Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Kifo cha Tabibu Dkt. Buberwa wa Herbal Products utata mtupu

Una personalize na ku-aaply selfishness kwenye relationship ambayo inatakiwa iwe driven na love, trust, respect, uvumilivu, peace, happiness, submission, high level of spirituality, mutual interests. Huwezi kuwa na quality za a respected woman ambazo kila mwanaume anazitarajia kama unaendeshwa na tabia za kijambazi kwa mwenza wako, wewe ni sawa na muuaji tu. Full stop.
Thank you... [emoji1666][emoji122][emoji109][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] Umesema ukweli wa kiwango cha gold..... Bravo mkuu
 
Jirekebisheni basi, iweje msemwe nyinyi tu.......au mnaona ni sifa nzuri. Unakuta manzi ya kichaga inapiga mkwara 'usinichezee wewe hujui mimi ni mmachame'

Shida sio wachagga mkuu
Shida ni iyo manzi uliokutana nayo
In fact wachagga wako makundi mbali mbali so usiongelee in general
 
I see an abstract concept here...

Unataka watu wapende nini?

Wealth is the only thing that can relatively make human life alleviating

For you to earn another human's love then work on your flaws.

Hii tabia mbovu ya wanadamu kupenda watu blindly make the worlds a mess as it is now.

Kinachotakiwa ni transactional relationship,you have something i want and i have something u want,then lets transact...

Mengine yote ni unafiki..

Back to the point,as per statistics,wanawake wa Kichagga are more likely to be married than other ethnic groups in TZ,the reason being wanapendwa na wapumbavu wanaopenda "Uchagga"...

Kusema hawaolewi si kweli,wanaolewa zaidi kitakwimu kwa all the wrong reasons..

Nawatetea all the way through!
Wrong again.

Kwanza nikurekebishe mtazamo wako kuhusu maisha. Maisha ni UTU kwanza mali ni jambo la nyakati na ni auxiliary element ya maisha. Ulichokisema hicho cha 'wealth is the only thing that can relatively make human life.........' hiyo ni biased perception ya maisha na ni matokeo ya bad experience za watu katika maisha.

Its okay kutafuta mali , kuwa na mali na kuzimiliki ila ikifika moment unaweka rehani utu wako na utu,furaha na uhai wa mwenzako ili kuvipata hivyo then wewe huna unalolijua kuhusu maisha na utakuja kuelewa umri ukishaenda.


Kuhusu kuolewa sidhani kama u have all the statistics kuhusu ndoa hapa Tanzania, so don't sell yourself cheap with those social media and social network arrogant cheap stories. Wachagga ni jamii tu kama jamii nyingine ya watanzania nothing magical about them to be the marriage trophies and 1st class citizens. Ukiongelea wanawake 1st class wife material nadhani kila mtu anajua habari ya jamii ya wabena, wahehe, wasukuma ambapo mwanamke amekunzwa kumuweka mume mbele kabla ya chochote ila hautasikia wanamajigambo mitandaoni.

So kuoa mwanamke wa kichagga inakuwa ni issue sababu ya hizi tabia za ubinafsi na ndio maana utaona watu huwa wanakuza sana mijadala kuwahusu.

But kama wanafamilia na watoto wa taifa moja hatuwezi waachia jamii ya wachagga wachafuke hivyo kwenye baya tutasema kwenye zuri tutasifia.....

Ila tabia mbaya iliyopo ni hiyo mwanamke kuhusudu pesa kabla ya utu. Na hii ndio upelekea mwanamke kufeki maisha yote akiwa anatafuta na mumewe ila wakishapata mwanamke anaanza ubinafsi na kuona yeye anastahiki kumiliki kila kitu kwa 100%. Huu ndio upopoma na undezi wa wanawake wa kichagga hata washkaji wa kule wengi hii kitu wameiona wanakimbia kuoa huko wanaoa wanawake wa jamii zingine.

So usiwe mzembe hadi unashindwa kuobserve mambo rahisi kiasi hicho. Mimi nimeishi sana wilayani Moshi na mkoani Arusha nimeona hizi tabia.

Ukimpelekesha mtoto wa mwenzako atafute pesa ambazo hata wewe baba yako na kaka zako na ukoo wako wote mkijumlishwa hamjawahi kuwa nazo ni ukatili wa kijinsia na ni roho ya tamaa.

Tafuta huku ukiridhika na kile kinachopatikana. Usisahau hivi vitu vyote tunaviacha hapa duniani. Sasa mimi niache kujichana, kula mikuku, kusafiri na kufanya kazi na biashara ninayopenda nikae kupelekeshwa na mwanamke eti kisa mchagga na anapenda hela. Kubabake hela akachukue walipomuwekea wazazi wake hapa atapata penzi na matunzo stahiki ya mke wa ndoa baaaasi.

Am out.
 
Shida sio wachagga mkuu
Shida ni iyo manzi uliokutana nayo
In fact wachagga wako makundi mbali mbali so usiongelee in general
At least now unamake fair point. Unajua kama jambo linasemwa sana jua lipo. Tabia mbaya zipo kila jamiii, sasa ikiwa zamu ya jamii yako kusemwa acha kuwa defensive na usikilize hoja za msingi ili usaidie kurekebisha.
 
Jamaa aliwahi kusema kuwa Tundu Lissu ni mmoja wa wateja zake, kuna product yake moja inaitwa LIFE ndio anasema alikuwa akiitumia Lissu na ndio anadai ilimsaidia Lissu alipopatwa na lileshambulizi.
Kama ni kweli basi alikuwa''daktari'' wa hovyo kabisa kwa kutoa siri za wateja wake.
 
View attachment 1837507
View attachment 1837769

Wadau. Nafikiri mnamkumbuka huyu tatibu aliyekuwa maarufu Jijijini Dar Es salaam hasa miaka ya 2010 hadi 2017 .

Huyu mwamba amefariki dunia akiwa katika nyumba ya kulala wageni Jijijini Dodoma na tayari amezikwa Jijini Dar huku kukuiwa na utata wa familia ya mkewe aitwaye Riziki mwenyeji wa Kilimanjaro na ndugu wa marehemu. Mengine yatasemwa baadaye lakini tambua kuwa huyu mwamba amakwisha zikwa wiki mbili zimepita.

RIP DR Buberwa

Tazama video zake hapa.
viagra , viagra ndio tatizo la vijana wengi, ila pole kwa wafiwa.
 
Back to the point,as per statistics,wanawake wa Kichagga are more likely to be married than other ethnic groups in TZ,the reason being wanapendwa na wapumbavu wanaopenda "Uchagga"...
Mkuu naomba ufafanue nipate kukuelewa zaidi..!
 
Shida sio wachagga mkuu
Shida ni iyo manzi uliokutana nayo
In fact wachagga wako makundi mbali mbali so usiongelee in general
Unafikiri no kwa nini watu wanahusisha kabila la wachaga/wamachame na tabia kama hizo??

Ningependa kujuwa.. au ni story ambazo watu wamezibeba tu mpaka leo?
 
Nilitumia dawa yake ya meno ya DFP miaka ya 2000s ilikuwa nzuri sana. Kipindi hicho alikuwa anaonekana ni mtu mwenye mwili wenye afya nzuri lakini baadaye kama alipotea kutangaza bidhaa zake kwenye tv, alipoanza tena ndio nikashtuka kuona afya yake inaonekana haiko sawa! Pia ni kama alikuwa ana huduma za kichungaji. Yes, harusi yake ilirushwa TBC 1 nafikiri ilileta ishu hii kitu.
 
Hata mimi nilikuwa nikimuona anatoa Elimu na Dawa najisemea Si ajitibu kwanza yeye maana alikuwa anaonekana mgonjwa kabisa
Alikuwa na kisukari kwa miaka 13 na alikuwa akisema sukari yake hakuwa akiicontrol na wala haikutokea kulazwa kwa sababu ya sukari kupanda kwa kipindi chote hicho.
 
Nilitumia dawa yake ya meno ya DFP miaka ya 2000s ilikuwa nzuri sana. Kipindi hicho alikuwa anaonekana ni mtu mwenye mwili wenye afya nzuri lakini baadaye kama alipotea kutangaza bidhaa zake kwenye tv, alipoanza tena ndio nikashtuka kuona afya yake inaonekana haiko sawa! Pia ni kama alikuwa ana huduma za kichungaji. Yes, harusi yake ilirushwa TBC 1 nafikiri ilileta ishu hii kitu.
Alikuwa anasema kuwa alianza kuugua kisukari 2007.
 
Back
Top Bottom