Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

watu bwana hapa wamesahau na maovu yao yote nakuanza kuyaona yamarehemu.mambo haya yanafanyika sana hata huku unerground.eti na lulu mnamuita mtoro kabla hamjamlaumu kanumba nenden kwa mama yake mzazi ambae alikua anapiga kelele lulu akikayazwa kuingia disco.sasa mtu anavyosema eti wanatafunana wenyewe mlitaka wakachukue waimba taarabu wakat mazingira hayaendan.watu waliokaribu nirahisitena kwenye tasnia moja nirahisi kuanzisha mahusiano mfano beyonce na jzee,rehana na criss.au hata amber rose na kanyewest.so msiongee tu kwasababu mnataka kutia watu uchungu,haua mambo ni yakawaida sana pia lulu anapenda ukumbwa ndo maana alitudanganya kwenye media ana18 kumbe ni 17.tutajuaje anawadanganyaga wengine ana 24

Mkuu huko right kabisaaa.Sisapoti uzinzi lakn huyu mtoto ingawa ni kakubwa halikuwa yatima?Demand and Supply
 
Hauruhusiwi kuharibu makusudi.Ila baibo says that ukitubu dakika ya mwisho hata kama ulikuwa mdhambi unasamehewa.Mfano mwizi aliyeangikwa na Yesu msalabani..
Kumbe Yesu aliwambwa pamoja na Mwizi !? Daaah ! Ndo maana sie tunakataa yule sie, na yale hayakumpata !
 
chuo kikuu cha dar es salaam,sehemu ya julius k. Nyerere(zamani mlimani) kinaendelea na uenyeji wake wa mhadhara wa wazi juu ya mchango wa sanaa katika mustakabali wa nchi.mhadhara huo unaongozwa na profesa micere gathoni mugo kutoka nchini kenya.mhadhara umeandaliwa chini ya mwavuli wa kigoda ca mwalimu nyerere cha chuo kikuu cha dar es salaam.

Katika michango yao,wajumbe wamefikia hatua ya kumfananisha kanumba na baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere katika mchango wa kitaifa na kimataifa.hatahivyo,wajumbe wengine kutoka ndani na nje ya tanzania wameonekana kutoka nje ya ukumbi wa mikutano wa nkruma wakiwa wamekasirika baada ya ufananisho huo.mhadhara umeingia kasoro..

!!!!!!!!!!!!!!!!!!...............???????????????:kwa mtizamo wangu niliamini ya kuwa kigoda cha mwalimu nyerere(chiniya prof.shivji) ni kati ya taasisi makini,adilifu na zenye kuaminika na ummaa, sasa hata kama kujadili mchango wa sanaa still kumfananisha kanumba na nyerere.......!!!!!!!!!kwa uelewa wangu unaopaswa kurekebishwa nadhani ni kutoka nje ya mada au kukosa mijadala yenye tija kwa taifa hasa katika karne hii!!!!! Wadau tujadili........mtizamo wangu unaweza badilika!!!!
 
Dah.. Nasikia ukiingia,unakuwa umesign mkataba na Satan..
Siku ukijifanya kukiuka taratibu zao,hakuui mtu,ila Satan himself anaandaa kifo chako..
 
Hivi ni kweli lulu amepelekwa segerea? Nina wasi wasi hapa!! Wenzake wanaenda na kalandinga lakini yeye amepelekwa na Suzuki Grande(Lenye namba feki,kumbe ni la polisi) tena ndani full kiyoyozi,kunani?

Ni kwasababu wenye akili kama zako hii Tanzania wapo asilimia 61 (ndo walioichagua CCM) sasa hao akina wewe, LULU akipelekwa na karandinga wanaweza kuishambulia na kumuua LULU. Polisi ni jukumu lao kumlinda raia yeyote yule mpaka ahukumiwe
 
huu ni mpango mgumu sana kuelewa alikuwa anamwambia nani ila kutoka kwenye hiyo chaper aliyo icot inazungumzia upendo sana sasa sijui marehemu yeye alikuwa upande gani si kazi yetu sasa kuhukumu.
Regards
 
Na kuna nyingine ambayo,ukiingia unapanda rank siku hadi siku,na kuna stage utakayofikia ambayo unafiwa(mara nyingi na mwanao) ghafla...

Na hapo unahamasishwa (kwa kuwa wanakupa mipesa hovyohovyo) utanue,utembee na wanawake tani yako,hela zikipungua unasema..

Majukumu unayopewa madogo lakini pesa nyingi unapewa kama kuhudhuria mikutano yao,na wanatumia magari ya kifahari kwa sana..

Wao wanasema ni bora uishi maisha mazuri na ya raha,kwa kukubali kupoteza angalau mwanao mmoja!
 
Mimi nilidhani wameenda kama Wabunge wanawake na kujua kulikoni binti mdogo kama yule ahusishwe na mauaji...
Wamenukuliwa wakisema kuwa anatakiwa atafutwe wakili makini sana ilikumuokoa Lulu kutoka katika kesi hii, hivyo msaada huo unalenga hilo sio kama unavyodhani.

Mimi nadhani tulitakiwa tuwe "fair" uchunguzi ufanywe ijulikane ukweli uko wapi bila kupindisha mazingira ya tukio ili sheria ichukue mkondo wake. Lakini sio kwa staili hii ya kufikiria kuokoana kwanza.
 
No,kulahumiwa mtu.Sisa poti uzinifu.Nami ni mzazi kama wewe,inaonesha una uchungu na hasira.Pole.Nichangie ivi,Huyo dogo cjui kubwa anastahili hukumu,regardles ni mtoto au mkubwa.Mareh.inawezekana alikuwa anakadu!fine.Kwani huyo bint alikuwa yatima hana hata ndg.wa karibu angeweza kukemea ikiwezekana hata hamkataze haache tasnia ya uingzaji?Hainii ngii akilin!Kwani yule pale alipo hawezi kujaji lipi alifuate?na lipi aliache?We unadhani ndg.zake walikuwa hawaoni chochote?Kwenye dini yake Viongozi wa dini walikuwa hawaoni?Mama Salma je ?Serikali kwa ujumla je?Naic we ni mbinti au mmama it pained u bt ndo tulivyo.Unadhani hawapo sampo kama za hakina mareh.?Wapo wengi sana na wazazi wao samtym wanafuraia kuona wako vile.MI NAONA MAREH.hana hatia ktk ilo,Demand and Supply.MF.kuna yule mzee aliyeozeshwa na binti (mwanaf.)na wazazi wa mtoto kule Bagamoyo juzi juzi hapa bt babu mtu na wajomba walikuja juu.Kama haitoshi yule msichana alikuwa ana miaka15 aliamua kutoroka kwenda dar mpaka kwenda kwenye media aliskika sembuse Lulu mwenye miaka 17?Apate anachostaili kupata.alahaaa!KWAKO WE MLEE MWANAO KTK MAADILI MEMA YEYE MWENYEWE ATAJUA.AKIJIHARIBU ITS UP 2HER. Asante kunielewa.R.I.P steven.K
 
Naamini alimwamini mungu na yesu kama mkombozi wake.

Kwa imani yake yawezekana amekombolewa.
Si wewe wala mimi tuwezao fumbua hilo fumbo!

R.I.P the great nimependa hii!

kifo ndani ya uzinzi nani kasema wokovu upo hapo
 
wajua mnachanganya vikundi vya brotherhood kama vya kinaijeria vya kutoa kafara, na freemasons. freemasons wanamwabudu shetani lakini si kama watu wengi wanavyo fikiria. na si kila member wa freemasons anayejua ni nini hasa kinafanyika katika freemasons wengi wapo kwenye chama bila kujua nini kinaendelea.
kuna ngazi ukifika ndio unaanza kujua ni nini kinafanyika otherwise kama hujafikia hapo wewe utakuwaq unaona ni chama cha kawaida cha kusaidia jamii na kusaidiana kama walivyo lion club.
jay Z na umaarufu na influence yake yote ndio ana degree 3 ya masons ambayo inajulikana kama mastermasons na ukifika hapo ndipo unaanza soma symbolism na maana zake ndo maana jayz video zake nyingi zina involve symbolism.
freemasons hawafanyi mambo yao kama wanao toa ndagu ili wawe matajiri toka congo na kigoma
 
Back
Top Bottom