Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Hili la Lulu kumwua Marehemu Kanumba ni geresha tu!


Haya ya Kanumba ni makubwa!
Tupige kimya kwn tutasikia mengi sana yatakayomlenga na hapo ndipo kutakuwa na maswali kedekede!
 
naskia Uwoya ndio alishinda,alizimia mara sita..yani alizimia akazinduka akazimia tena akazinduka,akazimia tena akazinduka akazimia tena akazinduka,waliokuwa wanampepea wakachoka nae akapumzika kidogo... baada ya kuona Wema anamkalibia kumfunika akaendelea kuzimia mfululizo..
Ha ha ha ha ha!!!
Hii comment imenichekesha sana!!
Hivi kuzimia ni Dili???
Mi naona ushamba tu na kujipendekeza!!
 
wamwache Kanumba apumzike jamani, inatosha sasa. Yaani kila nikimfikiria huyu Kanumba yaani mwili unakua unakufa ganzi he is dead and gone ni ngumu kuamini lakini ndio hivyo kazi ya Mungu haina Makosa
 
naskia Uwoya ndio alishinda,alizimia mara sita..yani alizimia akazinduka akazimia tena akazinduka,akazimia tena akazinduka akazimia tena akazinduka,waliokuwa wanampepea wakachoka nae akapumzika kidogo... baada ya kuona Wema anamkalibia kumfunika akaendelea kuzimia mfululizo..

mbavu zangu weeee!
umenivunja mbavu ya katiki kushoto.
 
naskia Uwoya ndio alishinda,alizimia mara sita..yani alizimia akazinduka akazimia tena akazinduka,akazimia tena akazinduka akazimia tena akazinduka,waliokuwa wanampepea wakachoka nae akapumzika kidogo... baada ya kuona Wema anamkalibia kumfunika akaendelea kuzimia mfululizo..

Wewe bwana unacheza. Ulimwona STEVE NYERERE? Alitisha. yaani alipowaona globalpublishers na kundi la waandishi walobeba makamera, aliwaambia washkaji kabisa najiskia kizunguzungu. ghafla kadondoka, akaanza kurusha rusha miguuu kama dakika kumi. Pale washkaji walipompita, akageuka kuuliza, wamenipiga picha, akaambiwa hapana. akaseka, khaaa, akaanza tena rusha miguu rusha miguu hadi wakaja kuangalia nini ilikuwa inaendelea. Wakampiga vipicha vya video na picha za kawaida. walipoanza kuondoka kauliza mshamaliza? kuambiwa ndiyo kanyanyuka. Leadeers club kafanya hivyo hivyo. Yaani palikuwa hapatoshi... Ushindi ni kwa STEVE Nyerere, Irene Uwoya alafu Wema Sepetu
 
Nimesoma mengi kuhusu huyo binti mwigizaji Elizabeth Lulu Michael Kimemeta, ambaye anashikiliwa na polisi kuhusiana na kifo cha Steven Kanumba. Kwa kweli huyo binti ni mbegu mbaya au ana shetani ndani yake. Tangu umri mdogo ametaka kuwa mkubwa. Kama ni kweli ana miaka 17 tu, kwa nini alifanyiwa birthday party kubwa tu ya kushrekea yeye kuwa na miaka 18?

Pia hao wanaume ambao anadaiwa kutembea nao ni wengi mno kwa binti mdogo hivyo, kafikia status ya umalaya. Kwa nini hakuwa shule kama wasichana wengi wa umri wake? Kwa nini kila saa alitaka kutembea karibu uchi. Picha zake nyingi yuko zaidi ya nusu uchi.

Kuhusu ukubwa ameyapata sasa hiyi kesi ya mauji ni ya kikubwa. Ndo alikuwa anakimbilia ukubwa ili amtoe roho mtu? Alitakiwa kuombewa ili mashetani yamtoke. Kuna shetani wa kutotosheka ngono ndani yake pia.

Kwa kweli kama ndugu yangu angemleta nyumbani aseme kuwa anataka kumwoa, ingebidi nimkalishe kitako na kumwonya kuwa huyo binti ni mbegu mbaya. Kuna hatari watoto aatakao zaa watakuwa wabaya zaidi yake.

Natoa pole kwa wazazi wake maana nina amini kuwa walijitahidi kumlea vizuri lakini ndo hivyo tena. Wazungu wanamwita Black Sheep.

Nachukua nafasi hii kutoa pole kwa familia ya marehemu Steven Kanumba. Pia nina toa pole kwa wazazi wa Lulu maana nao wamempoteza mwanao.
 
Hivi haka ka Lulu na Kanumba ni vi akinanani hasa? naomba msaada jamani maana siku za karibuni wameuza sana jukwaani.
 
Wabongo ni washamba sana, mnaishi kwa kudhania kama mgambo. Mijitu haijawahi kuona cheti cha kuzaliwa inakomaa kuwa imeona interview amesema ana 18. The same interview alisema hana boyfriend na kakutwa kwa SK usiku wa manane. Msizoee hear say kama vicheche, muwe mnajishugulisha kutafuta evidence sio kukaa tu nyuma ya keyboard. Ndo maana Lusinde alisema mnatishia kujamba ilhali mnaharisha
 
Walivyoandika wapo sawa kabisa, maana ndio kesi iliyomfikisha mahakamani. Hayo ya kuwa hakuua yatakuja baadaye, kila upande utakapo toa utetezi wake. Kwa sasa wala usilalamike wanavyoandika!!!
 
Nimesoma mengi kuhusu huyo binti mwigizaji Elizabeth Lulu Michael Kimemeta, ambaye anashikiliwa na polisi kuhusiana na kifo cha Steven Kanumba. Kwa kweli huyo binti ni mbegu mbaya au ana shetani ndani yake. Tangu umri mdogo ametaka kuwa mkubwa. Kama ni kweli ana miaka 17 tu, kwa nini alifanyiwa birthday party kubwa tu ya kushrekea yeye kuwa na miaka 18?

Pia hao wanaume ambao anadaiwa kutembea nao ni wengi mno kwa binti mdogo hivyo, kafikia status ya umalaya. Kwa nini hakuwa shule kama wasichana wengi wa umri wake? Kwa nini kila saa alitaka kutembea karibu uchi. Picha zake nyingi yuko zaidi ya nusu uchi.

Kuhusu ukubwa ameyapata sasa hiyi kesi ya mauji ni ya kikubwa. Ndo alikuwa anakimbilia ukubwa ili amtoe roho mtu? Alitakiwa kuombewa ili mashetani yamtoke. Kuna shetani wa kutotosheka ngono ndani yake pia.

Kwa kweli kama ndugu yangu angemleta nyumbani aseme kuwa anataka kumwoa, ingebidi nimkalishe kitako na kumwonya kuwa huyo binti ni mbegu mbaya. Kuna hatari watoto aatakao zaa watakuwa wabaya zaidi yake.

Natoa pole kwa wazazi wake maana nina amini kuwa walijitahidi kumlea vizuri lakini ndo hivyo tena. Wazungu wanamwita Black Sheep.

Nachukua nafasi hii kutoa pole kwa familia ya marehemu Steven Kanumba. Pia nina toa pole kwa wazazi wa Lulu maana nao wamempoteza mwanao.

wakuombee kwanza wewe uliemtamani kabla ya kuleta hii habari
wewe kama mtu mzima unaangaliaje picha za uchi za mtoto mdogo kama lulu kama huna matatizo tena unaelezea kabisa akiwa uchi unapenda kuangalia uchi za wengine??nimesoma kote sijaona watu wakiongelea uchi wa lulu sasa huku ni kutamaniana na pepo hilolishindwe Kwa jinala YESU HATA KABLA AJASHINDA KESI UWE HURU IN JESUS NAME
 
naskia Uwoya ndio alishinda,alizimia mara sita..yani alizimia akazinduka akazimia tena akazinduka,akazimia tena akazinduka akazimia tena akazinduka,waliokuwa wanampepea wakachoka nae akapumzika kidogo... baada ya kuona Wema anamkalibia kumfunika akaendelea kuzimia mfululizo..

Hahahahaha
 
Naamini Hayati Kanumba alikuwa mwalimu wa Lulu kwenye Tasnia ya filamu, ingekuwa vipi laiti kama Hayati Kanumba angekuwa mwalimu wa A-Level moja afu Lulu ni mwanafunzi wake? . Au mwanafunzi (chini ya miaka 18) ni yule wa sekondari tu. Hizi ni hisia zangu tu kuhusu walimu na sheria, walimu na jamii, n.k.
 
Yaani ilikuwa kama sarakasi. Samahani sana lakini hata mimi nilikuwa nacheka kila nikiona huyo kazimia, yule kazimia! Nikasema sasa hii ni Side Show!:A S 576:
 
wafatilie mwaka aloandikishwa wakati anasajiliwa kuanza darasa la kwanza
 
Back
Top Bottom