Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

Kifo chenye utata cha mfanyakazi wa TRA, Shaba Ndoja chastua wengi, Polisi chunguzeni

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Leo in siku ya tatu tukiwa tumegubikwa na sintomfahamu juu ya kifo hiki.

Marehemu alikuwa bukheri wa afya na alionekana Mara mwisho saa tatu na nusu alipoamua kwenda kulala alipita dukani akanunua mahitaji, asubuhi tunaambiwa Shaba Ndoja hatuko naye, ujasiri wa mke wake kumbeba yeye na mfanyakazi wa ndani bila hata kuwaita majirani wa karibu.

Mbaya zaidi hakujulisha majirani yaliyotokea. Hata mjane huyu anayefanya kazi Amref huwa hajumuiki na watu tangia alipoingia Bunju beach. Mpaka hapa wakina mama wameususia msiba kwa kuwa mwanamke aendagi kwenye misiba.

Maiti imesafirishwa leo kuelekea Dodoma kwao
 
Kwani aliugua nini?
Hajaugua yaani alitoka zake kupata ka wine dorstof. Mida ya SAA tatu hivi w akanunua mahitaji take, kaeñda kulala, asubuhi wafanyakazi wakaona mtu afungu mlango kwenda kazini yapata SAA 12 wakaenda kumwamsha wakakuta wazamani
 
Tatizo la watu wenye kelele nyingi ni hilo. Jiulize, Je, yule kiongozi aliyemaliza kuonana na mwenzake saa3 usiku kisha mwenzie akaondoka saa 7 usiku tumwambieje na yeye?? Kifo ni siri ya mtu na haswa kipindi hiki Cardiac arrest ipo kwa kila rika. Mshipa mkuu wa damu ukipasuka ghafula unahitaji sekunde kidogo wala si dakika. Hakuna awezaye kuita mtu wa karibu. Acheni kumghasi mjane wa watu. Kama ni mazuri muombe Mungu na weye ufiwe hata na ambaye amekuwa akikuomba talaka uone uchungu wake. Let him R.I.P
 
ndiyo

na ndiye aliyemtafutia hiyo kazi hapo tra

na birthday yake mke alimpa zawadi ya gari mpya huyo mtiaraei...infact wanapendana kama njiwa
Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
 
Hakuna msiba ambao unatokea kwa njia ya kufurahisha...hivyo kama unahisi kifo hiki kina utata usioacha shaka na kwamba una ushahidi basi peleka kwenye mamlaka zinazohusika, ila ikiwa unachagiza msiba kuzidisha machungu kwa familia ya marehemu basi nakushauri uwe muungwana kuwaacha wafiwa waomboleze na kumsetiri marehemu.
 
Weeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia
unaonekana unajua chanzo ,njoo kituo Cha polisi
 
Back
Top Bottom