Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nimeipenda sana!Yaani kwa mwendo huu TACAIDS wana kazi kweli!
Ninadhani huyu mheshimiwa ana "wapenzi wengine", na pia Kanumba alikuwa na "wapenzi wengine", na zaidi ni kwamba hao "wapenzi wengine" wana "wapenzi wengine" ambao wana "wapenzi wengine" ambao nao pia wana "wapenzi wengine" ambao wana....na hatimaye, huenda wewe pia ni mmoja wao wa hao "wapenzi wengine" na una "wapenzi wengine".
Taarifa za ndani zinaeleza mtu huyo ni Mheshimiwa Iddi Azzani.
Nimesikia kashtakiwa na makosa mawili - japo bila kuona charge sheet ni vigumu kusema kwa uhakika.
1. Kumpiga marehemu Kanumba na kitu kigumu/kizito kichwani hadi kumsababishia mtikisiko wa ubongo uliopelekea kifo
2. Kukimbia baada ya kusababisha kifo
hana gari huyo binti ila alikuwa anatumia gari aliyohongwa na kigogo mmoja wa Chama Cha Matusi ambaye ni mbunge toka mkoa wa jimbo mojawapo mkoani Tanga.
Nimesikia kashtakiwa na makosa mawili - japo bila kuona charge sheet ni vigumu kusema kwa uhakika.
1. Kumpiga marehemu Kanumba na kitu kigumu/kizito kichwani hadi kumsababishia mtikisiko wa ubongo uliopelekea kifo
2. Kukimbia baada ya kusababisha kifo
Kuna tetesi nimezisikia kuwa huyo mtu maarufu ni Nape Nnauye,polisi walipojaribu kufuatilia hiyo namba ya simu kwenye mamlaka ya mawasiliano wakakuta imesajiliwa kwa jina la NAPE NNAUYE ambaye ni katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha magamba.
ukisikia umbea usiokua na kikomo ndiyo huu
Capt John Komba
Ni Diamond.
Ni Diamond.
Kumbe kampiga marehemu, mtoto muongo sana huyo. Mara ya kwanza alisema marehemu alianguka mwenyewe.
Afungwe tu ili akitoka awe na adabu.
Yaani kwa mwendo huu TACAIDS wana kazi kweli!
Ninadhani huyu mheshimiwa ana "wapenzi wengine", na pia Kanumba alikuwa na "wapenzi wengine", na zaidi ni kwamba hao "wapenzi wengine" wana "wapenzi wengine" ambao wana "wapenzi wengine" ambao nao pia wana "wapenzi wengine" ambao wana....na hatimaye, huenda wewe pia ni mmoja wao wa hao "wapenzi wengine" na una "wapenzi wengine".
Sheria inasemaje kufanya mapenzi na mtoto wa miaka 16?