Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ubongo unaweza kutikisika bila kutikiswa na mtu? Haya maelezo bado yanahitaji ufafanuzi zaidi wa kitaalamu.
Ubongo unatikiswaje?
Kanumba aliokota jamii ya watu wasio wasomi.Watu wanaoshindwa
Kuangalia movie za kizungu kwa sababu hawaelewi.Mimi binafsi sijui
Hata title ya muvi yake yoyote,na yoyote ya kibongo.Nikijaribu
Kuangalia nashindwa,upuuzi mtupu na aibu.I can do better if I have to act.
Wanaompenda kwa usanii ni hao ambao shule yao haitoshi kuelewa dunia
Inaendaje,Kanumba ndi role modal wao,Mkombozi kwenye burudani.
:shock::A S kiss:wema sepetu
We did not need Kanumba (RIP) to teach us any of these stuffs.
In several interviews, Kanumba (RIP) pointed out he was not using any kind of alcohol
Naona bongo zetu tukiwaza sana zinatikisika....mbona basi tutakufa wengi humu ndani kama kanumba. ngoja niache kujibu hii hoja ubongo wangu usishake.