Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,984
Ni jambo jema kwa wakati huu watanzania wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa kuomboleza msiba wa Kanumba kwa pamoja.
Tumeshaona watu wakianza kutafuta "credit" za kienyeji sana katika msiba huu kitu ambacho hakina tija.
Bavicha kwa nafasi yenu mmefanya jambo la msingi kuungana na watanzania wengine kuonyesha masikitiko yenu juu ya kifro cha Kanumba.
Tumeshaona watu wakianza kutafuta "credit" za kienyeji sana katika msiba huu kitu ambacho hakina tija.
Bavicha kwa nafasi yenu mmefanya jambo la msingi kuungana na watanzania wengine kuonyesha masikitiko yenu juu ya kifro cha Kanumba.