Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Upo sahihi mkuu Excel yaani tangu ST afariki hamna msanii ambaye ameweza kuendeleza tasnia ya filamu nje na tz nahisi ni ukosefu wa elimu au wasanii waliobaki wameridhika na soko la ndani tu hawataki kuthubutu. Kanumba alikua ni kijana aliyezikubali challenge na ndio maana akaweza kupenya mpaka west Africa. Rip the great najua utakua unaumia kuona kazi uliyoianza hamna wa kuiendeleza wasanii ni waoga kuthubutu
 
Here you go:....JAMAA anaweza ila sasa...hizo 2:....2...Sio mpango wala nini....Au vipi?

Yeah,,! bt mara nyingi huwa natumia CM so nikiandika maneno mengi natumia hizo kupunguza herufi Vinginevyo thnx!
 
Upo sahihi mkuu Excel yaani tangu ST afariki hamna msanii ambaye ameweza kuendeleza tasnia ya filamu nje na tz nahisi ni ukosefu wa elimu au wasanii waliobaki wameridhika na soko la ndani tu hawataki kuthubutu. Kanumba alikua ni kijana aliyezikubali challenge na ndio maana akaweza kupenya mpaka west Africa. Rip the great najua utakua unaumia kuona kazi uliyoianza hamna wa kuiendeleza wasanii ni waoga kuthubutu
Wasanii wengi ni waoga.Nashangaa hata Kigosi kafifia kabisa na watu walikuwa wana muona ana weza kupambana na Kanumba sokoni , bila shaka jibu limepatikana.

Ni wazi huwepo wa kanumba ulikuwa unamfanya Ray auze kazi zake maana walikuwa wana jaribu kununua kazi zake hili kumpima na Kanumba.
 
yote ni sahihi kwangu kinachokosekana ni uwekezaji mkubwa na pia regulator wa hii tasnia....
Hupo sahihi lakini unatakiwa kujua hata kipindi cha uhai wa (kanumba hakukuwa na uwekezaji mkubwa wala regulator lakini tasnia hii hilionekana kupiga hatua.

Lakini sasa hivi ndio ina rudi nyuma kabisa nasifikirii kama hitafika 2018.

Wasanii hawana wanacho kifanya zaidi ya birthday.

Hakika Kanumba alizikwa na Tasnia ya Filamu.

Cc mtitu
 
Last edited by a moderator:
Hupo sahihi lakini
unatakiwa kujua hata kipindi cha uhai wa (kanumba hakukuwa na uwekezaji
mkubwa wala regulator lakini tasnia hii hilionekana kupiga hatua.

Lakini sasa hivi ndio ina rudi nyuma kabisa nasifikirii kama hitafika
2018.

Wasanii hawana wanacho kifanya zaidi ya birthday.

Hakika Kanumba alizikwa na Tasnia ya Filamu.

Cc mtitu

Umenena mkuu,take ur like.
 
Last edited by a moderator:
Hupo sahihi lakini unatakiwa kujua hata kipindi cha uhai wa (kanumba hakukuwa na uwekezaji mkubwa wala regulator lakini tasnia hii hilionekana kupiga hatua.

Lakini sasa hivi ndio ina rudi nyuma kabisa nasifikirii kama hitafika 2018.

Wasanii hawana wanacho kifanya zaidi ya birthday.

Hakika Kanumba alizikwa na Tasnia ya Filamu.

Cc mtitu
juzi jumapili katika kipindi cha filamunata nafikiri kinachorushwa times fm, nikamsikia sijui ndio mwenyekiti wao analalamika kwa kupata mtu mmoja katika bunge la katiba, eti akidai tasinia ya filamu inazalisha ajira za kutosha zaidi ya 6m, na tunaongeza pato la taifa....
ukweli nikacheka sana, sana tu! maana sioni uhalisia, zaidi ya ujasilia mwili kwa wadada na wakaka kuombaomba baa, na kuishi maisha ya kuigiza zaidi.
kuna haja kuingalia tasnia hii kwa umakini zaidi ili iweze kunufaisha vijana na taifa kwa ujumla wake....
 
well said mkuu!

points ulizoongea hakika zina apply kabisa katika soko letu la bongo movie.

movie nyingi zinazozalishwa ziko irrelevant na mahitaji ya soko, japo wasanii wanajitahidi sana kustick kwenye jamii inachofanya!

lakini mkuu, jambo ambalo najiuliza, je jamii ya kitanzania ina mwamko kweli kupokea filamu za kitanzania? ama watengeneza filamu wenyewe ndio hawajawajenga watanzania kisaikolojia kupokea kazi zao?

bollywood na nollywood zimeendelea sana recently pamoja na hollywood na zimefikia hatua ya kulikamata soko la filamu duniani! je, kwa sisi tanzania, tatizo liko upande gani? wasanii? watanznania wenyewe ama serikali?
Filamu ni burudani kama ilivyo burudani yoyote...pamoja na mambo mengine, lengo kuu la burudani ni kukonga roho za audience. Katika hili la kukonga roho za audience, na hasa linapokuja suala la filamu, hakuna cha filamu za Kitanzania wala Kiajemi...kinacho-matter ni how namna gani filamu yako imesukwa na ikasukika. Leo hii unaweza kuandika story kuhusu familia za askari wa kikoloni kutoka India ambao waliacha familia zao Bombay na kwenda kupigana WWI huko Korea na kisha ukaonesha ni namna gani familia hizo za askari zinavyopambana na maisha nyumbani wakiwa peke yao na bado filamu ikavutia maelfu kwa malaki ya Watanzania provided story imesukwa vizuri ikasukika...kuna msuko wa matukio unaoeleweka, kuna conflicts zenye mantinki; unapoona watu wanapigana unaridhika kwamba kweli pale walipaswa kupigana, unafika kwenye climax zone; mtu anakupigia simu na unaipotezea..n.k, n.k, n.k...hiki ndicho tunakosa kwenye soko tasnia yetu ya filamu.

Tukirudi kwa Kanumba, sidhani kama alikuwa too far kulinganisha na wenzake coz' wote hawa wanategemea waandishi wale wale na directors wale wale. Kilichokuwa kinamfanya Kanumba awe outstanding from other actors/actress ni kwa sababu alikuwa na uthubutu...hakuona taabu kutumia fedha ili kufanya kolabo coz' aliamini hii ndiyo njia pekee ambayo ingemfanya aweze kuvuka mipaka ya East AFrica. And am telling you, Kanumba alikuwa anafanya kosa moja kubwa la kiufundi. Chance ambazo alizipata za kuigiza na wasanii wakubwa endapo angejiandaa nazo, zingekuwa zimemfikisha mbali zaidi kuliko alipoishia! Ninachomaanisha ni kwamba, ikiwa story zake zilikuwa ni zile za kuandika mwezi mmoja, basi zile ambazo alitaka kufanya international collaboration alitakiwa kuandika miezi miwili...ikiwa alikuwa anatumia sh.500K kununua script, anapopata international collaboration angetumia hata 5 million just for a script. Kwavile kipaji cha uigizaji alikuwa nacho, and in fact, waigizaji wengi wanajitahidi sana; tatizo ambalo lilibaki kwake na ni stori iliyoenda darasani....iliyopangwa ikapangika!

Sasa ni kwanini tasnia inaonekana kupwaya! Kanumba tayari alishaingia kwenye nyoyo za watu...kama enzi za Juma Nature! Nature ilikuwa hata akitoa nyimbo ya hovyo hovyo, itashibikiwa ile mbaya! So, kumshusha Natur enzi zile ilikuwa ni lazima ufanye hatua mia zaidi ya zile za Nature! Ndicho kilichopo! Kwavile Kanumba alishaingia kwenye nyoyo za watu ingwaje siamini kwamba ndo alikuwa far far best than the rest; bado kuwa ktk level yake inabidi watu wafanye mara mia zaidi kuliko alivyokua anafanya! So, am very certain kwamba watu wanafanya sana filamu lakini ndo kama alivyosema Ruttashobolwa..hazikidhi! Hazikidhi coz' wanafanya business as usual...inawezekana kabisa kwamba level ya stori zao ni sawa tu na ile Kanumba; but kama nilivyosema; the guy was Kanumba and the rest not!
 
Last edited by a moderator:
Filamu ni burudani kama ilivyo burudani yoyote...pamoja na mambo mengine, lengo kuu la burudani ni kukonga roho za audience. Katika hili la kukonga roho za audience, na hasa linapokuja suala la filamu, hakuna cha filamu za Kitanzania wala Kiajemi...kinacho-matter ni how namna gani filamu yako imesukwa na ikasukika. Leo hii unaweza kuandika story kuhusu familia za askari wa kikoloni kutoka India ambao waliacha familia zao Bombay na kwenda kupigana WWI huko Korea na kisha ukaonesha ni namna gani familia hizo za askari zinavyopambana na maisha nyumbani wakiwa peke yao na bado filamu ikavutia maelfu kwa malaki ya Watanzania provided story imesukwa vizuri ikasukika...kuna msuko wa matukio unaoeleweka, kuna conflicts zenye mantinki; unapoona watu wanapigana unaridhika kwamba kweli pale walipaswa kupigana, unafika kwenye climax zone; mtu anakupigia simu na unaipotezea..n.k, n.k, n.k...hiki ndicho tunakosa kwenye soko tasnia yetu ya filamu.

Tukirudi kwa Kanumba, sidhani kama alikuwa too far kulinganisha na wenzake coz' wote hawa wanategemea waandishi wale wale na directors wale wale. Kilichokuwa kinamfanya Kanumba awe outstanding from other actors/actress ni kwa sababu alikuwa na uthubutu...hakuona taabu kutumia fedha ili kufanya kolabo coz' aliamini hii ndiyo njia pekee ambayo ingemfanya aweze kuvuka mipaka ya East AFrica. And am telling you, Kanumba alikuwa anafanya kosa moja kubwa la kiufundi. Chance ambazo alizipata za kuigiza na wasanii wakubwa endapo angejiandaa nazo, zingekuwa zimemfikisha mbali zaidi kuliko alipoishia! Ninachomaanisha ni kwamba, ikiwa story zake zilikuwa ni zile za kuandika mwezi mmoja, basi zile ambazo alitaka kufanya international collaboration alitakiwa kuandika miezi miwili...ikiwa alikuwa anatumia sh.500K kununua script, anapopata international collaboration angetumia hata 5 million just for a script. Kwavile kipaji cha uigizaji alikuwa nacho, and in fact, waigizaji wengi wanajitahidi sana; tatizo ambalo lilibaki kwake na ni stori iliyoenda darasani....iliyopangwa ikapangika!

Sasa ni kwanini tasnia inaonekana kupwaya! Kanumba tayari alishaingia kwenye nyoyo za watu...kama enzi za Juma Nature! Nature ilikuwa hata akitoa nyimbo ya hovyo hovyo, itashibikiwa ile mbaya! So, kumshusha Natur enzi zile ilikuwa ni lazima ufanye hatua mia zaidi ya zile za Nature! Ndicho kilichopo! Kwavile Kanumba alishaingia kwenye nyoyo za watu ingwaje siamini kwamba ndo alikuwa far far best than the rest; bado kuwa ktk level yake inabidi watu wafanye mara mia zaidi kuliko alivyokua anafanya! So, am very certain kwamba watu wanafanya sana filamu lakini ndo kama alivyosema Ruttashobolwa..hazikidhi! Hazikidhi coz' wanafanya business as usual...inawezekana kabisa kwamba level ya stori zao ni sawa tu na ile Kanumba; but kama nilivyosema; the guy was Kanumba and the rest not!

mkuu.. safi sana kwa mchango wako!

i appreciate you my friend..

i think we have bongo movie audience and participants in here..

please Cloud 112 and BATULI actress aka cleopatra, mpitie michango hii ya wadau humu!

hakika tutang'aa kimataifa
 
Last edited by a moderator:
juzi jumapili katika kipindi cha filamunata nafikiri kinachorushwa times fm, nikamsikia sijui ndio mwenyekiti wao analalamika kwa kupata mtu mmoja katika bunge la katiba, eti akidai tasinia ya filamu inazalisha ajira za kutosha zaidi ya 6m, na tunaongeza pato la taifa....
ukweli nikacheka sana, sana tu! maana sioni uhalisia, zaidi ya ujasilia mwili kwa wadada na wakaka kuombaomba baa, na kuishi maisha ya kuigiza zaidi.
kuna haja kuingalia tasnia hii kwa umakini zaidi ili iweze kunufaisha vijana na taifa kwa ujumla wake....

nadhani hakufanya analysis ya vitu anavyovizungumzia huyo..

mkuu niambie hicho kipindi kinarushwa saa ngapi nipate info zaidi..
 
nadhani hakufanya analysis ya vitu anavyovizungumzia huyo..

mkuu niambie hicho kipindi kinarushwa saa ngapi nipate info zaidi..
Hiki kipindi kinarushwa jumapili saa 5 asubuhi hadi saa 7. Hata nami ninapokuwa home mida hizo, huwa nakisiliza!
 
ili uwateke watanzania na wakubali kazi yako ya usanii inabidi ufanye yafuatayo:-
1. ujue kucheza na media-hakikisha jina lako linakick daily hata kwa story za uwongo uwongo ikibidi kununua waandishi
2. kamua sana mademu wenye majina ambao nao wanapenda kuandikwa magazetini
3. ongeza sifuri katika mapato yako.........kama unalipwa milioni 3 filamu moja wewe sema unalipwa milioni 30,kama unakaa nyumba ya kupanga sema umenunua nyumba mbili na nyingine unajenga,kama una gari moja au --------- sema lako na mengine yapo chumvini yanatoka japan..............................................the late kanumba kwa haya matatu alijitahidi kuyatendea haki kadri ya uwezo wake
 
Kila nkisoma habari za huyo jamaa, huwa nnahuzunika sana, i loved him tokea enzi zile akiwa kaole na watu walikuwa wanamponda kwa kila namna, kipindi fulani watu walisema anawaiga wanaijeria lakini jamaa akazidi kukomaa na gem, akatuletea dar-lagos (mle ndani huwa nnaukumbuka msemo mmoja alisema "this food is too much pilipili",
Bado watu wakamsema kwenye BBA (walisema kasema i am close=nimefunga) kwamba hawezi kiingereza lakini jamaa akakomaa akatuletea Ramsey bongo (devils kingdom), kwa nini asipendwe wakati alionyesha njia ya kutokata tamaa na kushine?

Mtu ambaye angeshika usukani na angetumia mwanya huo ni Dr. Cheni maana yeye nae alipendwa na watu toka enzi hizo ila sielewi nini kimemkumba mpaka awe dull.

Kiukweli binafsi tokea The great afariki sijawahi angalia filamu yeyote ya bongo movie labda iwe bahati mbaya nmelazimishwa na kadamnasi.

Alale mahali pema peponi the great na tuzidi kuiombea tasnia hii isife.
 
Jamani tusidanganyane,linapokuja suala la kuvuka mipaka ya nchi na kufanya mambo katika lavel za kimataifa watanzania wengi tunakua waoga... hatujiamini. Kwa wanaothubutu mi nadhani ni ujasiri wao tu.

Na tatizo kubwa mi nadhani ni mifumo yetu ya elimu.
Leo hii umwambie mtu kama Ray akaigize na Ramsey wa nollywood cha kwanza atakachofikiri ni namna gani atakavyowasiliana na huyo msanii mwenzie. Tusidanganyane hapa tatizo kubwa ni lugha.
Pili idea nyingi za filamu za kibongo ni zile za ku-copy na ku-past kinachobadilika ni lugha na mazingira.
Kwa hali kama hiyo msubiri kizazi kijacho ndo kije kilete mapinduzi lakini sio hawa VILAZA.
 
Jamani tusidanganyane,linapokuja suala la kuvuka mipaka ya nchi na kufanya mambo katika lavel za kimataifa watanzania wengi tunakua waoga... hatujiamini. Kwa wanaothubutu mi nadhani ni ujasiri wao tu.

Na tatizo kubwa mi nadhani ni mifumo yetu ya elimu.
Leo hii umwambie mtu kama Ray akaigize na Ramsey wa nollywood cha kwanza atakachofikiri ni namna gani atakavyowasiliana na huyo msanii mwenzie. Tusidanganyane hapa tatizo kubwa ni lugha.
Pili idea nyingi za filamu za kibongo ni zile za ku-copy na ku-past kinachobadilika ni lugha na mazingira.
Kwa hali kama hiyo msubiri kizazi kijacho ndo kije kilete mapinduzi lakini sio hawa VILAZA.
Kama tatizo ni lugha basi negative impact yake ni ndogo vinginevyo, mama viingereza; Wema, anayepiga kizungu hata mbele ya akina Bibi Bomba, yeye angekuwa mfano matokeo yake Diamond, ambae hata kama alimaliza form four i hope ni form iv ya kimagumashi; yeye anafanya! Kutovuka mipaka nako kunatokana na inside motive ya mtu...desire to expand! How does your inside motive push you harder and harder to be higher...it's all about expansionism. Chukulia hata biashara za kawaida...kuna mwingine anaanza na biashara ya sh10m...ikifika 20m; atafungua addition store; akipata 20m nyingine atafungua store nyingine na nyingine hadi atajikuta ana stores kadhaa kwenye mji husika...hatimae atafungua stores mikoa ya jirani n.k! Huyu ana desire na expansionism. Huyu mambo yakimnyookea, ndipo unakuta after certain period of time anavuka hadi mipaka ya nchi foe additional stores!! Kwa upande mwingine, unakuta kuna mtu pia ameanza na sh.10m vilevile; lakini baada ya kupata 20m; akakimbilia kununua kiwanja...kila zikiongezeka tena anaanza kujenga...kisha atanunua piki piki, mara gari n.k...this guy has on inside desire for expansionism...wakati mwenzake anaongeza stores sana sana atakachofanya yeye ni kutafuta much larger store than s/he owns!

Kanumba alikuwa na desire for expansionism...it's wasn't enough for him to have only EA Market but even far...Kanumba nae sidhani kama alikuwa ni mtaalamu wa lugha; and generally speaking, hata ukiweka list ya waigizaji 10 bora wasio na matatizo ya lugha, sidhani kama Kanumba angewepo...the same case for Diamond! But all guys tried!
 
Jamani tusidanganyane,linapokuja suala la kuvuka mipaka ya nchi na kufanya mambo katika lavel za kimataifa watanzania wengi tunakua waoga... hatujiamini. Kwa wanaothubutu mi nadhani ni ujasiri wao tu.

Na tatizo kubwa mi nadhani ni mifumo yetu ya elimu.
Leo hii umwambie mtu kama Ray akaigize na Ramsey wa nollywood cha kwanza atakachofikiri ni namna gani atakavyowasiliana na huyo msanii mwenzie. Tusidanganyane hapa tatizo kubwa ni lugha.
Pili idea nyingi za filamu za kibongo ni zile za ku-copy na ku-past kinachobadilika ni lugha na mazingira.
Kwa hali kama hiyo msubiri kizazi kijacho ndo kije kilete mapinduzi lakini sio hawa VILAZA.
Nilisahau jambo moja...umezungumzia suala la idea...you're 100% RIGHT! Sio siri tena kwamba wasanii wetu wanaichukulia Nigeria kama kigezo chao unfortunately they do the same thing wanachofanya Nigeria! Ukiangalia ideas nyingi tunazotumia ndizo zilezile zinazotumika ama kupata kutumika Nigeria...katika hili, hata kama utataka ku-penetrate Nigerian Market, hutaweza coz' you've nothing new.
 
Kama tatizo ni lugha basi negative impact yake ni ndogo vinginevyo, mama viingereza; Wema, anayepiga kizungu hata mbele ya akina Bibi Bomba, yeye angekuwa mfano matokeo yake Diamond, ambae hata kama alimaliza form four i hope ni form iv ya kimagumashi; yeye anafanya! Kutovuka mipaka nako kunatokana na inside motive ya mtu...desire to expand! How does your inside motive push you harder and harder to be higher...it's all about expansionism. Chukulia hata biashara za kawaida...kuna mwingine anaanza na biashara ya sh10m...ikifika 20m; atafungua addition store; akipata 20m nyingine atafungua store nyingine na nyingine hadi atajikuta ana stores kadhaa kwenye mji husika...hatimae atafungua stores mikoa ya jirani n.k! Huyu ana desire na expansionism. Huyu mambo yakimnyookea, ndipo unakuta after certain period of time anavuka hadi mipaka ya nchi foe additional stores!! Kwa upande mwingine, unakuta kuna mtu pia ameanza na sh.10m vilevile; lakini baada ya kupata 20m; akakimbilia kununua kiwanja...kila zikiongezeka tena anaanza kujenga...kisha atanunua piki piki, mara gari n.k...this guy has on inside desire for expansionism...wakati mwenzake anaongeza stores sana sana atakachofanya yeye ni kutafuta much larger store than s/he owns!

Kanumba alikuwa na desire for expansionism...it's wasn't enough for him to have only EA Market but even far...Kanumba nae sidhani kama alikuwa ni mtaalamu wa lugha; and generally speaking, hata ukiweka list ya waigizaji 10 bora wasio na matatizo ya lugha, sidhani kama Kanumba angewepo...the same case for Diamond! But all guys tried!

Asante kwa kunifungua kichwa.
 
Back
Top Bottom