- Thread starter
- #381
Wapi palipoandikwa
kitabu kitakatifu Biblia, Zaburi 90:10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi palipoandikwa
Tofauti ya kujua na kuamini ni ipi?Yup....we are open-minded, rational, and reasonable!
Mimi naona atheists ni bora mara mia kuliko theists.
Walau atheists wanatumia akili/ mantiki katika kupinga uwepo wa mungu.
Theists wao ni mwendo wa hisia na mambo ya kufikirika tu. Matumizi yao ya akili ni kidogo sana. Wengine hata tofauti ya kujua na kuamini hawaijui.
Kuamini ni kupi na kujua ni kupi?Sitaki kuamini, nataka kujua.
Kuamini ni kukubali bila uchunguzi.Kuamini ni kupi na kujua ni kupi?
Kwahiyo vyote ambavyo watu tunavijua ni vile ambavyo tumevifanyia uchunguzi ?Kuamini ni kukubali bila uchunguzi.
Kujua ni kukubali kitu baada ya uchunguzi fanaka wenye marudio ya kimantiki.
Unaweza kutoa mfano?Kwahiyo vyote ambavyo watu tunavijua ni vile ambavyo tumevifanyia uchunguzi ?
mungu yupi unayemsema ndugu ?Yeyote asemaye kwamba kifo hakipangwi na Mungu basi mtu huyo hana Mungu na wala hamjui Mungu. Kwa kifupi no kwamba Mungu ndiye mwenye kutoa uhai na kuhuisha
Yeyote asemaye kwamba kifo hakipangwi na Mungu basi mtu huyo hana Mungu na wala hamjui Mungu. Kwa kifupi no kwamba Mungu ndiye mwenye kutoa uhai na kuhuisha
Swala la mungu yupi nalo mjadala wake si wa kitoto.mungu yupi unayemsema ndugu ?
kwa hiyo shetani na mungu wote ni wauaji ?kufa ni mapenzi ya mungu hasa kifo cha maut likin kunywa sumu shetan huyo
CjakuelewaNimesikiliza watu wengi mtu akifa wanasema "Mungu amepanga". Uongo huu umepita kizazi hata kizazi ili tufarijike katiba misiba.
Ukweli ni huu, Mungu hapangi kifo cha mtu chini ya miaka 70. Mtu anayekufa akiwa na miaka zaidi ya 70 ni mapenzi ya Mungu.
Mungu hana kitabu ameandika aina ya kifo cha mtu chini ya miaka 70. Watu wanakufa kutokana na aina ya maisha wanayo ishi, mazingira wanayoishi na imani za kishetani.
Ndio nataka kuelewa vizuri,hivyo vile tunavyo vijua kwa maelezo yako ni vile ambavyo tumevifanyia uchunguzi fanaka wenye mantiki?kwa maana hiyo kinyume na hivyo huko si kujua?Unaweza kutoa mfano?
Pia, sijaishia kwenye uchunguzi tu, nimeandika uchunguzi fanaka wenye mantiki marudio.
Kwann sasa mungu amuache shetani akiua watu wake? Au shetan ana nguvu na uwezo kulko mungu?Aliesababisha kifo kwa mwanadam ni shetani na mtawala wa dunia kwa sasa ni shetani baada ya kufukuzwa mbinguni naamini kuwa anuwezo wa kuua.Mungu alimwambia mjaribu lakini usiguse maisha yake (Ayubu)
kwe kwe kwe kwe.....kwa hiyo shetani na mungu wote ni wauaji ?
hebu fikiria vizuri ulichokiandika maana ulichokiandika kinanifanya nimfikirie vibaya mungu wako...!Yeyote asemaye kwamba kifo hakipangwi na Mungu basi mtu huyo hana Mungu na wala hamjui Mungu. Kwa kifupi no kwamba Mungu ndiye mwenye kutoa uhai na kuhuisha
Cjakuelewa
kufa ni mapenzi ya mungu hasa kifo cha maut likin kunywa sumu shetan huyo