Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

Kifo cha Steven Kanumba Kimedororesha Tasnia ya Filamu Tanzania

MaTatizo ya la bongo movie naweza nikayagawanya katia sehemu mbili kwanza ni kuchakachuliwa kazi zao kuuzwa fake na pia hizi stationary zilizopo mtaani kkodisha c.d so soko lao watengeneza filamu halikui linazidi kudumaa,so wanaingia hasara

upande wa sababu ambazo ziko ndani ya uwezo wao
ni kutokuwa wabunifu yaani kila siku movie story hizo hizo,idea hizo hizo hamna jipya hata movie za horror wanzojaribu kucheza eti maghost bado mpk leo hii wanajipaka majivu,

kitu kingine movie imekuwa sehemu ya matangazo ya trailers za movie zingine kwa kweli hii kitu inaboa sana umenunua c.d unaweka unakatana matangazo ya movie nyingine kama 10 hivi mpk unajiuliza ulikuwa unaangalia movie gani???

Alafu maeditor na directors wa movie hawafanyi kazi zao sawasawa huwezi ukakubari movie uliyoidirect dk 15 nzima anaonyeshwa mtu mmoja tu,kuna movie nimesahau jina wameonyesha dada katoka kulala,kaenda kupiga mswaki kapiga simu kwa mpenzi wake kafua then akaenda sokoni kununua vitu alafu akarudi kupika nikashindwa kuelewa logic ya kutuonyesha yote hayo walikuwa wanajaribu kutengeneza story ? Au wanatuonyesha maisha ya yule dada???

Kingine ambacho kibaya zaidi ni filamu za makundi unakuta sijui kundi linajiita mfano zubizareta sanaa arts group basi wanajikusanya wanatengeneza movie inawezekana kundi likakosa actor anayefaa katika scene fulani lakini kwa sababu filamu ni ya kundi lao basi wanampa hata mtu ambae hawezi kuigiza kibaya zaidi hawakaribishi wala hawana mpango wa kutafuta hata idea au support ya movie yao kutoka nje. Kwa sababu idea na kila kitu ni cha kundi lao ikiwemo madirector,actors na story basi katika scenario kama hiyo huwezi ona kitu katika movie.
 
juzi jumapili katika kipindi cha filamunata nafikiri kinachorushwa times fm, nikamsikia sijui ndio mwenyekiti wao analalamika kwa kupata mtu mmoja katika bunge la katiba, eti akidai tasinia ya filamu inazalisha ajira za kutosha zaidi ya 6m, na tunaongeza pato la taifa....
Ukweli nikacheka sana, sana tu! Maana sioni uhalisia, zaidi ya ujasilia mwili kwa wadada na wakaka kuombaomba baa, na kuishi maisha ya kuigiza zaidi.
Kuna haja kuingalia tasnia hii kwa umakini zaidi ili iweze kunufaisha vijana na taifa kwa ujumla wake....
hakika hii tsnia himekufa kabisa bado kuzikwa.
Nilimuamini jb anaweza kufanya jambo kwaajii ya hii tasnia maaa niiona yeye ndio angeweza kuziba pengo la kanumba lakini kumbe nilikuwa wrong.
Hakika kanumba kazikwa na tasnia ya filamu tanzania.
 
well said mkuu!

Points ulizoongea hakika zina apply kabisa katika soko letu la bongo movie.

Movie nyingi zinazozalishwa ziko irrelevant na mahitaji ya soko, japo wasanii wanajitahidi sana kustick kwenye jamii inachofanya!

Lakini mkuu, jambo ambalo najiuliza, je jamii ya kitanzania ina mwamko kweli kupokea filamu za kitanzania? Ama watengeneza filamu wenyewe ndio hawajawajenga watanzania kisaikolojia kupokea kazi zao?

Bollywood na nollywood zimeendelea sana recently pamoja na hollywood na zimefikia hatua ya kulikamata soko la filamu duniani! Je, kwa sisi tanzania, tatizo liko upande gani? Wasanii? Watanznania wenyewe ama serikali?

mkuu Excel watanzania wako tayari kununua kazi za filamu na wamekuwa wakinunua kila leo.
Lakini waandaaji si wabunifu na mambo yanayo igizwa humo hayaendani na jamii yetu ndio maana nyingine zina kosa soko. Soko lipo lakini tusisahau kuna maharamia ambapo kama wasanii wangekuwa serious kukaa na serikali na kujadili jinsi ya kupambana nao, hakika hili lisingekuwa tatizo kubwa.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Excel watanzania wako tayari kununua kazi za filamu na wamekuwa wakinunua kila leo.
Lakini waandaaji si wabunifu na mambo yanayo igizwa humo hayaendani na jamii yetu ndio maana nyingine zina kosa soko. Soko lipo lakini tusisahau kuna maharamia ambapo kama wasanii wangekuwa serious kukaa na serikali na kujadili jinsi ya kupambana nao, hakika hili lisingekuwa tatizo kubwa.

mkuu.. tukitazama kwa kina ndani ya tasnia ya bongo movie, kuna wasanii gani hasa ambao wamepata elimu ya kutosha ambayo wanaweza kuitumia kufanya market research both internal na external markets?

piracy mkuu inasababishwa na kukosa userious katika kufuatilia masuala haya kiundani, nakumbuka last year walipitisha msako karibu wilaya zote za dar es salaam na kukamata vishoka wengi sana wa filamu ndani ya dar.. sasa, kwanini hilo zoezi halikuwa endelevu?

cc.. Himidini, Mr Rocky, Chujio, Eiyer, Ntuzu, Angelicious, miss neddy, mwekundu, Mtambuzi, MziziMkavu, Lady peace, Bantu lady, Mtoto halali na hela, Karucee, Heaven on Earth, heaven on desert, LORDVILLE, Mentor, Mashaxizo, stata mzuka, mimi49,.... n.k

karibuni kwenye mdahalo huu wakuu! semeni tu lolote kuhusu bongo movie industry kwa ujumla.
 
Last edited by a moderator:
mkuu.. tukitazama kwa kina ndani ya tasnia ya bongo movie, kuna wasanii gani hasa ambao wamepata elimu ya kutosha ambayo wanaweza kuitumia kufanya market research both internal na external markets?

piracy mkuu inasababishwa na kukosa userious katika kufuatilia masuala haya kiundani, nakumbuka last year walipitisha msako karibu wilaya zote za dar es salaam na kukamata vishoka wengi sana wa filamu ndani ya dar.. sasa, kwanini hilo zoezi halikuwa endelevu?

cc.. Himidini, Mr Rocky, Chujio, Eiyer, Ntuzu, Angelicious, miss neddy, mwekundu, Mtambuzi, MziziMkavu, Lady peace, Bantu lady, Mtoto halali na hela, Karucee, Heaven on Earth, heaven on desert, LORDVILLE, Mentor, Mashaxizo, stata mzuka, mimi49,.... n.k

karibuni kwenye mdahalo huu wakuu! semeni tu lolote kuhusu bongo movie industry kwa ujumla.


King Excel aaaaah! Sijui na Mimi nimeanza kutekwa! Anyway! Tatizo miss neddy Huyu anakufagilia sn kila kona ananiambia oh king Wang Excel mara Sijui nini? Kweli kupenda kubaya!

What is bongo moves? Mimi ktk hili Yani niko kushoto kabisa! Tena umefikiria nini kuleta hii mada?

Ngoja nione kwanza michango ya watu wengine then na Mimi ntaanza kutiririka!
 
Last edited by a moderator:
^^
Excel nimeitika wito jukwaa hili si mdau sana, natumai utaelewa vema.
Mchango wangu si mrefu sana, tatizo ninaloliona ni wasanii wakubwa kutokuwaanda warithi wao.
They do it but for maintaining their fame, wakiondoka ni sawa na nyumba yatima isiyojua pa kusimama
^^
 
Last edited by a moderator:
mkuu.. tukitazama kwa kina ndani ya tasnia ya bongo movie, kuna wasanii gani hasa ambao wamepata elimu ya kutosha ambayo wanaweza kuitumia kufanya market research both internal na external markets?

piracy mkuu inasababishwa na kukosa userious katika kufuatilia masuala haya kiundani, nakumbuka last year walipitisha msako karibu wilaya zote za dar es salaam na kukamata vishoka wengi sana wa filamu ndani ya dar.. sasa, kwanini hilo zoezi halikuwa endelevu?

cc.. Himidini, Mr Rocky, Chujio, Eiyer, Ntuzu, Angelicious, miss neddy, mwekundu, Mtambuzi, MziziMkavu, Lady peace, Bantu lady, Mtoto halali na hela, Karucee, Heaven on Earth, heaven on desert, LORDVILLE, Mentor, Mashaxizo, stata mzuka, mimi49,.... n.k

karibuni kwenye mdahalo huu wakuu! semeni tu lolote kuhusu bongo movie industry kwa ujumla.

Yaani hawauzi kabisaaaaaa

Filam za siku hizi hazieleweki

Kuna wakati nilikuwa siangalii hizi filam lakini akina dada walikuwa wanazipenda sana

Lakini siku hizi hadi wao wanaziponda

Hii tasnia inakufa muda sio mrefu

Kama kuna mtu yoyote yule ambae ni mdau wa Bongo Muvie aangalie na kusikiliza anachokisema Zembwela kwenye mahojiano yake na Salama na akakifanyie kazi kuokoa hii tasnia

 
Last edited by a moderator:
MaTatizo ya la bongo movie naweza nikayagawanya katia sehemu mbili kwanza ni kuchakachuliwa kazi zao kuuzwa fake na pia hizi stationary zilizopo mtaani kkodisha c.d so soko lao watengeneza filamu halikui linazidi kudumaa,so wanaingia hasara

upande wa sababu ambazo ziko ndani ya uwezo wao
ni kutokuwa wabunifu yaani kila siku movie story hizo hizo,idea hizo hizo hamna jipya hata movie za horror wanzojaribu kucheza eti maghost bado mpk leo hii wanajipaka majivu,

kitu kingine movie imekuwa sehemu ya matangazo ya trailers za movie zingine kwa kweli hii kitu inaboa sana umenunua c.d unaweka unakatana matangazo ya movie nyingine kama 10 hivi mpk unajiuliza ulikuwa unaangalia movie gani???

Alafu maeditor na directors wa movie hawafanyi kazi zao sawasawa huwezi ukakubari movie uliyoidirect dk 15 nzima anaonyeshwa mtu mmoja tu,kuna movie nimesahau jina wameonyesha dada katoka kulala,kaenda kupiga mswaki kapiga simu kwa mpenzi wake kafua then akaenda sokoni kununua vitu alafu akarudi kupika nikashindwa kuelewa logic ya kutuonyesha yote hayo walikuwa wanajaribu kutengeneza story ? Au wanatuonyesha maisha ya yule dada???

Kingine ambacho kibaya zaidi ni filamu za makundi unakuta sijui kundi linajiita mfano zubizareta sanaa arts group basi wanajikusanya wanatengeneza movie inawezekana kundi likakosa actor anayefaa katika scene fulani lakini kwa sababu filamu ni ya kundi lao basi wanampa hata mtu ambae hawezi kuigiza kibaya zaidi hawakaribishi wala hawana mpango wa kutafuta hata idea au support ya movie yao kutoka nje. Kwa sababu idea na kila kitu ni cha kundi lao ikiwemo madirector,actors na story basi katika scenario kama hiyo huwezi ona kitu katika movie.


Ndio Maana hawauzi coz wao wenyewe hawajui kz Yao!

Naunga mkono maelezo yako!

Usisahau na budget za move zao hazijulikani!
Mfano utaweza tengeneza move kwa budget ya M 10 Au 20? Hiyo ni move Au nini?
 
^^
Excel nimeitika wito jukwaa hili si mdau sana, natumai utaelewa vema.
Mchango wangu si mrefu sana, tatizo ninaloliona ni wasanii wakubwa kutokuwaanda warithi wao.
They do it but for maintaining their fame, wakiondoka ni sawa na nyumba yatima isiyojua pa kusimama
^^

mkuu hali ya upepo ndani ya bongo movie unaionaje kwa sasa?

unawezaje kumzungumzia mtu kama jackline wolper ama wema sepetu kwa hali zao za sasa?
 
Yaani hawauzi kabisaaaaaa

Filam za siku hizi hazieleweki

Kuna wakati nilikuwa siangalii hizi filam lakini akina dada walikuwa wanazipenda sana

Lakini siku hizi hadi wao wanaziponda

Hii tasnia inakufa muda sio mrefu

Kama kuna mtu yoyote yule ambae ni mdau wa Bongo Muvie aangalie na kusikiliza anachokisema Zembwela kwenye mahojiano yake na Salama na akakifanyie kazi kuokoa hii tasnia



mkuu, hebu jaribu kuangalia viwango vya elimu vya wasanii mbalimbali ndani ya bongo movie...

watu kama wema sepetu, jacob steven kwa mujibu wangu ndio wamefika angalau high school.. lakini elimu zao wanazitumiaje?

kwa wasanii kama shilole, wolper, uwoya aunt ezekiel, kidoti, bila shaka wamegusa mpaka form four.

kwanini sasa wanakosa ubunifu? nini mbaya?
 
Last edited by a moderator:
mkuu, hebu jaribu kuangalia viwango vya elimu vya wasanii mbalimbali ndani ya bongo movie...

watu kama wema sepetu, jacob steven kwa mujibu wangu ndio wamefika angalau high school.. lakini elimu zao wanazitumiaje?

kwa wasanii kama shilole, wolper, uwoya aunt ezekiel, kidoti, bila shaka wamegusa mpaka form four.

kwanini sasa wanakosa ubunifu? nini mbaya?

Majibu yapo kwenye huo Mkasi hapo

Tumia muda wako kuutazama!!
 
Ndio Maana hawauzi coz wao wenyewe hawajui kz Yao!

Naunga mkono maelezo yako!

Usisahau na budget za move zao hazijulikani!
Mfano utaweza tengeneza move kwa budget ya M 10 Au 20? Hiyo ni move Au nini?

mkuu, ahsante kwa mchango kutoka kwa mdau Mndengereko.. tukiangalia movie zinazouza sana kwenye soko kama titanic, avatar, nk total budgets zao zinajulikana na crew nzima hasa iliyotengeneza hizo movie inajulikana..

hakuna sehemu director akawa ndo main character, lightman, sound engineer, boom mike controller, na shughuli nyingine zinazolekea movie kukamilika..

kwanini wasanii wa bongo movie wao wanajimilikisha madaraka makubwa kiasi hiki? tatizo ni nini haswa?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
King Excel aaaaah! Sijui na Mimi nimeanza kutekwa! Anyway! Tatizo miss neddy Huyu anakufagilia sn kila kona ananiambia oh king Wang Excel mara Sijui nini? Kweli kupenda kubaya!

What is bongo moves? Mimi ktk hili Yani niko kushoto kabisa! Tena umefikiria nini kuleta hii mada?

Ngoja nione kwanza michango ya watu wengine then na Mimi ntaanza kutiririka!

hahahaaa!!! malikia wangu yuko deeply in love with this king from musoma..

hivi his excellency, Ntuzu, mbona mfalme wa bongo movies, STEVEN KANUMBA ni wa kwenu kabisa? how comes hujui kazi yake?
 
Last edited by a moderator:
hakika hii tsnia himekufa kabisa bado kuzikwa.
Nilimuamini jb anaweza kufanya jambo kwaajii ya hii tasnia maaa niiona yeye ndio angeweza kuziba pengo la kanumba lakini kumbe nilikuwa wrong.
Hakika kanumba kazikwa na tasnia ya filamu tanzania.

haswaaaa!!! red is the point.. kuna wadau wanagoma kwamba si kweli..!

lakini naona SK ndio mwasisi hasa tofauti na ray na jb kwa sababu hawa ndio walikuwa wanamfuata kwa nyuma kwa kila alichokuwa anafanya!

wadada hawana lolote ndani ya bongo movie zaidi ya umalaya na usambazaji wa madawa ya kulevya!
 
hahahaaa!!! malikia wangu yuko deeply in love with this king from musoma..

hivi his excellency, Ntuzu, mbona mfalme wa bongo movies, STEVEN KANUMBA ni wa kwenu kabisa? how comes hujui kazi yake?


Mwanangu Si kwamba sizifahamu kazi Zake! Ila Nafikiri Hapo nilikosa neno muafaka la kutumia ndio nikasema Mimi niko kushoto na haya mambo nikimaanisha bongo movie ni hovyo kabisa!

Nina sababu nyingi sn za kusema hivi Ingawa wengine Wengi humu wameshatoa sababu mbali mbali za kuwakosoa! Lkn km ingekua sio kuandika ni kutoa sababu tu kwa mdomo Mimi ningetoa sababu kwa muda Wa masaa 12 nikisema tu Kwanini bongo movie hazifai! Najua kuna baadhi ya wadau wanaweza sema uzalendo kwanza Mara Sijui nini! Lkn Mimi bongo movie ziko na mashida kibao sn! Wasanii tabu, elimu, story zenyewe, vifaa vya kutengenezea movie, locations za movie, Yani Sijui niseme nini niache nini?
 
Last edited by a moderator:
Ndio Maana hawauzi coz wao wenyewe hawajui kz Yao!

Naunga mkono maelezo yako!

Usisahau na budget za move zao hazijulikani!
Mfano utaweza tengeneza move kwa budget ya M 10 Au 20? Hiyo ni move Au nini?

wanakuwa na budget finyu hivyo kwa sababu hawaamini kama watauza sana so wanaogopa kupata hasara wanashindwa kuelewa kwamba the higher the risk the highr the profit,ukitengeneza kitu kizuri sio lazima kiangaliwe ndani ya nchi kinaweza kuangaliwa haa nje ya nchi watu wanaangalia filamu za kifilipino na za kichina.... Subtittle inafanya kazi yake,kitu kingine mtu kama mimi mara ya mwisho kununua bongo movie ilikuwa 2010 just baada ya kuona haina maboresho,ila ni mnunuaji mzuri sana wa mixtape za wasanii wa bongo flavour (hip hop) just because naridhishwa na wanachofanya wakitengeneza movie nzuri watatuinspire watu kama sisi kununua kazi zao lakini pia kutengeneza movie nzuri kunakuongezea possibility ya kuitwa nje ya nchi kufanya collabo na mtu mkubwa, so kwamgu mimi kuweka budget ndogo no excuse katika hilo.
 
Back
Top Bottom