Kifo hakipangwi na Mungu

Kifo hakipangwi na Mungu

Umesema unaamini kwamba mungu yupo kwa experience, ni experience gani hiyo inayokufanya uamini kwa mantiki?

Hujaitaja.

Mimi nishaeleza kwamba mungu wenu huyu muumba vyote, mwenye ujuzi wote, uwezo wote na uoendo wote hawezi kuwepo.

Kwa sababu anajipinga yeye mwenyewe (the idea) kuwepo kabla mimi sijampinga.
Hata nikikutajia experience yangu utaikataa. Utasema sina shukrani kwa walionisaidia.
Kila siku watu humu wanatoa uzoefu wao kuhusu Mungu mnakataa.
Sidhani kama nitakuwa na jipya.
 
Mungu unayemuamini wewe ni yupi?

Kitu gani specifically - a vague answer like "experience" is insufficient I am afraid, I want to examine specifics- kinakufanya uamini kwamba yupo na si hadithi tu?
Okay. Uumbaji wa mwanadamu kuanzia mbegu mpaka mtoto anapokamilika. Mungu anahusika.
 
Hata nikikutajia experience yangu utaikataa. Utasema sina shukrani kwa walionisaidia.
Kila siku watu humu wanatoa uzoefu wao kuhusu Mungu mnakataa.
Sidhani kama nitakuwa na jipya.
Of course huwezi kutupa details zichambuliwe.

Kwa sababu unaona experience yako haiwezi kusimama kwenye test of reason and logic.

Unaruhusiwa kuamini chochote unachotaka.

Ukianza kuhubiri tu imani yako kwamba ni ukweli na si wishful thinking unatoa kibali cha kuwa challenged.
 
Okay. Uumbaji wa mwanadamu kuanzia mbegu mpaka mtoto anapokamilika. Mungu anahusika.

Hujaeleza anahusikaje.

Kwa nini ni mungu.

Kwa nini ni mungu tu, na si kingine chochote.

Watoto wengi sana wanakufa kabla ya kuzaliwa.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote awanyime hawa nafasi ya kuishi wakati mungu huyu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote na angeweza kuwapa nafasi ya kuishi bila kupungukiwa chochote?
 
Hujaeleza anahusikaje.

Kwa nini ni mungu.

Kwa nini ni mungu tu, na si kingine chochote.

Watoto wengi sana wanakufa kabla ya kuzaliwa.

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote awanyime hawa nafasi ya kuishi wakati mungu huyu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote na angeweza kuwapa nafasi ya kuishi bila kupungukiwa chochote?
Hahaha...nilijua kutakuwa na mvua ya maswali.

Kwanza sijasema ni Mungu tu anahusika.

It's not all up to God and definitely not all up to us. Everyone has a role to play.

Sasa mtu akipata ujauzito akanywa mipombe au akapigwa, huyo mtoto atakuwa salama kweli? Utasema Mungu kamuua?

Nature, fate vina role pia
 
Hahaha...nilijua kutakuwa na mvua ya maswali.

Kwanza sijasema ni Mungu tu anahusika.

It's not all up to God and definitely not all up to us. Everyone has a role to play.

Sasa mtu akipata ujauzito akanywa mipombe au akapigwa, huyo mtoto atakuwa salama kweli? Utasema Mungu kamuua?

Nature, fate vina role pia
Hujaelewa swali.

Swali ulilojibu si nililouliza.

Kabla watu kuwapo, alikuwapo mungu. Kwa mujibu wenu.

Swali langu linahusika na misimgi ya ulimwengu ilivyowekwa kabla ya watu kuwapo, huwezi kuwalaumu watu kwa matendo yao wakati mungu ndiye katia mipaka ya kipi kinawezekana na kipi hakiwezekani.

Pia, mnayemsema mungu anayeacha mabaya yatokee kwa watoto kwa sababu ya makosa ya wazazi, wakati ana uwezo wa kuzuia hayo, ni mungu kweli huyu? Ana upendo kweli huyu?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao watoto wasio na hatia hawawezi kufa kwa ulevi wa mama zao?

Better yet, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao ulevi hauwezekani?

Hakuweza kuumba ulimwengu huo?

Au aliweza hakutaka tu?

Kama hakuweza, ni kweli ana uwezo wote?

Kama aliweza, ila hakutaka tu, ni kweli ana upendo wote?
 
Hujaelewa swali.

Swali ulilojibu si nililouliza.

Kabla watu kuwapo, alikuwapo mungu. Kwa mujibu wenu.

Swali langu linahusika na misimgi ya ulimwengu ilivyowekwa kabla ya watu kuwapo, huwezi kuwalaumu watu kwa matendo yao wakati mungu ndiye katia mipaka ya kipi kinawezekana na kipi hakiwezekani.

Pia, mnayemsema mungu anayeacha mabaya yatokee kwa watoto kwa sababu ya makosa ya wazazi, wakati ana uwezo wa kuzuia hayo, ni mungu kweli huyu? Ana upendo kweli huyu?

Kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote hakuumba ulimwengu ambao watoto wasio na hatia hawawezi kufa kwa ulevi wa mama zao?

Better yet, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao ulevi hauwezekani?

Hakuweza kuumba ulimwengu huo?

Au aliweza hakutaka tu?

Kama hakuweza, ni kweli ana uwezo wote?

Kama aliweza, ila hakutaka tu, ni kweli ana upendo wote?
Mbona nimekujibu?

Sasa wewe ulitaka watu waishi ishi watakavyo na kukiuka kanuni za maisha alafu waje kumlaumu Mungu?

Kuna kitu kinaitwa utashi. Mungu katupa utashi wa kuamua kutenda jema au baya. Kila utakachofanya kina consequences
 
Mbona nimekujibu?

Sasa wewe ulitaka watu waishi ishi watakavyo na kukiuka kanuni za maisha alafu waje kumlaumu Mungu?

Kuna kitu kinaitwa utashi. Mungu katupa utashi wa kuamua kutenda jema au baya. Kila utakachofanya kina consequences
Unaongelea watu.

Swali langu halihusu watu, linahusu mungu kama mnavyodai alivyouumba ulimwengu, kabla watu hawajakuwapo.

Kwa nini aliumba ulimwengu ambao mtoto asiye hatia anaweza kufa kwa makosa ya mama yake wakati ambapo mungu huyu angeweza kuumba ulimwengu ambao mtoto asiye na hatia hawezi kufariki kwa makosa ya mama yake?

Hujajibu swali hili, kama hata umelielewa.
 
Unaongelea watu.

Swali langu halihusu watu, linahusu mungu kama mnavyodai alivyouumba ulimwengu, kabla watu hawajakuwapo.

Kwa nini aliumba ulimwengu ambao mtoto asiye hatia anaweza kufa kwa makosa ya mama yake wakati ambapo mungu huyu angeweza kuumba ulimwengu ambao mtoto asiye na hatia hawezi kufariki kwa makosa ya mama yake?

Hujajibu swali hili, kama hata umelielewa.
Nimekujibu lakini hutaki kuliona jibu langu.

Nimekwambia it's not all up to God, sisi wenyewe tuna role yetu ya kuplay.

That's what it is. Kama hutaki siwezi kukulazimisha.
 
Nimekujibu lakini hutaki kuliona jibu langu.

Nimekwambia it's not all up to God, sisi wenyewe tuna role yetu ya kuplay.

That's what it is. Kama hutaki siwezi kukulazimisha.
Nimekuuliza habari ya mungu alivyopanga, kabla watu hawajaumbwa.

Kwa nini mungu alipanga hivi na si vingine.

Utasemaje it is not up to god?

Una maana mungu hakuumba ulimwengu?

Kama aliumba, utasemaje kanuni alizotumia kuumba ulimwengu hatuwezi kuuliza kwa nini kaumba hivi na si vile?
 
Kwani imani ni nini?

Mungu sio physical mpaka useme umemuona au kumgusa. Lakini kupitia imani anajidhihirisha kwetu na tunamjua.

Wewe unaamini au unajua kuwa kuna sayari inayoitwa Jupiter?

Hayo chini ndo maswali niliyokuuliza.

Hujajibu hata moja!

Ngoja nijaribu tena:

1]Kama huyo mungu tayari una tajiriba/ uzoefu naye, iweje tena uamini kwamba yupo?

2]Sasa kama yupo kweli [kwa mujibu wa hiyo tajiriba/ uzoefu wako kwake na kwa maisha ya wengine], kwa nini unaamini, na si kujua, kwamba yupo?

3]Vilivyopo huwa vinaaminika au huwa vinajulikana kuwa vipo?

4]Au hayo maneno 'kuamini na kujua' huwa yanatumika interchangeably?
 
Hayo chini ndo maswali niliyokuuliza.

Hujajibu hata moja!

Ngoja nijaribu tena:

1]Kama huyo mungu tayari una tajiriba/ uzoefu naye, iweje tena uamini kwamba yupo?

2]Sasa kama yupo kweli [kwa mujibu wa hiyo tajiriba/ uzoefu wako kwake na kwa maisha ya wengine], kwa nini unaamini, na si kujua, kwamba yupo?

3]Vilivyopo huwa vinaaminika au huwa vinajulikana kuwa vipo?

4]Au hayo maneno 'kuamini na kujua' huwa yanatumika interchangeably?
Ngoja nitarudi
 
Nimekuuliza habari ya mungu alivyopanga, kabla watu hawajaumbwa.

Kwa nini mungu alipanga hivi na si vingine.

Utasemaje it is not up to god?

Una maana mungu hakuumba ulimwengu?

Kama aliumba, utasemaje kanuni alizotumia kuumba ulimwengu hatuwezi kuuliza kwa nini kaumba hivi na si vile?
Nitarudi
 
Kama atheists hawawezi kuchambua yale yanye kuwafanya watu waamini mungu na kueleza ukweli ni upi basi kinachoendelea humu ni kelele tupu.
 
Back
Top Bottom