Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mama nae hakutulia.
Kwanini useme hakuwa mtulivu?
Tupe unacho kifahamu tujifunze mkuu
Kama ni kweli, walifanya poa tu,kungulu kuzaliwa kwenye jamii ya njiwa ni hatari sana
Alizinguliwa na Prince chaz sana maana alikuwa anatembea na Camilla kabla hajamuoa di, na di akaamua kutembea na aliyekuwa anamfundisha kupanda farasi - Major Hewitt, halafu akatembea tena na Dr wake mpakistani halafu tenaaa akawa na urafiki na millionaire wa kimarekani mwenye machimbo ya petrol na kote huko ilikuwa ni pressure na hasira za mumewe na malkia pia.
Ndio akaanza na dodi Al Fayed alipoonywa sana ndio akatangaza kuwa mtasikia jambo kubwa hivi karibuni ikabidi wammalize
Huyo mama nae hakutulia.
Na dereva nae alifariki kwenye hyo ajali?