Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

am quite sure the little girl is going to walk free! i see nothing which can implicate her with this controversial death of SK!
 

Mimi nimekwisha muhukumu Lulu kwamba HANA kosa
 
Uandamane huna kazi au kazi uliyonayo kupost tu comment ambazo hazina mwelekeo hapa JF???
 

Kaka usidanganyike na kina Kanyela kuongea kwenye TV, kwa Tanzania wala hakuna uchunguzi wa maana kama unavyofikiria.Yaani hiyo fani imejaa wababaishaji tu.

Kama marambili tuliibiwa ofisini kwetu tukaita wataalamu kutoka polisi kwa gharama ya ofisi.Kufika wakadai wanachukua fingerprints, ni miaka mitatu mpaka leo hatujapewa majibu ukiuliza wameshasahau hata kama walikuja.

Yaani ni ubabaishaji tu.
 
Reactions: EMT


Mkuu, kanumba (RIP) alikukosea nini???
 
Lakini hii ni funzo kubwa sana kwa wa baba ambao wametupa watoto kisa vimada. Kwakweli naona kanumba alifanya cha maana Sana kumsema baba yake vile hope wanaume watabadilika maana aliturepresent wengi. Najua kuna swali la kuheshimu wazazi lakini Kama huyo mzazi ni shetani inakuwaje?
 

mna kazi kweli asee!mnayoyajua mseme ,msiyajua nayo mseme tuwaeleweje nyie binadamu?
 

VLADIMIR
katika hali ya kawaida, mzazi wako hata akikushikia panga atake kukukata kamwe hutaweza kwenda kusema ama kutangaza kwa watu. The same kwa Mzazi, hata akishikiwa Panga na Mwanae wala hatokwenda kutangaza kwa watu.
Ila mambo huwa tofauti kama mzazi wa mwenzako ama mtoto wa mwenzako atakapokushikia panga.
NATUMAI UMENIELEWA!!!
 
So far katika hii kesi me naona hao police na wapelelezi they don't know what they are doin so far kwa mtizamo wako,nadhani final day kwa sababu hawajui nini wanafanya huyu dogo atakuja kuachiliwa free of charge na hapewi hukumu yoyote kwanza kabisa kesi haitakuwa nzito maana huko chumbani alikuwa yeye na kanumba tu hamna mtu mwingine aliyekuwepo.
 
shukuru Mungu umelelewa na wazazi wako kabisa bt knw dt wazazi wengine wanatesa sana watoto wao hasa km hawajawazaa na bora ampe mtoto kazi bt smtm anamnyima hadi chakula do u thnk huyu mtoto atasahau? HATA KANUMBA may b alipata mateso mengi zaidi ya kazi..dont judge.
 
Jamani huyo baba alimsusa mwanae toka yuko sekondari mpaka mama yake ndio akawa anahangaika nae kumtafutia wa kumpa ada na ninamfaham mtu aliyekuja kumkabidhi kanumba ili amsomeshe sasa kwanini apewe thamani saizi wakati wa uzima hakumjali

hivi mi nashangaa sana watu wanavyomtupia lawama kamumba. Baba akunyanyase na asikujali wala kujishughulisha na wewe toka utoto, leo umekua na mafanikio ndio anajitia eti ni mzazi wako! Uzaza ni zaidi ya kumwaga mbegu na kutungishaa mimba jamani. Kanumba alikua na haki ya kueleza hisia zake! Yeye baba nae alitakiwa kujua kuwa mwanae ana machungu ya aliyomtendea na kama ana akili sawa angetafuta ku -make peace na mwanae! Kama SK hakuongea vizuri mni kwasababu ya uchungu. Leo amekufa eti ndio akazikwe kwao ambapo wakati wa uhai wake wala siajabu hakwenda! It doesnt make sense. Wapi imeandikwa kuwa ni lazima mtu akazikwe kwao? Wengine eti hakutumiwa nauli! Ivi mwanao amekufa unasubiri utumiwe nauli ndio uende kumzika na usipotumiwa huendi? Huo si upuuzi wa highest degreee? Angekuwa na mapenzi na mwanae angekuja kumzika hata kama they were not in gud terms. Kwani akisusa kuja kwenye mazishi ndio atasaidia nini? Wazee wengine bwana! Anataka anyenyekewe kwa lipi? Irresponsible father!
 

nakuunga mkono kwa 100%,umesema kweli
 
.......waheshimu baba yako na mama yako,siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana Mungu wako.........,na hii ndio amri pekee yenye ahadi,upate heri na siku zenye kufanikiwa katika dunia hii.Amri hii haijabagua tabia za wazazi,wanaweza kuwa wacha Mungu au sio wacha Mungu,walez au sio walevi,wazinzi nk,bado tunapaswa kuwaheshimu ili tuishi maisha marefu,kwahiyo tukiacha kuwaheshimu na hata kuwasema vibaya hata kama walitenda kweli mambo mabaya dhidi yetu, hatutakwepa laana,yaan ule ulinzi na lile wingu juu yetu la wazazi wetu linaondoka ghafla roho ya mauti inaanza kukuwinda ghafla.tafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…