Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,596
- 2,079
Ndo huyu alisambazaga ngetwa miaka hiyo?dawa yake ya Ngetwa sijui iliishia wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo huyu alisambazaga ngetwa miaka hiyo?dawa yake ya Ngetwa sijui iliishia wapi.
HapanaHivi ngetwa ilikua dawa yake
Mkuu hiyo dawa naweza kuipata wapi? Bi mkubwa anasumbuiwa sana na magotiLife ni dawa kwa ajili ya mifupa na kuimarisha mwili hususani kwa wazee,bi mkubwa wangu alikua anaitumia sana akapona magoti....R.I.P Dr.
Punguza ukali wa maneno Mkuumi nilikua najiuliza jamaa anauza dawa lakini yeye mbona afya yake imezolota sana kama alikua na moto hivi vijana hela ikizidi huwa tunaanza kuzichakata papuchi mwisho wake ndio huo
Nimeshindwa kuelewa coz ulikuwa unaongea kwa sauti sana....... And me huwa nasikiliza vizuri kwenye sauti ya chini sio ya juu.Wrong to who?
Ni wrong kikwako..
Utu ni mavi unayoyajua wewe...bebana nayo wewe mwenyewe!
Utu wako ni mali yako na ni none of other human's business!
Kama wanadamu kwa hiyari yake ameamua kukupa msaada akupe,ila usimlazimishe kwa lazima na maneno yenu ya hovyo ya "UTU" na sijui "MORALITY" which are so fake kwasababu yapo induced to you by the religion to start with.
Biased perception kivipi?Natoa perception yangu na sio yako,baised kutokana na kipimo kipi?Chako wewe?
Hizi hoja za fear ndio maana sisi watu wa free world hatuzitaki tena
Utu wangu haukuhusu,nikiiamua kujiumiza is it your business?
Nimeamua kwa utashi wangu kuharibu utu wangu,wewe ambae unao wako,unahusika vipi na umiliki wa utu wa mwanadamu mwingine?
Mali ni nini?Mali ni nyenzo za kunisaidia kuishi kwa comfortability as high as possible to sustain human life
Kwahiyo linapokuja suala la mimi kutafuta highest possible human comfortability for myself and my dependants I cant take in your nonsense!
Tayari msimamo wangu kuhusu mali ushauelewa,sasa tuache hilo turudi kwenye software part of human life:
Nachotaka ni free beings,as selfish as possible to sustain their happyness long term....
I can't kill you if I depend you to buy my products,I cant kill or harm anyone who is beneficial or not to me unless if you are threat or harmful to me!
Sitaki kufatana na moralities based on religion ambazo ni sacrificial in nature kwamba mimi nipo hapa duniani ku-benefit wanadamu wengine at my expense.
Mimi sio mali ya jamii,kwanza hakuna genge la watu linaloitwa jamii lenye kuleta uharamia wa ku-control maisha ya watu individually
Jamii ni abstract concept,duniani ni watu mmoja mmoja,na mali zinajengwa na mtu mmoja mmoja,majukumu ya kila siku yanayfanywa na mtu mmoja mmoja,hakuna cha "jamii" inafanya,hivyo kila mtu awe huru kwa matunda ya matendo yake na abebe adhabu ya mabaya matendo yake mwenyewe
Kafie huko na "umoja","jamii","utu","jamii inakudai",etc
mkuu mbona nimetumia codes sana sema ni maneno unayoyaelewa ndio mana yamekua rahisi kuyaelewa ila ukimpa mzee wa miaka 50 haambulii kituPunguza ukali wa maneno Mkuu
Nenda ubungo plaza ground floorMkuu hiyo dawa naweza kuipata wapi? Bi mkubwa anasumbuiwa sana na magoti
nami niliiona ila ilikuwa kero tupu hadi wakakatisha liveKama sikosei nyakati zile anafunga ndoa, sherehe yake ya harusi ilirushwa live TBC. Ndiye huyu?.
Reaction yako kali sana. Tujitafakari sisi sote ni mavumbi. Kuchoka afya, magonjwa nk nk ni mapitio tuu. Mwisho wetu kabisa hapa duniani ni kifo. Siku tu ndio zitatofautiana.Nani kakwambia ni kisukari?
Anaweza kua alikua na ukimwi,how do you dispute this?
Kafa,na alikua mgonjwa,of what?who knows?
Kachoka,afya mgogoro,liongo,tapeli,etc...
Fvck outta here!
Ni Tanzania pekee ambapo mtu anaweza kutambua gonjwa/magonjwa yanayokusumbua kwa kukutazama tu!Mbona sura yake inaonyesha ni mtu aliyekuwa na maradhi sugu kama sio ukimwi ni kisukari
Ni tapeli tu huyo! Yaani awe na dawa ya kutibu kisukari halafu mwenyewe asijitibu abaki kuteseka na kupoteza nguvu za kiumeKweli mkuu aliwahi kusema wazi kuwa ana kisukari na kudai kuwa moja ya dawa zake inatibu kisukari lakini yeye anataka ajifunze madhara ya kisukari hatajitibu.
Pia alijiita nabii kwa kutabiri mwisho wa dunia kimahesabu, hesabu zilizoangukia mwisho kuwa 2037 hivi..!
Lete boss, unitagDah Huyu jamaa namjua anahistoria ndefu sana nikipata wasaa nitauweka hapa pole kwa familia yake.
Chuki haito kusaidia..kumbuka na wewe zamu yako ipo njiani.Nani kakwambia ni kisukari?
Anaweza kua alikua na ukimwi,how do you dispute this?
Kafa,na alikua mgonjwa,of what?who knows?
Kachoka,afya mgogoro,liongo,tapeli,etc...
Fvck outta here!
Takwimu ziko approved na mamlaka gani..au umejitungia kujipa moyo..wanawake wakichaga ni disaster katika ndoa..wachumia tumbo..wanajari pesa..hawafai kuolewa.I see an abstract concept here...
Unataka watu wapende nini?
Wealth is the only thing that can relatively make human life alleviating
For you to earn another human's love then work on your flaws.
Hii tabia mbovu ya wanadamu kupenda watu blindly make the worlds a mess as it is now.
Kinachotakiwa ni transactional relationship,you have something i want and i have something u want,then lets transact...
Mengine yote ni unafiki..
Back to the point,as per statistics,wanawake wa Kichagga are more likely to be married than other ethnic groups in TZ,the reason being wanapendwa na wapumbavu wanaopenda "Uchagga"...
Kusema hawaolewi si kweli,wanaolewa zaidi kitakwimu kwa all the wrong reasons..
Nawatetea all the way through!
Mkuu na ni Tz pekee mtu hata hakujui zaidi ya kusikia ila utamkuta mtandaoni anapayuka Yule tapeli mwizi mzinzi blah blah.Ni Tanzania pekee ambapo mtu anaweza kutambua gonjwa/magonjwa yanayokusumbua kwa kukutazama tu!
The boy is troubled.Chuki haito kusaidia..kumbuka na wewe zamu yako ipo njiani.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaa, ni mwenyeweKama sikosei nyakati zile anafunga ndoa, sherehe yake ya harusi ilirushwa live TBC. Ndiye huyu?.
Mpaka leo ipo pale hio dawaYa kusukutua tu na maji ya vuguvugu ilikua inapatikana kwa shop ya pale ubungo plaza
Ha ha haKweli mkuu aliwahi kusema wazi kuwa ana kisukari na kudai kuwa moja ya dawa zake inatibu kisukari lakini yeye anataka ajifunze madhara ya kisukari hatajitibu.
Pia alijiita nabii kwa kutabiri mwisho wa dunia kimahesabu, hesabu zilizoangukia mwisho kuwa 2037 hivi..!
Haina haja ya wewe kujisumbua kumuamini,ilikuwa ni rahisi kwako hata kuupotezea huu uzi kabisa maana uzi wenyewe unamzungumzia yeye.Anyone can talk anything about himself....
Nimuamini?Nooo
Maana ni muongo kupita maelezo kwenye TV,how can I trust this lousy motherfvcker?
Not me!