Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Mkuu kumbe uko California box vip uko? Si kwetu sa5 asbh j2

hahahaaaa!! mkuu umenichekesha kweli! yani unanidanganya muda kabisa?

actually, huku maisha ni survival for the fittest.. the faster you fight, the higher you earn income...

per day unaweza make mpaka 300 dollars kwa mtu wa level ya elimu ya kawaida.. ni bidii yako tu.
 
hahahaaaa!! mkuu umenichekesha kweli! yani unanidanganya muda kabisa?

actually, huku maisha ni survival for the fittest.. the faster you fight, the higher you earn income...

per day unaweza make mpaka 300 dollars kwa mtu wa level ya elimu ya kawaida.. ni bidii yako tu.

Te te tee watu kama wewe mko wengi aisee! Nikudanganye ili iweje? Sydney time ni sangap saivi ha ha haa mkuu acha kudelute dignity yako banaa!

Piga box tu muzee maisha popote
 
Te te tee watu kama wewe mko wengi aisee! Nikudanganye ili iweje? Sydney time ni sangap saivi ha ha haa mkuu acha kudelute dignity yako banaa!

Piga box tu muzee maisha popote

hahaaaa!! mkuu kwani nimekataa nini?

kubeba box nayo maisha bana as long as we earn legal and satisfactory surplus income... karibu..
 
hahaaaa!! mkuu kwani nimekataa nini?

kubeba box nayo maisha bana as long as we earn legal and satisfactory surplus income... karibu..

Mkuu si umesema nadanganya mda? What dd u mean, kuna watu wanaona kuwa nje ya tz au afrika ni ujiko kumbe ulimbukeni tu nothing HAKUNA KITU ni kama bongo tu
 
nimeishiwa nguvu mkuu...

ngoja upepo wa CSEE results upite

Hahahahaha boss vip kwani nawe ni muhanga wa BRN? Serikali ya ccm hiyooo haya nilikuwa nimeandaa magogo ya kukushushia maana jana Dokta keshafanya yake kalenga
 
Hahahahaha boss vip kwani nawe ni muhanga wa BRN? Serikali ya ccm hiyooo haya nilikuwa nimeandaa magogo ya kukushushia maana jana Dokta keshafanya yake kalenga


Ha ha ha

mi si muhanga ila kila nikipita naitwa kuulizwa serikali yangu ina neno gani juu ya hilo...

ni taharuki kubwa mkuu hali inatisha
 
Mkuu si umesema nadanganya mda? What dd u mean, kuna watu wanaona kuwa nje ya tz au afrika ni ujiko kumbe ulimbukeni tu nothing HAKUNA KITU ni kama bongo tu

mkuu usipanic, wala usiishi kwa mazoea..

mimi kusema niko kwa california ndo izae yote haya? actually sometimes ni ujiko kwa sababu maisha ya california si sawa na bongo!!!

hapo umedanganya umma.. california cannot be compared to bongo dar es salaam! hapa napinga sana tu!
 
Ha ha ha

mi si muhanga ila kila nikipita naitwa kuulizwa serikali yangu ina neno gani juu ya hilo...

ni taharuki kubwa mkuu hali inatisha

Na Kawambwa amepost utumbo fcbk, kuwa serikali wazazi na wanafunzi wanastahili pongezi-wamejitahidi sana. Hivi ule mgomo wa waalimu uliisha? Ziro zimekuwa nyingi kuliko div 1-3 haaaa
 
mkuu usipanic, wala usiishi kwa mazoea..

mimi kusema niko kwa california ndo izae yote haya? actually sometimes ni ujiko kwa sababu maisha ya california si sawa na bongo!!!

hapo umedanganya umma.. california cannot be compared to bongo dar es salaam! hapa napinga sana tu!

Mkuu karibu kahawa tupashe kidogo, sio kesi bana nimetumia metaphor sijatumia simile please dont quote me wrong
 
Ha ha ha

mi si muhanga ila kila nikipita naitwa kuulizwa serikali yangu ina neno gani juu ya hilo...

ni taharuki kubwa mkuu hali inatisha

Hii hali inatisha sana mkuu, hivi no viwanda, au kampuni hawa watoto wataishia kuua tembo tu na kukaba watu. Na bht mbaya mfumo wetu wa elimu ni kusoma ili kuajiriwa duh kweli ccm mtupushe tu walau 10yrs
 
Mkuu karibu kahawa tupashe kidogo, sio kesi bana nimetumia metaphor sijatumia simile please dont quote me wrong



duh mkuu habari ya metaphor na simile umenikumbusha mbali enzi hizo language 2 advance acha kabisa
 
Mkuu karibu kahawa tupashe kidogo, sio kesi bana nimetumia metaphor sijatumia simile please dont quote me wrong

thanks for coffee mkuu. btw, iam not good in english like you.. nichukulie hivyo tu..

i didnt quote you wrong, but huku kwetu mtu akisema tu alikuwa/yuko kwenye developed country, basi wanaona anajiona saana! kitu ambacho sicho..

anyway, thanks for coffee..
 
duh mkuu habari ya metaphor na simile umenikumbusha mbali enzi hizo language 2 advance acha kabisa

Ha ha ha mkuu kumbe ni adv english ya sec? No idea kbs sie wengine tulisoma ma PCb hata hayana dili
 
thanks for coffee mkuu. btw, iam not good in english like you.. nichukulie hivyo tu..

i didnt quote you wrong, but huku kwetu mtu akisema tu alikuwa/yuko kwenye developed country, basi wanaona anajiona saana! kitu ambacho sicho..

anyway, thanks for coffee..

ImageUploadedByJamiiForums1393114965.062903.jpg
Poa man, dah unenikumbusha last week hiyo kitu ya Us Navy toka California ilikuwa huku tukaingia kushangaa shangaa KIDDIE 100
 
Ha ha ha mkuu kumbe ni adv english ya sec? No idea kbs sie wengine tulisoma ma PCb hata hayana dili


hayo makitu yapo language 2 kwenye uchambuzi wa vitabu...

kwanini unasema PCB haina dili mkuu?
 
Back
Top Bottom