Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

JB sidhani sana, huyu ni wa apa apa ndani though na yeye ni mkali sana, Adam kuambiana anaweza kupenya kimataifa akiamua, wapo wengi sema hawafahamiki

mkuu kwa mujibu wa history ya jb aliyoitoa mwenyewe, anadai kwamba alianza acting kama mzaha mzaha vile kwa sababu aliingia kwa kusukumwa na richie richie kama sijakosea..

tuachane na hilo,

ukiangalia waigizaji wengi wa bongo movie kama jack wolper, uwoya, wema shogake aliyekuwa jela, na hata ray, wote waliingia kwenye movie kwa njia ya kusukumwa sukumwa hivi..

sasa je, unadhani hii inaweza kuwa driving force kwanini bongo movie haiendelei kwa sababu wasanii wake hawakuwa na personal spirit?..
 
Kanumba was overrated and so is everyone now!
Bongo,movies bado sana!
Tuite beleshi,beleshi! Sio kijiko kikubwa. Bongo bado sana,every work is disgusting,huwezi hata weka kwenye cinemas,Ray anasema eti kuwe na premiere ikae Cinema movie hata mwezi before distribution daaah! Nani aje angalia uchafu?

The only local product though produced and directed by foreigners ni Siri Ya Mtungi,kila kitu nakipa ratings ya 8/10 na kuendelea kule ndani! Sio uchafu wa bongo movies! The only and best qualification as of recent kwa most female stars ni kuwa mweupe au/na makalio makubwa!
 
mkuu kwa mujibu wa history ya jb aliyoitoa mwenyewe, anadai kwamba alianza acting kama mzaha mzaha vile kwa sababu aliingia kwa kusukumwa na richie richie kama sijakosea..

tuachane na hilo,

ukiangalia waigizaji wengi wa bongo movie kama jack wolper, uwoya, wema shogake aliyekuwa jela, na hata ray, wote waliingia kwenye movie kwa njia ya kusukumwa sukumwa hivi..

sasa je, unadhani hii inaweza kuwa driving force kwanini bongo movie haiendelei kwa sababu wasanii wake hawakuwa na personal spirit?..
bongo movie aiendelei kwa sababu wasaniii hawajui wanatakiwa kufanya nini ,... hawapendi kuvaa uhusika haswa ... zaidi wanaangalia their outlook asionekane mzee jambo ambalo si sawa kabisa..... kingine mda mwingi kwenye mambo a kijinga kuliko kazi yao
 
bongo movie aiendelei kwa sababu wasaniii hawajui wanatakiwa kufanya nini ,... Hawapendi kuvaa uhusika haswa ... Zaidi wanaangalia their outlook asionekane mzee jambo ambalo si sawa kabisa..... Kingine mda mwingi kwenye mambo a kijinga kuliko kazi yao

hivi vigezo vya kuigiza tanzania ni sura nzuri?
 
Hahhhhhahhha kumbeee itakuaa aliondoka nayooo Kanumbaaaa


Tasnia ya filamu sahizi ni majanga matupu !

Wanawake mapunga !
wanaume mapunga !

Wengine ndo wanakaa na nyumbani kunyoana mapara !
 
JB sidhani sana, huyu ni wa apa apa ndani though na yeye ni mkali sana, Adam kuambiana anaweza kupenya kimataifa akiamua, wapo wengi sema hawafahamiki

Adam kuambiana R.I.P
 
Back
Top Bottom