Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,149
Hivi freemason anapofariki Mungu anaendelea kumwangazia au ndo mwîsho wa habari? Binadamu ni mti mbichi tujitahidi kujiweka tayari ki-imani maana hatujui saa wala siku! R.I.P Kanumba! Ulikuwa mwimbaji mzuri sana wa kwaya kanisani, mpiga kinanda, gitaa enzi zile.