Kifo hakipangwi na Mungu

Kifo hakipangwi na Mungu

pola sana, ok kwa kifupi ukisoma nilichoandika hapo awali ni hivi, mapenzi ya Mungu kwako na kwangu ni kuishi miaka 70 na zaidi ndio tufe. Lakini ukifa chini ya miaka 70 sio mapenzi ya Mwenyenzi Mungu. Vifo vinavyo tokea chini ya miaka 70 vinasababishwa na watu na mazingila yao na uzembe wao na ujinga wao wa kupenda utajili na madaraka na imani za kishetani.
Mkuu naomba References tafadhal ili uweze kunshawish mana hk n ktu kipya kwangu
 
pola sana, ok kwa kifupi ukisoma nilichoandika hapo awali ni hivi, mapenzi ya Mungu kwako na kwangu ni kuishi miaka 70 na zaidi ndio tufe. Lakini ukifa chini ya miaka 70 sio mapenzi ya Mwenyenzi Mungu. Vifo vinavyo tokea chini ya miaka 70 vinasababishwa na watu na mazingila yao na uzembe wao na ujinga wao wa kupenda utajili na madaraka na imani za kishetani.
I think hapa mnajisemea tu. Lakini hakuna maandiko kusadikisha hii...
 
Na kama kwa Mungu hakuna kifo kwa mini watu , wanyama na viumbe vinginevyo hufa na kutowrka kabisa? na he huwa wanaenda wapi.Mwenye akili timamu na kujua uweza wa Mungu lazima atafakari hili.
 
Naomba jiulize .Je Adam na Eva na wote waliotangulia kwa Muumba wamekufa kimakosa?

Na kama kwa Mungu hakuna kifo kwa mini watu , wanyama na viumbe vinginevyo hufa na kutowrka kabisa? na he huwa wanaenda wapi.Mwenye akili timamu na kujua uweza wa Mungu lazima atafakari hili.

Hivi wewe unasoma yanayoandikwa au unaandika tu vitu? Hivi unajua ni mada gani tunadiscuss hapa? Unaonekana wewe ni mtu wa kukurupuka tu, hebu tulia na soma mada hii ili uelewe.
 
Kiukweli ninavojua mimi kifo hakipangwi na mungu!! Kwanza kabisa tunatakiwa kujua kusudi la mungu hapo awali lilikuwa tuje kuish dunian milele,siku zote yeye anaupendo hvyo hawezi kusababisha kifo!!na inabidi tutambue kwamba mtawala wa sasa katika dunia ni ibirisi shetani!! Ndio maana kuna vita,njaa matatizo na magonjwa!! Mungu ameweka wakati ambao atamfunga shetani miaka 1000...!!!nisiende mbali sana hebu chukua mfano mmoja kama deleva wa gari ameambiwa kupakia mwisho tani 10 yeye akazidisha mzgo na akapata ajari inayopelekea kifo chake je kifo hicho kitakuwa mpango wa nan!!?.....mungu anauwezo wa kuzuia yote haya lakin kwa sababu dhambi ya adam na hawa ilitendeka na wote tutakufa!! Ila sio kwamba anaetuua ni yeye!!! Kama umri wako wa kufa ukifika unakufa!! Bali wanaokufa kabla ya umri uliopangwa na mungu vifo hivyo havijasababishwa na yeye
Sema "UNAVYOAMINI"! Sio useme"UNAVYOJUA"
 
Mtumishi. Mimi Niungane na Wewe Hasa Mistari Ya Mwisho, Niukweli Kabisa, Asili Ya Vifo ni Ukiukwaji wa Amri za Mungu.

Maana Mungu Anasema Ukizitenda Amri Zake Utaishi, Na Siku Zako Zitaongezwa Yaani Kuishi Maisha Marefu.

Vifo Vimekuwa Vingi Kutokana Na Mabadiliko Ya Tabia, Hasa Kumwasi Mungu, na Kutokwenda Kwenye Sheria Yake.

Magonjwa Yameongezeka. Vifo Vimekuwa Vingi, Vijana Wadogo Wanakufa. Na Mungu Ameweka Kikomo Cha Umri wa Mwanadamu Kuwa ni Miaka 120 Japo Daudi Kutokana na Majaribu Akakata Tamaa Na Kusema Mwiso Wake Ni Miaka 70 lakini Miaka Ya Mungu Ipo Pale Pale 120.


Kuna wale watoto wachanga wnaokufa mara tu baada ya kuzaliwa, je nao huwa wamemkosea nn huyo mungu.?
 
Mfano akishindwa kuthibitisha je,ndio itakuwa ushahidi wa kuwa hakuna mungu?

Umekurupukia swali ambalo hujaulizwa wewe

Haya thibitisha sasa uwepo wa Mungu wako

Kama huna uthibitisho wowote,kwanini unataka waungwana nao waamini usichokijua?
 
Umekurupukia swali ambalo hujaulizwa wewe

Haya thibitisha sasa uwepo wa Mungu wako

Kama huna uthibitisho wowote,kwanini unataka waungwana nao waamini usichokijua?
Wapi nimesema sina uthibitisho wowote?
Tatizo unajiona una akili sana, hebu itumie basi hiyo akili.
 
Kiukweli ninavojua mimi kifo hakipangwi na mungu!! Kwanza kabisa tunatakiwa kujua kusudi la mungu hapo awali lilikuwa tuje kuish dunian milele,siku zote yeye anaupendo hvyo hawezi kusababisha kifo!!na inabidi tutambue kwamba mtawala wa sasa katika dunia ni ibirisi shetani!! Ndio maana kuna vita,njaa matatizo na magonjwa!! Mungu ameweka wakati ambao atamfunga shetani miaka 1000...!!!nisiende mbali sana hebu chukua mfano mmoja kama deleva wa gari ameambiwa kupakia mwisho tani 10 yeye akazidisha mzgo na akapata ajari inayopelekea kifo chake je kifo hicho kitakuwa mpango wa nan!!?.....mungu anauwezo wa kuzuia yote haya lakin kwa sababu dhambi ya adam na hawa ilitendeka na wote tutakufa!! Ila sio kwamba anaetuua ni yeye!!! Kama umri wako wa kufa ukifika unakufa!! Bali wanaokufa kabla ya umri uliopangwa na mungu vifo hivyo havijasababishwa na yeye
Mkuu yaani hii hoja yako inanifanya nijiuluze maswali mengi ambayo Mara atheists huwa wanauliza. Ebu ipotie tena hoja yako.
 
Back
Top Bottom