Kifo kinaonekana kabla hakijatokea, hakuna kifo cha ghafla

Kifo kinaonekana kabla hakijatokea, hakuna kifo cha ghafla

Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.


Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Sawa bwana iZraeli! Tunakusubiri utupe muongozo wa kukikwepa kifo
 
Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.


Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Type dalili za kifo cha dida
 
Jambo ambalo ameandika mtoa mada lipo hivi.

Ukiwa unasikiliza Sana na unjisikiliza Sana kuna uwezekano wa kujua muda wako Kuwa umeisha hapo

Hii sio katika kifo tu hata katika miasha ya kawaida.

Ukiwa unaruhusu kujisikilza waweza kujua mambo ambayo yatatokea mbele

Inaweza kuwa intuitive ,instinct n.k.
 
Mtu anayeona dalili ya kufa ni yule anayeumwa sana, tofauti na hapo.... haiwezekani.

Zaidi ni kwamba watu wataokota visa vya mambo flani ya kugusa aliyofanya marehemu muda mchache kabla ya kufa.
Mfano ile hotuba ya maghufuli ya 'mtanikumbuka'? ilivyochukuliwa na watu baada ya kifo chake.

Au labda flani alikuwa anakudai pesa kwa muda mrefu, ukafa punde baada ya kumlipa... wengi watasema ulijua kuhusu kifo chako.

Kitaalamu wanaita 'confirmation bias'.
Uncle hata magufuli alijua nini kifuatacho kwa taarifa yako.

Uliza wandewa!… Walimkalia kooni mpaka akawa anaogopa kukaa ofisini, just imagine ofisi ya Rais inaogopwa na yeye mwenyewe Rais akakimbilia zake chato 😂
 
Jambo ambalo ameandika mtoa mada lipo hivi.

Ukiwa unasikiliza Sana na unjisikiliza Sana kuna uwezekano wa kujua muda wako Kuwa umeisha hapo

Hii sio katika kifo tu hata katika miasha ya kawaida.

Ukiwa unaruhusu kujisikilza waweza kujua mambo ambayo yatatokea mbele

Inaweza kuwa intuitive ,instinct n.k.
Nimewahi kupata majibu kwa namna hii, ni kweli kabsa, japo ina ugumu kiasi
 
Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.


Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Ukija kutoa hizo dalili naomba unitag..
 
Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.


Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
maandalizi tena jamani wagosi
bodaboda watafanya maandalizi sangapi jamani?
au mimi sijaelewa?
aa weee acha urongo urongo pita kule kinguchiro nguchiro
 
Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.


Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Mimi Bibi Yenu hebu fika huku utupe darasa kidogo
 
Back
Top Bottom