Swts
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,062
- 1,294
Ana miaka 17 sasa anataka amgeuzie kibao marehemu hapo kuwa alitaka kubwaka
alitaka kufanywaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana miaka 17 sasa anataka amgeuzie kibao marehemu hapo kuwa alitaka kubwaka
Tanzania inakabiliwa na uhaba mkubwa wa ushahidi
hapo alikua ana miaka 18+ ila mahakamani hana miaka 18-, hii ndio Tanzania bwana, no critical thinking, ni hisia kwenda mbele.
Wamevuna walicho kipanda!
tuna juvenile courts, kwani minor ndo anastahili kuua hata kama ni bila kukusudia??
Ni moja ya picha ziliaomshushia sana hadhi kwenye jamii yetu ya kibongo.
Nani alaumiwe sasa?
![]()
Duh! Haka kabinti lazima tu katatoka jela. Kumbe kameanza kubakwa tangu zamani sana na hivyo kukasababishia matatizo ya kisaikolojia. Kama uchunguzi wa kina ukifanyika, mibaba mingi tu inapaswa kuwa implicated kwenye kesi hii. LULU HAKUWA NA MAMBO YA KIKUBWA BALI ALIINGIZWA KWENYE MAMBO YA KIKUBWA KWA KUDANGANYWA!Duh hata bia kanagonga![]()
Duh . . . . . .
Hata sijaelewa kitu, koko bichi imeingiaje tena?