to me i learn alot..kumuomba mungu kifo chema,in reality kifo cha ndugu yetu tumuombee sana coz alikuwa na girl under 18 then alikuwa anakunywa whisk na isitoshe alikuwa anajiandaa kwenda club when you sum up jamaa alikuwa outluking best actor inside alikuwa mzinzi..nadhani Mungu hakupenda siku ile ya ijumaa kuu kufa kwa kristu katika mfungo mshkaji kufanya yale mambo..for Inteligent guyz he is like other hells
Unadoubt nini? Unahakika gani kwamba hajafurahishwa na maziko ya mtoto wake kutekwa na vyombo vya habari pamoja na CCM? Unauhakika gani kwamba mila na desturi za maziko kwa mujibu wa wasukuma hazijazingatiwa? What relation is there between the dead and the living?
Jamani kuna tetesi zimeenea na zinazozidi kuenea kwa kasi, eti kuwa Lulu ana mimba ya Kanumba, na eti Kanumba alitaka Lulu akaitoe lakini Lulu akagoma. Je wadau habari hizi zina ukweli wowote?
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea?,
Tumesema mengi juu ya Kanumba,kuna ambayo yatasaidia kutuelimisha.
Lakini sasa imebaki historia tuu.......Kanumba hayupo tena.
Mm nina yangu yamenigusa,kwanza natoa pole kwa wafiwa wote.
Baada ya pole sasa ngoja nifunguke.
Ktk ukiristo kuna kifungu kinasema"ulitoka kwa udongo utarudi kwa udongo"kwa uelewa wangu ni kwamba tuliumbwa kwa udongo na tutarudi udongoni.
Kwa kutumia kifungu hicho basi mwenyezi mungu atawahukumu wote waliomjengea kanumba "hekalu"la kumzikia badala ya kaburi.Sasa kwa mjengo huo yeye atarudi kwa udongo lini?Hamuoni kama atasubili miaka mingi sana kurudi udongoni?
Na huyo sijui padri hakuliona hili?au yeye kifungu hiki hakijui?
Nasisitiza kwamba hayati KANUMBA hakutendewa haki kabisaaaaa!
Naomba kuwakilisha.
RIP KANUMBA.
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea?,
Akihojiwa na Elisha wa TBC1 katika News Bulletin leo usiku, kijana ambaye huwa anafanya kazi na Kanumba kutengeneza Movies anasema, katika Movie ambayo haijatoka mbali na ile ya "Ndoa yangu" aliyocheza na Jackline Wolper, mdau huyo anasema Kanumba katika Movie hiyo, ameigiza matukio yanayoshabihiana na tukio lake la kufa kwake:
1. Alikuwa na Mpenzi aliye na figo moja akaamua kumpa figo yake lakini mpenzi huyo akamsaliti kwa kuwa na mwanaume mwingine
2. Katika Movie hiyo Kanumba anaanguka na alipokufa anasaidiwa na rafiki yake ambaye ndiye aliyeambatana na mwili wa Kanumba Muhimbili na kuusitiri kwa nguo.
3. Kanumba kisha katika Movie hiyo anakufa na kufanyiwa uchunguzi na daktari ambaye ndiye kihalisia ni moja ya waliomfanyia uchunguzi.
What a coincidence?