Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,596
- 6,023
Mnazingua sana nyie , kupenda chapaa kuliko utu[emoji22][emoji22] mtuache wachaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnazingua sana nyie , kupenda chapaa kuliko utu[emoji22][emoji22] mtuache wachaga
Ipoje mkuu hebu tudokezeDental Formula Power(DFP) ys huyu mwamba aliniweka mbali na matatizo ya majino tangu 2002 hii legacy yake itadumu kwa muda mrefu
Aisee unaweza juu ugonjwa wa mtu kwa sua tuMbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Ya kusukutua tu na maji ya vuguvugu ilikua inapatikana kwa shop ya pale ubungo plazaIpoje mkuu hebu tudokeze
Aisee unaweza juu ugonjwa wa mtu kwa sua tu
Dah! yaani mtu mwenye mke au demu mchaga lazima kuna sehemu atakuwa analia, au kuugulia maumivu ndani kwa ndani......hivi hawa manzi wanakuwa na nini hasa?Mke mchagga??????
Walai hata bure sioi
Hivi ngetwa ilikua dawa yakedawa yake ya Ngetwa sijui iliishia wapi.
Hamuishi kusakama dada zetuMke mchagga?!
Kwishaaaa!
Kweli mkuu aliwahi kusema wazi kuwa ana kisukari na kudai kuwa moja ya dawa zake inatibu kisukari lakini yeye anataka ajifunze madhara ya kisukari hatajitibu.
Pia alijiita nabii kwa kutabiri mwisho wa dunia kimahesabu, hesabu zilizoangukia mwisho kuwa 2037 hivi..!
mi nilikua najiuliza jamaa anauza dawa lakini yeye mbona afya yake imezolota sana kama alikua na moto hivi vijana hela ikizidi huwa tunaanza kuzichakata papuchi mwisho wake ndio huoHakika matumizi ya dawa za magonjwa ya muda mrefu huonesha ishara fulani
katika sura au ngozi