Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zis iz e bigi jok, yaani kumbe huko kwene dini zenu mnaruhusiwa kuharibu ili mradi tu utubu kabla hujafa halafu unaenda ze so kold peponi.?!Naombea awe alitubu dhambi zake muda mfupi kabla hajakata roho
ni kosa kufurahia mafanikio ya wengine coz kwangu hayo hilo ni moja kati ya mafanikio kama ingekuwa kweli, ni maoni yangu tu mkuu, natumia haki yangu ya kikatibambona umeng'ang'ana sana na "ningefurahi"...uliwashikia miguu ama?
jaman kufurah sio kosa wakuu, vp heb punguzen hasira.....Hata mimi ninashangaa mtu anavyong'ang'ania "angefurahi" mimba (kama ipo) ni ya Lulu na kama ni ya Kanumba au si ya Kanumba sidhani kama wewe inakuhusu kwa namna yeyote ile hadi ikutengenezee furaha ya aina yeyote ile
Ni kweli tutasikia mengi coz kuna mdada mwengine nae kajitkeza anajiita pascalia macha nae anadai mtoto aliye nae ni wa kanumba,Mimba yake ila alitembea nae mpaka kupata huo uja uzito (kama upo kweli) ndio mashaka. Kuna tetesi jitu kubwa la kuimba nalo limo humo. mama kanumba itabidi aweke vfaa vya Kanumba vizuri kwa ajili ya DNA. Wengi watatokea kudai wana mtoto na Kanumba kwa ajili ya kutaka mali. Mwingine tumesikia jana kanywa sumu akitaka kujiua kaokolewa kwa ajili ya Kifo cha Kanumba, subiri umsikie ayakapohojiwa chanzo cha kutaka kujiua.
tumkumbuke mwenzetu kwa mema aliyoyafanya, kazi ya kuhukumu tumuachie Mungu, hakuna aliye mkamilifu mkuuSongíto;3653237 said:mkuu je wewe u msafi mpaka uanze kumnyooshea kidole mwenzio? na kama sio mbona hujafa? kwa kawaida mtu akifa mengi husemwa, kwa kuwa kanumba ni maarufu basi kusemwa huongezeka mara dufu...mimi naamini mimi na wewe ni wadhambi sawa na yeye tu, ni neema ya maulana tupo hai sasa, so si vema kusimama katika nafari ya mungu kutoa hukumu.... leo yeye kesho mimi nawe, maana kila nafsi itaonja umauti
Zis iz e bigi jok, yaani kumbe huko kwene dini zenu mnaruhusiwa kuharibu ili mradi tu utubu kabla hujafa halafu unaenda ze so kold peponi.?!