Kifo cha Ulomi: Taarifa ya Polisi imezua maswali magumu na mabaya. Haya hapa baadhi...

Kwa kuwa matukio ya mauwaji na kuppotezwa kwa watu yamekuwa mengi basi ni lazima watu wapate mashaka kwa kila familia inaposema mtu wao hajulikani alipo

Inawezekana huyu jamaa alipata ajali kweli na kupelekwa hospital na hatimae kufariki
Kuhusu vitu vyake kama simu na hata wallet tunajua watu wengi huwa hawajali mtu aliepata ajali na jambo la kwanza ni kumsachi ana nini hili tunaona kwenye ajali nyingi

Maiti zinavuliwa saa na hata kuvuliwa viatu
Jamani kuna watu zaidi ya wanyama
Ila sio vizuri pia kukurupuka na kuamua akili inakuambia nini bali ni lazima kusubiri ukweli kwanza
Lazima kuna watu walioshuhudia ajali na hata waliompokea hospital kama Dr na manesi pia wote wana la kusema

Tumuombe Mungu sana kwa haya yanayoendelea na pia tuwe na uhakika wa mambo
 
Je hakuwa na vitambulisho?
Je hakuwa na simu mfukoni? Namba ya simu iliyo mfukoni ilikuwa na line iliyosajiliwa kwa jina lipi?
Je namba ya pikipiki aliyokuwa anaiendesha ilikuwa imesajiliwa kwa jina lipi?

Hiyo ajari ilimuhusisha nani mwingine? Mpaka wasamalia wema wamuokote!

We have lost trust....and in deed this is one of the things we don't have any trust.
 
Jeshi la polisi limejiweka katika hali ya kutoaminika tena. Inahitaji kujitoa ufahamu ili uwaamini polisiccm.
 
Mimi huwa naamgalia haya yanayotokea sasa nakuyafananisha kama ya afrika kusini wakati wa ubaguzi.. ukienda afrika kusini ya leo pale hata raisi anapaogopa maana nipamoto kwenye upande wa sheria inaungunza pande zote, hakuna aliyejuu ya sheria. Watoto wadogo wa kizazi chaleo wajua sheria zao nakuzitekeleza.

Unadhani ilichukua muda gani kutoka uchaguzi mpaka wakayaanza kuishi hayo maisha ya hivi leo? Watu wangapi walipotea na kufariki kipindi hicho
 
Kuna kitu nili taka kuandika vidole vika kataa
Ndio maana una kuta mtu amewahi kuwa RPC akistaafu ana kwenda kuwa mlinzi kwa kampuni za watu.. Malaaana
 
Maswali ya kufikirisha:-
1. Maswala ya forodha hufanywa na clearing agent, kwanini Ulomi apigiwe simu Moja kwa moja na asipigiwe clearing agent wake kwenda kukagua container? Polisi na TRA Tanzania watupe ukweli
Hasa ukizingatia ni majuzi tu hapo maafisa wa TRA walitaka kumkamata mtu usiku usiku na kusababisha maafa. Maswali ni mengi sana.

Katika zama hizi mtu kupata ajali mjini na kusaidiwa na wanaoitwa wasamaria wema tangu tarehe 11 picha yake inatembea mitandaoni na asitokee mmoja kati ya wasamaria wema au wahudumu wa hospitali kusema lolote, au labda alipasuka kichwa na kuharibika kabisa?


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…