NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.......... Naona watu mnamhukumu, mnaropoka tu mambo ambayo wala hamyajui au hamna uhakika nayo.... mlikuwa wapi kumsema siku zote akiwa hai mnajitia kumsema now baada ya kufariki kama si unafiki??? Acheni hizo, mwenye right ya kuhukumu ni Mungu pekeake na si binadamu....... nyie mnaomhukumu na kumtolea marehemu maneno makali na mabaya je ni wasafi?? No one is perfect except God, as far as u r a human being utakuwa na mapungufu tu. Asingekuwa na mazuri anayotambulika nayo sidhani kama watu wengi namna hiyo wangemlilia, nadhani mliona umati wa watu Leaders etc.......... halafu msimzeeshe, kwa umri wake Kanumba hawezi kumzaa Lulu, unless mnambie kuna mvulana mwenye miaka 10 au 11 anaeweza kuzalisha mtoto, semeni mdogo wake sio mtoto wake. Huu ni ujumbe kwa Kibagata, Kiduku, greenstar, SR Senior..... na waropokaji wengine mnaoongea mambo bila kufikiri wala kuwa na uhakika nayo, au mmekunywa maji na kopo la chooni nini? teh teh teh