Kifo cha Princess Diana kilichotokana na ajali ya gari

Kifo cha Princess Diana kilichotokana na ajali ya gari

Hata waingereza kuwauwa kina Dodi na Diana ni ugaidi ambao nashangaa unakubalika!
 
Kama ni kweli, walifanya poa tu,kungulu kuzaliwa kwenye jamii ya njiwa ni hatari sana
 
Conspiracy theories,kila jambo linapotokea halikosi kutungiwa hadithi na kuongezwa chumvi yapo mambo ambayo ukweli wake utajulikana siku ya hukumu ya mwisho (kiama) .
 
Kwanini useme hakuwa mtulivu?
Tupe unacho kifahamu tujifunze mkuu

Alizinguliwa na Prince chaz sana maana alikuwa anatembea na Camilla kabla hajamuoa di, na di akaamua kutembea na aliyekuwa anamfundisha kupanda farasi - Major Hewitt, halafu akatembea tena na Dr wake mpakistani halafu tenaaa akawa na urafiki na millionaire wa kimarekani mwenye machimbo ya petrol na kote huko ilikuwa ni pressure na hasira za mumewe na malkia pia.
Ndio akaanza na dodi Al Fayed alipoonywa sana ndio akatangaza kuwa mtasikia jambo kubwa hivi karibuni ikabidi wammalize
 
Alizinguliwa na Prince chaz sana maana alikuwa anatembea na Camilla kabla hajamuoa di, na di akaamua kutembea na aliyekuwa anamfundisha kupanda farasi - Major Hewitt, halafu akatembea tena na Dr wake mpakistani halafu tenaaa akawa na urafiki na millionaire wa kimarekani mwenye machimbo ya petrol na kote huko ilikuwa ni pressure na hasira za mumewe na malkia pia.
Ndio akaanza na dodi Al Fayed alipoonywa sana ndio akatangaza kuwa mtasikia jambo kubwa hivi karibuni ikabidi wammalize

Asante udadavuzi
 
Rip my mother won't forget you as you disappeared during grasshoppers war and hawks came and torn you easily 09/2014
 
Kulinda heshima ya Ufalme kama ni kweli sawa tuu.
 
Back
Top Bottom