Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Miss drama queen! Nimesoma mahala kazimia msibani kapelekwa hosp! Hii ngoma nzito haswaa!
Nitaongea na babu odm amue mke mdogo labda atatuliza ruhani lake.
 




Kila mtu na mtazamo wake,lakini kwangu sioni yoyote zaidi ya The Greater. Labda niambie wanasiasa,nitamtaja Zitto. Sio bora sana,ila mvuto wake unakaribiana na Steve ndani ya jamii.
BURIANA THE GREAT 4REAL !
 

wema tuendelee kumwombea ili arudi kundini kwa Kristu Mungu wake..............
 
La muhimu apumzishwe kwa amani, tuzidi kumuombea kwa mola. Yeye kamaliza safari yake.Fikiria wewe je?
 
watafatilia kinafiki kwa visingizio vya kumuhenzi kanumba! moyoni hawana utu.
 
Daily News!!? which page is that? nimesoma hayo magazeti jana na leo... n why only daily news? embu tufikirie cha kutunga jamani kabla ya kuandika
 

A reputable police force can easily answer those questions.
 
daah.!
R I P brother.
kwa kila mtu mwenye akili nzuri huu msiba unamhusu kila mtanzania.
 
sababu siyo nauli! unadhani ingekuwa nauli shibuda angeshindwa kumpa? Ni kwamba anaumwa ndio maana ameshindwa kuhudhuria mazishi!
 
Wabongo iko waongo. Machoni iko kama watu. Moyoni iko jitu mubaya, ya pepo mchafu wa chuki, husda na wivu wa kutoa roho yako
 
Kama Madaktari wamesema hilo ndio tatizo then dogo anaweza kujinasua vizuri sana na asifanywe anything, wakisema wanataka kujua imekuwaje mpaka akaanguka, kwanza kabisa huyu dogo anaweza kudanganya chochote kile kwanza kabisa hakukuwa na shahidi huko chumbani.

Na huyu mdogo mtu alisikia wakigombana bali hakujua nini kimetokea hasa huko chumbani, so anaweza kusema aliteleza tu mwenyewe then akaangukia kichwani, I mean ni vitun vingi sana vya kujitetea hapa, maana huko chumba hawakuwa watatu bali walikuwa wawili tu so hapa sidhani kama hii kesi inaweza kuwa na uzito sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…