Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Kaka Joe kuna mpuuzi mmoja niko nae kwenye group la miccm naona mnafanana. Sema wewe unasali Kimara, yeye anasali Magomeni mvirigo ila nyie wote ni WaluteriWewe usiyejua chochote ndio Simbilisi wahed 🐼
Sasa clip zipo mke wa marehemu kuelezea mkasa mzima ulivyotokea halafu Pimbi mmoja analeta ujuwaji wa kishamba 😂😂Duh 🙄
Fuatilia, mke wa marehemu amesema Ulomi alipigiwa simu na Agent au Wakala wake wa Clearing, siyo TRA.Jinga kabisa wewe!
Jibu hoja, utaona "vina akili" the day yametokea kwenye familia yakoNyumbu wa mbowe bwana; vyenyewe vinajihisi vina akilini.......
Je hakuwa na vitambulisho?
Je hakuwa na simu mfukoni? Namba ya simu iliyo mfukoni ilikuwa na line iliyosajiliwa kwa jina lipi?
Je namba ya pikipiki aliyokuwa anaiendesha ilikuwa imesajiliwa kwa jina lipi?
Dead men tell no tales...Dead man no tales😪
Jeshi la polisi limejiweka katika hali ya kutoaminika tena. Inahitaji kujitoa ufahamu ili uwaamini polisiccm.Naomba nianze na taarifa yenyewe.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.
Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 16, 2024 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo SACP Jumanne Muliro ambapo ameeleza kuwa tarehe 11 Desemba, 2024 Jeshi hilo lilipata taarifa ya kupotea kwake na ndugu hawakuwa wanampata kwenye mawasiliano ya simu, baada ya yeye kuondoka ofisini kwake Sinza na kudai anaelekea Temeke kufuatilia makontena yake ya biashara.
"Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe, ufuatiliaji umefanyika kwa kushirikiana na ndugu na kubainika kuwa Ulomi alipelekwa kituo cha afya cha Makuburi Ubungo External mchana wa tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia, wasamaria wema walimsadia kumpeleka kwenye kituo hicho akiwa hajitambui na hakuwa na kitambulisho chochote," imeeleza taarifa ya Kamanda Muliro.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa, " Baadae alipelekwa Mwananyamala hospitali na ikabainika tayari alikuwa amefariki na maiti yake kuhifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo kama mtu asiyefahamika akisubiri kutambuliwa na ndugu, ndugu tayari wameutambua mwili huo ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali ya mwili. Aidha, Pikipiki aliyopata nayo ajali pia imepatikana ikiwa imeharibika. uchunguzi zaidi wa ajali hiyo unaendelea na taarifa zaidi itatolewa,".
#EastAfricaRadio
Maswali
Kwahio Afisa wa TRA ni kweli alipiga simu? Ni kweli kulikua na mawasiliano kati yake na Afisa wa TRA? Mbona baada ya "Afisa wa TRA" kumkosa (maana hakufika alikoitwa) hakuchukua hatua Yoyote ya kumpata "mteja" wake? Iko wapi simu ya Ulomi? Nani hasa alimpigia Ulomi kwenda bandari kavu? Mawasiliano ya mwisho ilikua chang'ombe, hapo jirani kuna hospital ya Temeke, why apelekwe Makuburi External?
Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?
PIA SOMA
- TANZIA - Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala
Kama Polisi ndio walioupeleka mwili Huko, mbona hawakutoa taarifa kwa umma, na mitandao yote iliandika kuhusu kupotea kwa Ulomi? YAANI Polisi walikaa na taarifa Hii Hadi "alipopatikana" kwenye mafriji ya Mwananyamala.
Kama Polisi Wanakiri kuwa Ulomi hakua na Kitambulisho, LAKINI si alikua na Bodaboda "iliyopata Ajali"? Walishindwaje kuangalia usajili WA Bodaboda Kwenye mfumo wa TRA na kumtambua mmiliki? Ina maana angezikwa na Manispaa kwa kua hakua na Kitambulisho?
Kwangu Mimi hii taarifa imenipa mashaka Sana kuliko majibu.
View attachment 3178202
Wakishakuua ndio wanapata documents za kuchukua huo mzigo?Sahv huko dasilam kwa mnaofanya dili kubwa kubwa za mamilion kuweni makin,watu wanapigia hesabu mizigo yako au mamilion yako
Mimi huwa naamgalia haya yanayotokea sasa nakuyafananisha kama ya afrika kusini wakati wa ubaguzi.. ukienda afrika kusini ya leo pale hata raisi anapaogopa maana nipamoto kwenye upande wa sheria inaungunza pande zote, hakuna aliyejuu ya sheria. Watoto wadogo wa kizazi chaleo wajua sheria zao nakuzitekeleza.One day what happen to Assad will occur here. They can do it for so long. They need to understand that a day without a name will come for all the injustices to come to light. I fear for my country because on that day no amount of power will stop the masses.
MENE MENE TEKEL!
Kuna kitu nili taka kuandika vidole vika kataaNaomba nianze na taarifa yenyewe.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa Daisle Simion Ulomi, aliyekuwa ameripotiwa kwamba amepotea, alifariki dunia baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia siku ya Desemba 11, 2024.
Taarifa hiyo imetolewa leo Desemba 16, 2024 na Kamanda wa Polisi wa Kanda hiyo SACP Jumanne Muliro ambapo ameeleza kuwa tarehe 11 Desemba, 2024 Jeshi hilo lilipata taarifa ya kupotea kwake na ndugu hawakuwa wanampata kwenye mawasiliano ya simu, baada ya yeye kuondoka ofisini kwake Sinza na kudai anaelekea Temeke kufuatilia makontena yake ya biashara.
"Ulomi aliondoka eneo lake huku akitumia pikipiki namba MC 415 DQC aliyokuwa akiendesha mwenyewe, ufuatiliaji umefanyika kwa kushirikiana na ndugu na kubainika kuwa Ulomi alipelekwa kituo cha afya cha Makuburi Ubungo External mchana wa tarehe 11 Desemba, 2024 baada ya kupata ajali mbaya na pikipiki aliyokuwa akiitumia, wasamaria wema walimsadia kumpeleka kwenye kituo hicho akiwa hajitambui na hakuwa na kitambulisho chochote," imeeleza taarifa ya Kamanda Muliro.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa, " Baadae alipelekwa Mwananyamala hospitali na ikabainika tayari alikuwa amefariki na maiti yake kuhifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo kama mtu asiyefahamika akisubiri kutambuliwa na ndugu, ndugu tayari wameutambua mwili huo ukiwa na majeraha maeneo mbalimbali ya mwili. Aidha, Pikipiki aliyopata nayo ajali pia imepatikana ikiwa imeharibika. uchunguzi zaidi wa ajali hiyo unaendelea na taarifa zaidi itatolewa,".
#EastAfricaRadio
Maswali
Kwahio Afisa wa TRA ni kweli alipiga simu? Ni kweli kulikua na mawasiliano kati yake na Afisa wa TRA? Mbona baada ya "Afisa wa TRA" kumkosa (maana hakufika alikoitwa) hakuchukua hatua Yoyote ya kumpata "mteja" wake? Iko wapi simu ya Ulomi? Nani hasa alimpigia Ulomi kwenda bandari kavu? Mawasiliano ya mwisho ilikua chang'ombe, hapo jirani kuna hospital ya Temeke, why apelekwe Makuburi External?
Kwa maswali haya, Polisi wanakua Kwenye nafasi nzuri ya kujibu, wapi Ajali ilitokea, namna Ajali ilivyotokea (kugongwa au kugonga au kuanguka mwenyewe), huyu msamaria mwema ni nani hasa? Alitumia usafiri gani kumfikisha "Makuburi health Centre?"! Kutoka Makuburi (Ubungo) Hadi Mwananyamala kuna hospital kadhaa, mojawapo ikiwa ni Sinza Palestine, ambayo ina uwezo pia WA kupokea maiti, why wafunge safari ndefu Hadi Mwananyamala?
PIA SOMA
- TANZIA - Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala
Kama Polisi ndio walioupeleka mwili Huko, mbona hawakutoa taarifa kwa umma, na mitandao yote iliandika kuhusu kupotea kwa Ulomi? YAANI Polisi walikaa na taarifa Hii Hadi "alipopatikana" kwenye mafriji ya Mwananyamala.
Kama Polisi Wanakiri kuwa Ulomi hakua na Kitambulisho, LAKINI si alikua na Bodaboda "iliyopata Ajali"? Walishindwaje kuangalia usajili WA Bodaboda Kwenye mfumo wa TRA na kumtambua mmiliki? Ina maana angezikwa na Manispaa kwa kua hakua na Kitambulisho?
Kwangu Mimi hii taarifa imenipa mashaka Sana kuliko majibu.
View attachment 3178202
Maswali ya kufikirisha:-
1. Maswala ya forodha hufanywa na clearing agent, kwanini Ulomi apigiwe simu Moja kwa moja na asipigiwe clearing agent wake kwenda kukagua container? Polisi na TRA Tanzania watupe ukweli
Wao ndio hawana akili. Simba Chawene aliwahi kusema kazi ya polisi haihitaji watu smart kwani kazi yao kubwa ni kubeba bunduki tu.Polisi huwa wanawaona raia hawana akili.