kama bado itafute uicheki then unistue..
 
Jana nilikuwa nacheki kitu " Elizabeth at 90 a family tribute documentary" hii kitu ni noma mazee[emoji119][emoji119]...umeicheki?

Yule Bibi ni mafia, kama bado itafute uicheki then unistue..

Ok I will
Naona sasa wana hasira zaidi maana Babu yuko hospital na mjukuu anafanya yake (interview) na hakuja hata kumuona
Hasira ya bibi sasa [emoji2959]
 
Ok I will
Naona sasa wana hasira zaidi maana Babu yuko hospital na mjukuu anafanya yake (interview) na hakuja hata kumuona
Hasira ya bibi sasa [emoji2959]
Bibi kapagawaaa....mi naomba Harry azidi kuwakera tuuu[emoji16][emoji16]
 
Bibi kapagawaaa....mi naomba Harry azidi kuwakera tuuu[emoji16][emoji16]

Mambo yamekuwa mambo huku
Jana nimeangalia mahojiano yao na Oprah
Yaani balaa tupu ila yanayokuja ni hatari
Naona wameamua kufuga na kuku kabisaaaa [emoji23][emoji23] kama mimi
 
Mambo yamekuwa mambo huku
Jana nimeangalia mahojiano yao na Oprah
Yaani balaa tupu ila yanayokuja ni hatari
Naona wameamua kufuga na kuku kabisaaaa [emoji23][emoji23] kama mimi
Asee nimeona hadi kuku weupe...wataanza kuuza na maziwa maana pia wana ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Back
Top Bottom