Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhn!Ina maana panga lingedunda?kitoto kimekomaa mpaka makwapa eti majeraha sehemu za siri?ovyo kabisa
panga , nondo , kisu , mkuki hata filimbi ni vitu vya kawaida kukaa chumbani kwa mwanaume kwa ajili ya self defence
Taarifa za ndani zinaeleza mtu huyo ni Mheshimiwa Iddi Azzani.
Hayo ni mambo ya "Chain reaction"Yaani kwa mwendo huu TACAIDS wana kazi kweli!
Ninadhani huyu mheshimiwa ana "wapenzi wengine", na pia Kanumba alikuwa na "wapenzi wengine", na zaidi ni kwamba hao "wapenzi wengine" wana "wapenzi wengine" ambao wana "wapenzi wengine" ambao nao pia wana "wapenzi wengine" ambao wana....na hatimaye, huenda wewe pia ni mmoja wao wa hao "wapenzi wengine" na una "wapenzi wengine".
Kuna tetesi nimezisikia kuwa huyo mtu maarufu ni Nape Nnauye,polisi walipojaribu kufuatilia hiyo namba ya simu kwenye mamlaka ya mawasiliano wakakuta imesajiliwa kwa jina la NAPE NNAUYE ambaye ni katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha magamba.
Duh!Kaazi kweli kweli...King Kong III said:Mara Ray,mara Idd azani,mara kigogo wa ikulu,mara boflo bob junior,tushike lipi?
hata huyu binti ana gari? Dah lazima nipambane mwaka huu na mm nivute kasuzuki.....habari za kiitelijensia zinasema huyo mtu ni vicent kigosi.
Sheria inasemaje kufanya mapenzi na mtoto wa miaka 16?
Ina maana alimvuwa nguo kwa nguvu?inawezekana lulu alikataa kumpa unyumba maana marehemu Kanumba naye mmh
Kufanya ngono na under 18 ni kosa la jinai kufuatana na SOSPA 1998 now under Penal Code Cap 16 as ammended in 2002.
Marehemu hawezi kuhukumiwa akiwa keshakufa kwenye kesi za jinai. Kesi ya jinai hufa na mtu pale anapoaga dunia.