UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Lipi lenye uhakika katika hayo uliyoyaongea? maana naona maneno ya "anaonekana..ana sound kama..".Anaonekana kama ni mgonjwa na anasound kama tapeli. Zaidi ya yote hana maadili, huwezi toa siri za mgonjwa.
Hitimisho: Alikuwa tapeli na amekufa sababu afya yake haikuwa imara.
Hakuwa na dawa ya kuzuia kifo ila alikuwa na kisukari kwa miaka mingi na alikuwa akifanya shughuli zake kama kawaida.