Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Sasa mbona Lulu ameshikiliwa kwa muda mrefu zaidi?
Au walisubiri Kanumba azikwe kwanza?
Nadhani kwa kuwa matukio yote yalitokea weekend... Lakini pia polisi hawajajipanga, hata leo wamefanya hivyo kuogopa kunyooshewa vidole kwa ukiukwaji wa haki za binadamu. Kiuhalali ilitakiwa afikishwa jana.

But mtoto ana defense nzuri tu ya kushinda hii kesi, haijalishi katembea na midume mingapi na yenye umri na maumbile gani, bado ni underage and minority kwa Kanumba, wakili wake lazima atashikilia hapo tu.
 
+255 ndugu yangu she was buyying time to frame up a defence. hata hivyo ni haki yake.
 
Msaniii ambaye amejizidishiwa umaarufu ndani na nje ya mipaka yetu hasa kufuatia kuhusishwa na kifo cha msanii nguri Kanumba, bibi Elizabeth Michael almaarufu kama LULU, amefikishwa leo mbele ya pirato pale mahakama ya Kisutu. Kwa mujibu wa mtoa habari, Lulu amesema ana miaka 17.. kesi imeahirishwa mpaka tarehe 23/4/2012..
Kama kuna mtu ana habari zaid ya hizi naomba atujuze kwa uzuri tu,, maana mi nimesikia ikiishia ishia..

Souce Radio One mchana huu.

Nawsilisha wakuu
 
Kuna mdau humu jukwaani alisema mawazo yako yakiwaza sana freemasons, kila sehemu utakuwa unaziona alama zao.
Na kila jambo litahusishwa na freemson.
Sina hakika kama yale mafuriko yaliyotekea Dar wiki chache zilizopita hayakuhusishwa na freemasons.
 
Watu wanaohusisha kila kitu na freemasons wananiboa sana, wanaeleza mambo ya freemasons utadhani wameshawahi kuyaona. Kama freemasons ni chama cha siri, watu walionje ya chama hicho mnajuaje mambo yao?
 
freemason ukisoma ni ya mabilionea je kanumba ni milionea? Jamani angalien ki2 mnachoandika toeni hoja za msingi
 
miaka 17 toka lini na ile pati ya kufikisha miaka 18 ilikuwaje mwaka jana, na yale mahojiano ya kipindi cha salama jabiri,na kipindi cha take one au kwasababu ya kifo cha kanumba miaka inarudishwa nyuma???
alianza kumshauri kamsahuri vibaya
 
Amesomewa mashitaka gani? Mangapi?

Huyu binti inabidi awe makini (consistent!) kweli na vitu anavyosema. Akianza kuflip flop tu atapoteza kuaminika kwake kwenye ushahidi mzima. Na hili suala la umri pia sioni kwa nini lina prop up haraka hivi kama defense...in a way inaweza kuashiria admission ya offence.

Kama kawa kesi imeshaanza kupigwa danadana....watu wanapata pa kula!
 
Kwa upepo unavyovuma watakachia tu haka katoto.Halafu kaongo sana kwenye mikasi kalisema kana 18 mahakamani kanasema kana 17 kanatafuta huruma ya mahakama naona.Kakitoka lazima utasikia kameokoa kimbuka kilichompitia hata kaa kamwe akasahau
 
naona kasikiliza ushauri wa mdee na zitto!huenda akapewa dhamana kama ditopile alivyopewa ingawa ilikua mada kesi
 
Labda sijaelewa. Je Kanumba angekuwa anaelewana vizuri na baba yake mzazi, mauti yasingemkuta? Yaani asingekufa?
 
Ki ukweli kanapikiwa maelezo ili Kanumba aonekana alikuwa anakabaka, ila kama ni kupigwa kameanza na miaka 6 so ni kazoefu kwa kwenda mbele, ila kwa kesi hii marehemu hana haki uwezekano wa kushinda kwa kigezo cha umri na kutokuwa/kukosa ushahidi wa kumsukuma inaweza ikamtoa.
 
kinachonishangaza ni hii kesi kwa mujibu wa redio one, imekuwa ni ya kificho sana... mwanzo walisema itakuwa mahakama ya kinondoni ila ghafla leo leo ikadilishwa kuwa kisutu ili kukwepa mapaparazi.. ambapo inasemekana lengo limefanikiwa maana mapaparazi walikuwa wachache sana. wengi waliwahi nafasi kinondoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…