Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

watu bwana hapa wamesahau na maovu yao yote nakuanza kuyaona yamarehemu.mambo haya yanafanyika sana hata huku unerground.eti na lulu mnamuita mtoro kabla hamjamlaumu kanumba nenden kwa mama yake mzazi ambae alikua anapiga kelele lulu akikayazwa kuingia disco.sasa mtu anavyosema eti wanatafunana wenyewe mlitaka wakachukue waimba taarabu wakat mazingira hayaendan.watu waliokaribu nirahisitena kwenye tasnia moja nirahisi kuanzisha mahusiano mfano beyonce na jzee,rehana na criss.au hata amber rose na kanyewest.so msiongee tu kwasababu mnataka kutia watu uchungu,haua mambo ni yakawaida sana pia lulu anapenda ukumbwa ndo maana alitudanganya kwenye media ana18 kumbe ni 17.tutajuaje anawadanganyaga wengine ana 24
 
Alisikika pia akisema katika kipindi cha Mikasi cha salama pale EATV kuwa ana miaka 18 lakini cheti chake cha kuzaliwa kinaonyesha 17. Na hii inawezekana kuwa alikuwa akitaka justification ya kufanya mambo ya kikubwa kama hayo ya kuwa na wapenzi na kunywa pombe ambako katika hayo mawili aaaaaaaaaa alikuwa moto wa kuotea mbali
 
Huu umbea


 
Mi nasikia mkulu, ndo maana aliahirisha safari kuhakikisha kama kweli mpinzani wake kavuta, sio kusikia juu juu tu
 
mimi alinishangaza hapa.......

TULIOSAPOTI MPAKA KITUO HIKI KUFIKIA HAPA KILIPO
SOMA MAJINA HAPO JUU JINA LANGU LIPO HAPO,
Preta siamini, kumbe wewe ndio................ooooh sorry kumbe name calling hairuhusiwi JF
 

Umeniongea vizuri nami nakubaliana nawe. Lakini kuhusu kupelekwa Lupango hilo halina mjadala, ni kweli saizi yupo Segerea.
 
Nimesikia habari za huyu bwana samweli na kuna siku nilikuta kipndi kinaishia. gazeti la Rai kama kumbukumbu zangu ziko sawa enzi za uhai wake wa nguvu ya hoja liliwahi pia kuchapisha habari ndefu kuhusu free mason na usisahau Sheick yahya pia aliwahi kuelezea sana alama zao zikiwemo mbwa, macho ya kwenye majengo kama yakiwekwa katika mfumo wa taa, mnara n.k. Kwamba huyu kijana alikuwa mwanachama kuna uwezekano mkubwa na hata mauti yake inaweza kuwa imetokana na kushindwa kuenenda sawa na mahitaji ya chama hilo.
 
Zis iz e bigi jok, yaani kumbe huko kwene dini zenu mnaruhusiwa kuharibu ili mradi tu utubu kabla hujafa halafu unaenda ze so kold peponi.?!

Hauruhusiwi kuharibu makusudi.Ila baibo says that ukitubu dakika ya mwisho hata kama ulikuwa mdhambi unasamehewa.Mfano mwizi aliyeangikwa na Yesu msalabani..
 
Nakubli kwa yote unayoeleza, lakini pia watoto wetu siku hizi hawana uoga kabisa hasa suala la ngono wamekuwa vipofu sana. Ukifuatilia maisha ya Lulu huwezi amini kama anamiaka 17. Inaonyesha hakuwa na mmoja kama nakumbuka aliwahi kuhojiwa na kipindi cha mikasi mpaka mmoja wa wahusika wa kipindi walimwambia acha kuigiza wewe! Hivyo na watoto wetu wanapenda sana starehe na uwezo hawana! Kusoma hawapendi na wanapenda njia za ujanja kupata maisha bora ni kitu kibaya na hakuna aliyefurahia maisha kwa njia za ujanja.
 
sasa tushike lipi kila mtu aja na neno lake mara flani mara azzan,mara nape,mara slaa
 
sina uhakika ndugu ila kama binadamu ni vema tukafanya utafiti wa maisha yetu na mambo yanayotukia hapa duniani na kukataa kuwa wananchi wa kawaida kawaida.......

Mfano nimeangalia hata ile movie aliopatia tuzo inaitwa devial kingdom....ukiangala kikawaida kawaida utasema ni jina tu si movie??? hivi ni nani na nani waliopata tuzo za ZIFF.....na nani waliobeba jeneza?? msiangalie kikawaida kawaida....
labda ndio tuiulize..ZIFF walizipata wapi hizi medali...nani alizifatilia huko zilipo?
 
Mhhh! Mi napita tu sina uzoefu na hayo mambo endeleeni tuweze kuyajua zaidi
 
Hiyo nguo ndefu haijamwasha?? alisema nguo ndefu humletea mwasho.....kweli kua uyaone!!..alifikiri ni magorofa na magari...
 


I wish Watanzania wote wangekuwa kama wewe.
I often really like your comments, and I appreciate how positive and optimistic you are. So, that's my way of hoping we can stay JF friends 🙂

yani Lulu ataachiwa I believe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…