Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sa afanyaje mtoto mwenyewe she is cheap!!Kweli Ray hana aibu. Pumbavu zako, Shenzi taipu, baradhuli mkubwa wewe.
Jamani guest house ni nyumba ya kilala wageni, mbona mimi mlokole wiki nzima hii nalala kwenye guest house coz I'm a guest.
jukumu la kujua mtikisiko umetokana na nini ni kazi ya polisi.kasafishwaje wakati haijasemwa huo mtikisiko kwa Kanumba umesababishwa na nini? Kuna mambo hayajawekwa wazi bado nadhani yaliyobaki ni ya kipolisi zaidi kwa upelelezi..
Ni mzima wa afya, samahani kwa usumbufu...Tafuta huo uhakika urudi utufahamishe.
Hakuna wivu wala nini ndugu yangu, tunajadili tu namna tunavyobagua wasaniiwivu had kwenye vifo?.
Nilikuwa sijamsikia muda mrefu ndio maana nikachanganya habari, lakini nimeshindwa ku-edit heading.....kaeso mzee jangala unamuuwa wewe
kwa kupost bila uhakika
samahani yako imekubaliwa
unaweza kuedit post yako