Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

hayo makitu yapo language 2 kwenye uchambuzi wa vitabu...

kwanini unasema PCB haina dili mkuu?

Unaplan kuwa dokta na unaishia kuwa mwalimu, stress tu mara kutaka madent, mara salary ndogo, mara walimu ndio wanachagua ccm aaagggrrrr
 
View attachment 141033
Poa man, dah unenikumbusha last week hiyo kitu ya Us Navy toka California ilikuwa huku tukaingia kushangaa shangaa KIDDIE 100

mkuu hiyo ndio logistics activities.. we are there to route them throughout the world.

logistics is very wide as long as imetokea vitani... thanks for appreciation..
 
mkuu hiyo ndio logistics activities.. we are there to route them throughout the world.

logistics is very wide as long as imetokea vitani... thanks for appreciation..

Hii post imebakwa, mkuu Excel dah! Kwa kweli wamarekani mko juu bana hii kitu ni military navy mwee ngoja niweke picha zingine ImageUploadedByJamiiForums1393115819.078039.jpgImageUploadedByJamiiForums1393115847.371915.jpgImageUploadedByJamiiForums1393115874.193516.jpgImageUploadedByJamiiForums1393115907.439833.jpgImageUploadedByJamiiForums1393115955.685084.jpg


Huyu dada huenda unamjua eh Excel
 
Last edited by a moderator:
Hii post imebakwa, mkuu Excel dah! Kwa kweli wamarekani mko juu bana hii kitu ni military navy mwee ngoja niweke picha zingineView attachment 141034View attachment 141035View attachment 141036View attachment 141037View attachment 141038


Huyu dada huenda unamjua eh Excel


hey, wait... nani kakwambia mimi ni mmarekani?

mkuu mimi ni mkurya kutoka tarime, ni ndugu kabisa na yule jamaa aliyekuwa amechanganyikiwa mpaka akaua watu 8.

mimi sio mmarekani tafadhali, usinipaishe ndugu yangu... hayo si maisha yangu kabisa
 
hey, wait... nani kakwambia mimi ni mmarekani?

mkuu mimi ni mkurya kutoka tarime, ni ndugu kabisa na yule jamaa aliyekuwa amechanganyikiwa mpaka akaua watu 8.

mimi sio mmarekani tafadhali, usinipaishe ndugu yangu... hayo si maisha yangu kabisa

Mkuu sasa umekubali appreciation ya nn kama we haikuhusu hii meli? Na umesema hapo juu ..'we are here to..' Ndio mana nkasema ooh labda we mzungu anaejua kiswahili
 
Mkuu sasa umekubali appreciation ya nn kama we haikuhusu hii meli? Na umesema hapo juu ..'we are here to..' Ndio mana nkasema ooh labda we mzungu anaejua kiswahili

come on.. knowing what they do doesnt mean that you are them.. kwanini waje tu kwetu bila kujua wanachokuja kufanya ni niini hasa?

ok.. all in all, nipe location ya hio ship nianze investigation! nahisi itaondoka na pembez za ndovu! hahaa!!
 
Basi lugha yako ngumu kueleweka mkuu, anyway uko California kweli? Usijekuwa unaniingiza town tu.

Pembe za ndovu? Kwani hii meli imekwenda Afrika? Huku hkn hao wanyama kuna kangaroo, dingos, wallabies, possum umeshawahi waona hawa mkuu? Hawana value km tembo so hkn shaka
 
Naona Excel umeshalala kijana wa California ha ha haaa we bana wewe tuingize town tu
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa!! mkuu kwani philadelphia nayo huijui?

its all about logistics mkuu.. we travel all over the world.

Mi hata sikujui huko aisee, dah nikija one day utanitembeza kidogo mkuu!
Lakini hizi tuhuma ni za kweli eti mkuu-kuwa uko NIT dar mwaka wa 2 ila unasema uko California, ebu kanusha bana mi ntupie screenshot tu ya ipad/simu yako ubishi uishe hasa kama hutumii wi-fi
 

mkuu vipi? aisee sorry bana.. usafiri kwetu sasa ni wa shida... baridi kali sana ndugu yangu.. kutoka beverly hills kwenda hollywood streets ni tabu mno! kuna wakati tunashinda ndani sababu ya baridi kali kwa sasa!!!

hahahaaaa!! JERRY utanikoma leo!
 
Last edited by a moderator:
Kuna baadhi ya wasanii wanafanya poa sana, uwa napenda sana kufuatilia bongo movies especially upcoming , ila nimegundua vipaji vya kipekee kutoka kwa baadhi ya ma under ground. Kuna Dada mmoja anaitwa Neema ndepanya na mwenzie faudhia, wako vizuri sana n they are serious kwenye game, nimebahatika kuzicheki baadhi ya movie zao kama ANNE MARRIE na KICHUPA, guys wako serious sana , it seems wameisoma tasnia ya filamu na kugundua what is needed, safi sana..

Lakini bado bongo movies hina hitaji watu wabunifu na hata jinsi ya kuwaandaa wahusika wale wale na wakacheza sehemu tofauti.

Alaf hivi kwanini lazima wasichana wa bongo moviee wanapenda kuigiza wakiwa nusu uchi hata pasipo hitajika?
 
Bado nalia na monalisa tu, sijui kakosa support au ndo uvivu wa kufikiri, kwa mademu I think she is the one ambaye angeweza ku introduce tasnia ya filamu kimataifa zaidi kama lupita nyong'o... the girl she is good when it comes kwenye kucheza na camera, na ndo maana marehemu alikuwa akimtumia kwenye kila movie za ki international, achilia mbali uelewa wa lugha ya kiingereza kwa ufasaha, ukongwe na umakini alionao vinaweza kumuweka sehemu takatifu kwenye tasnia ya filamu Africa
Hakika umenena warumi nami huwa najiuliza maswali kama yako juu ya Monalisa na sijui ana tatizo gani na angeweza kuitangaza Tanzania hata nje ya mipaka maana kipaji anacho kabisa.

Pia swali hilo hilo huwa na jiuliza kuhusu Jb.
Mi nafikiri wasanii wetu wana tatizoo la kuridhika na walicho nacho ha hata kama hakitoshi na pia ni wavivu sana.
 
Last edited by a moderator:
Bado nalia na monalisa tu, sijui kakosa support au ndo uvivu wa kufikiri, kwa mademu I think she is the one ambaye angeweza ku introduce tasnia ya filamu kimataifa zaidi kama lupita nyong'o... the girl she is good when it comes kwenye kucheza na camera, na ndo maana marehemu alikuwa akimtumia kwenye kila movie za ki international, achilia mbali uelewa wa lugha ya kiingereza kwa ufasaha, ukongwe na umakini alionao vinaweza kumuweka sehemu takatifu kwenye tasnia ya filamu Africa
Hakika umenena warumi nami huwa najiuliza maswali kama yako juu ya Monalisa na sijui ana tatizo gani na angeweza kuitangaza Tanzania hata nje ya mipaka maana kipaji anacho kabisa.

Pia swali hilo hilo huwa na jiuliza kuhusu Jb.
Mi nafikiri wasanii wetu wana tatizoo la kuridhika na walicho nacho ha hata kama hakitoshi na pia ni wavivu sana.
 
Last edited by a moderator:
Hakika umenena warumi nami huwa najiuliza maswali kama yako juu ya Monalisa na sijui ana tatizo gani na angeweza kuitangaza Tanzania hata nje ya mipaka maana kipaji anacho kabisa.

Pia swali hilo hilo huwa na jiuliza kuhusu Jb.
Mi nafikiri wasanii wetu wana tatizoo la kuridhika na walicho nacho ha hata kama hakitoshi na pia ni wavivu sana.

JB sidhani sana, huyu ni wa apa apa ndani though na yeye ni mkali sana, Adam kuambiana anaweza kupenya kimataifa akiamua, wapo wengi sema hawafahamiki
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa!! kwani hao hawawezi kuigiza kama ma-sister?

kuna element fulani ambazo inabidi wazicheze bana..

Ha ha haaa...lol
Mwenzio mi siwezi...nitaharibu bureee
 
hata kale kademu lulu anatambalia nyota ya kanumba maana tangu jamaa alipokufa huyu msichana umaalufu ndo umepanda.
 
hata kale kademu lulu anatambalia nyota ya kanumba maana tangu jamaa alipokufa huyu msichana umaalufu ndo umepanda.

sometimes naona kama ni kweli mkuu..

ila kwa lulu nae mkuu tangu azalishe movie ya foolish age mpaka sasa unaonaje maendeleo yake kihalisi?

achilia mbali upande wa pili ambapo kuna wanaowainua.
 
Back
Top Bottom