Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika hali isiyo ya kawaida kwa wale ambao wamesikia wimbo wa kanumba.katika wimbo ule kasema akifa watu mtasema nani pengo ataliziba.maadui wake watabeba jeneza lake. yeye ni mmoja hawezi pigana na watu 1000. je hii alijua atakufa?
Halafu kilichowafanya mprove anakunywa ni kipi? this is total ****! mi mwenyewe kwa unywaji wangu siwezi sema nakunywa naonja! hakuwa mpenzi wa pombe but may be siku mojamoja akiamua anakunywa yani mnataka kuniambia kwa nyie wanywaji kweli unaweza kaa mahali bila kunywa? sasa kwa mtu asiyekunywa inawezekana! kuona chupa moja ya mvinyo chumbani kwa kanumba haimaanishi alikuwa mnywaji! cammon pple!
The Great...
sa afanyaje mtoto mwenyewe she is cheap!!
nashangaa sana sana kuona television ya taifa ikimwonyesha yule mwasherati mkubwa Kanumba ambaye alikuwa anafanya uzinzi na watoto wadogo kama lulu,viongozi wa hii nchi ni ovyo kabisa kwanza rais na waziru mkuu kwenda pale kwenye msiba ni kwamba hawajui tabia za huyu mtu au wanafanya makusudi??huyu alitakiwa ashtakiwe kabla hajafa huyu,ovyo kabisa