Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
Mjane ni wa kaskazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jibu ni ndiyo...itakua mwanamke walimsema kwenye kikao Cha familia walivokutana kwao Moshi kua achangamke achukue chake mapemaMkewe ni mchaga?? Jibu likiwa ndiyo, Kuna jambo nataka kulieleza
Aahhhhaa...mchaga tulia dawa iwaingieUshaanza upumbavu wako
Laana Nyie
Wapare Apo tutoe...tunajiheshimuOngeza wasambaa na wapare ni noma.
Kwendaa huko mnajiheshimu wakat mnapigwa pumbu balaa huku mtaaniWapare Apo tutoe...tunajiheshimu
kuna mwanamke nilikua naishi naye ni mrembo haswa ila kila siku nikawa naumwa tumbo yani afya haikuwa stable kabisa baada ya kugombana alivyoondoka afya yangu ikalejea na magonjwa ya tumbo nimepona sasa sijui alikua ananilisha takataka gani mchaga yuleWanaume tuoe tu lakini hawa wenzetu sio kabisa. Kukuua kwa ajili ya mali ,kwao ni jambo la kawaida sana.
Binafsi nikipewa mpare na fungu la nyanya ntachagua fungu la nyanya nikapikie! Wapare ni nyoko!Wapare Apo tutoe...tunajiheshimu
La p*mb* hilo wako vizuri,ila sijawahi kusikia wanauaua.Kwendaa huko mnajiheshimu wakat mnapigwa pumbu balaa huku mtaani
Kuandika sababu haina maana wamefanya uchunguzi. Kuna watu wengi wanafariki lakini hakuna uchunguzi unaofanywa.Kwenye cheti cha kifo huwa wana andika sababu ya kifo. Hivyo kunakuwaga na uchunguzi.
Ushaanza upumbavu wako
Laana Nyie
Huyo lazma itakuwa ndo walewale wa upande ule[emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee..... na keshaseti mamluki wa kumcover humu wanatema povu balaa
Hiyo si sababu..hata .wachaga kwa Wachaga wanauana kisa mali..Mnaambiwa kila siku oeni kwenu mnarusha rusha matako around...
Haya sasa,unaenda kuoa watu who do not look like you kumbe culture na DNA ndio kila kitu,leo limetokea la kutokea mnaanza kulia lia...
Mtajijua bwana!
Ongeza wasambaa na wapare ni noma.
Mjane ni wa kaskazini
Binafsi nikipewa mpare na fungu la nyanya ntachagua fungu la nyanya nikapikie! Wapare ni nyoko!
Yaani sina hamu na wanawake wa kipare. Kuna ndugu yangu alikuwa ndiyo nguzo ya familia yao akaoa mpare. Yule mwanamke akawa na hawara akawa anamtesa sana ndugu yetu. Ndugu yetu alikuwa na cheo Kikubwa sana IDM Mzumbe akawa ametoka mkutano AICC Arusha kufika home akala chakula kesho yake hakuamka. Cha kusikitisha hata 40 haikuisha yule mwanamke akamleta yule hawara ndani Yaani nyumba aliyojenga ndugu yetu. Akaanza kutawanya watoto kupeleka upareni kwa wazazi na the only son aliishia kuishi maisha mabovu na bangi juu. Cha kustaajabisha siku ya mazishi hakulala msibani na alipoondoka hakurudi tena na alirudi baada ya zaidi ya miaka 20 akaomba akaonyeshwe kaburi la Marehemu mumewe akaomba hapo maana eti huwa anamtokea usiku. Yaani hii ni laana.Binafsi nikipewa mpare na fungu la nyanya ntachagua fungu la nyanya nikapikie! Wapare ni nyoko!
Kwahyo kuwa mchaga mlitaka mumewe asife?ndiyo
na ndiye aliyemtafutia hiyo kazi hapo tra
na birthday yake mke alimpa zawadi ya gari mpya huyo mtiaraei...infact wanapendana kama njiwa
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza bwana, hafu Kuna watu wanatembea na kufanya kila kitu Ila sio wazima kiafyaWeeee sio mchaga ni mgogo mwenzake, kila MTU yuko kivyake mpaka anakufa mama analala ghrofani baba analala chini, wangekuwa wanalala wrote kama nibheart attacks bangemsaidia