Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kanumba amekwenda na watu wote makini kama CHADEMA hawataacha kumlilia kijana mhangaikaji na mtafutaji kama Kanumba. Tutamlilia Daima. Hata hivyo jambo la kujiuliza ni kwamba Kanumba si amekufa na je hata asingekufa sasa mwisho si angekufa tu? Jambo la msingi na la busara hapa sio kusema na kujiuliza kuwa Kanumba amekufa bali amekufaje?. The way alivyokufa. Kumbukeni "If we must die let us not die like hogs" Aina ya kifo haishbihiani na mtu aliyekufa. By the way, MUNGU ailaze roho ya Marehemu Kanumba mahali pema peopni. AMEN
 
Walikuwa hawatumii Jack DanielsHawagombani na wake zaoHawana Scanal katika zinazoandikwa kwenye magazeti ya udaku..Sababu ni nyingi tu...nawaachie wengine waendelee..!RIP Kanumba.
 
UNAJUA WENGI WATASEMA KALIKUWA MALAYA LAKINI NAAMINI MALAYA NI WEWE UNAETAMANI NA KUKAA KIMYA AMA KUSHINDWA KUMPATA KWA NJIA MOJA AMA NYINGINE

TUKIELEKEA KUMZIKA KAKA YETU JAMANI NAOMBA NIWEKE WAZI HAKA KABINTI KATAMU JAMANI SI MCHEZO NAAMINI KWA EXP YANGU NGOZI YA NJE INANIHUSISHA KUJUA NDANI KUKOJE KWA NGOZI ILE HAA NIKIKUTA MA MAMAJI NAOGOELEA HUKO HUKO WALAHI NA INABAKI KUWASIRI YANGU...MPENDWA KANUMBA UKO ULIKO NAOMBA UOMBE MUNGU WASIMFUNGE BINTI YULE NA SIE ULITOUACHA DUNIANI TUENDELEE KULA MEMA YA NCHI KAMA ULIVYOKUWA UKIITAFUNA INGAWA SAFARI ATAAPANDA CORROLA NA PREMIO NA SIO LEXUS KAMA ULIVYOMZOESHA

RAHA YA MILELE AKUPE EEBWANA NA MWANGA WA MILELE ATUANGAZIE SIE TUNAOENDEELEA KUKUTUNZIA UPUMZIKE KWA AMANI
AMEN


HAYA kwa mliokua mnauliza Lulu gani..Okey Huyu Ndiye Lulu,Yule muigizaji ambaye anakua mbele ya macho yetu tunamuona..Inasemekana alikua mpenzi wa Kanumba kisiri Siri na Lulu alienda kwa Kanumba ili watoke yesterday night..
Well Stori inaendelea Kuwa, Kanumba alienda Kuoga Huku nyuma mpenzi wake Lulu akawa anaongea na simu, Marehemu kuja anakuta Lulu anaongea na simu ndipo Ugomvi ulipotokea….
Dakika baadae Lulu alitoka chumbani na kumuita mdogo Kanumba Kuwa aende chumbani kwani Kanumba kadondoka…mdogo mtu Kwenda chumbani akaamua kumpigia simu Daktari aw Kanumba ambaye walijitahidi kumpeleka Muhimbili na ndipo mauti yalipomkuta…
Lulu baada ya tukio Hilo,alikimbia akiwa uchi(from PS blog). Lakini walibahatika kumshika na Hivi Sasa anashikiliwa na kituo cha polisi cha Oysterbay..
Inasemekana walikua na Ugomvi mkubwa kwani Hata Lulu ana majeraha makubwa usoni yaliyosababishwa na kipigo alichokipata kutoka kwa mpenzi wake (Marehemu)
 
Naona bongo zetu tukiwaza sana zinatikisika....mbona basi tutakufa wengi humu ndani kama kanumba. ngoja niache kujibu hii hoja ubongo wangu usishake.
 
DADA UMEUMBIKA WEYEE SIKU MUNGU ANAKUTENGENEZA NATUMAINI ALIFANYA MIXER YA CASTLE LIGHT NA SERENGETI KAMA SIO VALUE NADRA KUPATA NGOZI LAINI KAMA YAKO ..NAAMINI WAZEE WA KINA MWEMA MTALIANGALIA HILI NA MAOMBI YA KANUMBA HUKO ALIKO KWENYE KUMALIZA MATATIZO YAKE

 
Nahisi na wwewe mwandishi soon utapata mtikisiko wa ubongo
siamini unaweza shindana na madk waliopasua mwili waliogusa ini nk..pengine ni wakati wa kuomba mwana jf awe mmoja wapo kwenye kufanya postmotum tusaidie kuamini..kama uamini ya dk unaamini ulizaliwa kweli??
 
This thread leaves a lot to be desired.
All over the world people act movies using their own local languages.
Na kama aliokota watu wakampenda, then he was a superstar kwa watu wake!
Kupendwa na watu sio lazima uwe na Movie za Kiingereza, hata za kihindi, Yoruba and the like.
What is the matter is the audience.
Kanumba aliweza kuwin his audience.
Ndio wanaomlilia.
What is a big deal?
Mkuu, pisha njia..... waache washariki wa Kanumba wamlilie, wewe nenda kazini uendelee na kazi.
charity began at home, naona you can not come to terms with it!!!!!!
We have seen so many movies, but for a country like Tanzania, Kanumba tried his level best.
I am sure you did not expect to see the James Bond, Michael Douglas, Dan DeVito in Tanzania.....??? Those are the Americans!
Hata mtoto mdogo alianza kwa kutambaaa.......wakati wakina Kanumba wanajitahidi (hao unaosema kwamba huwezi kuangalia cimena zao ni aibu), then walioanza sikiu nyingu kama ndio Hollywood wanatembea:yell:


Ahsante mdau i just could have not said better than this! yani points tatu kwa mazuri yake mengi umemuanzishia thread mtu ambae bado hata hajazikwa? mimi pia nimeshindwa kuangalia movie zao kwani ndhani shida kubwa uelewa wangu/wetu ni mkubwa kuliko kiwango cha shule walichofikia na movie zao! BUT iam telling you. . iam in tears kanumba ameniuma mnomno! na kutoangalia pia ilitokana na muda wangu mdogo kwani pia si movie zote wanachemsha! halafu tunaishi kwenye jamii iliyochanganyika ni vizuti wakati mwingine kuangalia unaoona unawazidi kimawazo mawazo yao na nini kinaendelea kwenye jamii! kanumba aligusa group flani ya watu! but pia ana ile kitu baadhi ya watu wanzaliwa nayo tu! kukubalika! ndo mana tumeguswa hata ambao hatujawai onana nae! so respect people's feelings na kuacha hizi critism zisizo na kichwa wala miguu especially at this point and time!
 
ripoti ya madaktari inaweza kuwa sahihi kuwa chanzo cha kifo hicho ni mtikisiko wa ubongo!tatizo ni kuwa mtikisiko huo umetokeaje? Nani ka usababisha?
 
Kama kifo kimesababishwa na simu ya waziri wa kikwete, HAKUNA KESI HAPO.
 
This thread leaves a lot to be desired.
All over the world people act movies using their own local languages.
Na kama aliokota watu wakampenda, then he was a superstar kwa watu wake!
Kupendwa na watu sio lazima uwe na Movie za Kiingereza, hata za kihindi, Yoruba and the like.
What is the matter is the audience.
Kanumba aliweza kuwin his audience.
Ndio wanaomlilia.
What is a big deal?
Mkuu, pisha njia..... waache washariki wa Kanumba wamlilie, wewe nenda kazini uendelee na kazi.
charity began at home, naona you can not come to terms with it!!!!!!
We have seen so many movies, but for a country like Tanzania, Kanumba tried his level best.
I am sure you did not expect to see the James Bond, Michael Douglas, Dan DeVito in Tanzania.....??? Those are the Americans!
Hata mtoto mdogo alianza kwa kutambaaa.......wakati wakina Kanumba wanajitahidi (hao unaosema kwamba huwezi kuangalia cimena zao ni aibu), then walioanza sikiu nyingu kama ndio Hollywood wanatembea:yell:


Ahsante mdau i just could have not said better than this! yani points tatu kwa mazuri yake mengi umemuanzishia thread mtu ambae bado hata hajazikwa? mimi pia nimeshindwa kuangalia movie zao kwani ndhani shida kubwa uelewa wangu/wetu ni mkubwa kuliko kiwango cha shule walichofikia na movie zao! BUT iam telling you. . iam in tears kanumba ameniuma mnomno! na kutoangalia pia ilitokana na muda wangu mdogo kwani pia si movie zote wanachemsha! halafu tunaishi kwenye jamii iliyochanganyika ni vizuti wakati mwingine kuangalia unaoona unawazidi kimawazo mawazo yao na nini kinaendelea kwenye jamii! kanumba aligusa group flani ya watu! but pia ana ile kitu baadhi ya watu wanzaliwa nayo tu! kukubalika! ndo mana tumeguswa hata ambao hatujawai onana nae! so respect people's feelings na kuacha hizi critism zisizo na kichwa wala miguu especially at this point and time!
 
Back
Top Bottom