King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Inawezekana hiyo concussion ikatokea mtu ukiteleza na kuangukia kisogo!!
Majeraha ya lulu yametokana na nini?
Mdogo wake alisema alisikia wakigombana chumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana hiyo concussion ikatokea mtu ukiteleza na kuangukia kisogo!!

Sawa inawezekana ni kweli kufa kijana inauma sana, lakini hao wazee wetu hata msaada hawakupata wa matibabu na walipata mateso sana kabla ya kufariki mfano mzee Kipara....Ukifa kijana inauma sana(mizambwa)
Mzee Jangala alishakufa kumbe!
Mzee Jangala kafa lini Mkuu?
mi nipo dunia gani? mbona sina habari
alilegea akaanguka? Iyo brain concussion inatokea after sudden impact to head. So something happened before impact. Maelezo yake ni ya uongo. Jela iyooo! Inamuita.
Kwa hiyo hii ndio sababu ya serikali kutia nguvu zake katika mazishi yake??Kanumba alikuwa ni enterpreneur ambaye aliajiri/ alikuwa na mpango wa kuajiri Watanzania wengi sana siku za usoni, hivyo kumsaidia JK katika motto yake!
Sina uhakika sana kuhusu mzee Jangala kama kafariki au la........
atatoka vipi?? ugonjwa uliomuua ni Brain Concussion....tafiti causes yake.....