mdogo mmemzaa nyie?
yap apooo sasa wajib... wao mbona wanawakimbiza wa lasaba na form njuka huko mitaani kwao au kwasabab inakuwa ni gizan uchochoroni. Nyani haoni ...dule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mdogo mmemzaa nyie?
Sijakuelewa unachoongelea!!
Mtoto keshasherehekea miaka 18, saizi anadai ni chini ya miaka 17. Ndiyo bongo!! Sijui kama anakumbuka au ndiyo chetu kinasema hivi na hiyo ilikuwa interview.
Jamani tusiwe wagumu kuelewa, cheti kinaonesha anatimiza miaka 17 jumanne ijayo. Hayo mahojiano yalikuwa motivated na mpango wake wa kutaka kuruhusiwa kuingia disco na kuuziwa pombe. Mbona akidanganya hana boyfriend wala hamuhoji?Mtoto keshasherehekea miaka 18, saizi anadai ni chini ya miaka 17. Ndiyo bongo!! Sijui kama anakumbuka au ndiyo chetu kinasema hivi na hiyo ilikuwa interview.
Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
Mahakamani kitakachojalisha ni kile kilichopo kwenye nyaraka halali.
wameyakalisha mtoto akauze mbunye awalishe...hawana hata haya kujitokeza hadharani ptyuuuuuu!
Bahati mbaya kwamba kwa uozo wa mifumo ya nchi yetu; nyaraka HALALI zinatengenezeka unavyotaka zisomeke as long as wawajua wahusika au MADALALI WAO na una hela wanayohitaji...
hii ndo siri nzito???????????