Kifo kinaonekana kabla hakijatokea, hakuna kifo cha ghafla

Kifo kinaonekana kabla hakijatokea, hakuna kifo cha ghafla

Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.


Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Sawa...
Hata AKWILINA, KANUMBA hawakufa ghafla...?
Mtu mwenye ugonjwa mkubwa, na mtu mwenye umri mkubwa sana (70+), hao ndiyo wanaweza kuona kifo kimewadia sasa.
 
Mtu anayeona dalili ya kufa ni yule anayeumwa sana, tofauti na hapo.... haiwezekani.

Zaidi ni kwamba watu wataokota visa vya mambo flani ya kugusa aliyofanya marehemu muda mchache kabla ya kufa.
Mfano ile hotuba ya maghufuli ya 'mtanikumbuka'? ilivyochukuliwa na watu baada ya kifo chake.

Au labda flani alikuwa anakudai pesa kwa muda mrefu, ukafa punde baada ya kumlipa... wengi watasema ulijua kuhusu kifo chako.

Kitaalamu wanaita 'confirmation bias'.
Mtaalam wa maswala ya bias....ebu tudokeze hapo kidogo
 
Hahaha watu wanaogopa kufa hatari, ijapokuwa kila mtu anajua atakufa lakini bado tunaogopaaa
 
Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafla.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.

Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema.
usitishe watu,kifo ni kama bao la mimba hujui limeingia saa ngapi!ila ke Kuna muda kama anajua siku zake atakupa tahadhali ila pia hakuna uhakika
 
Jambo lolote kabla halijafanyika/halitatimia/tokea katika ulimwengu wa MWILI huanza kwanza kutokea/kutimia/kufanyika katika ulimwengu wa ROHO.Yani mfano mwangwi wa sauti husikika baada ya sauti kwanza kusikika ndio baadae unafuatia mwangwi.
Muda hutofautiana toka jambo lilipotokea katika ulimwengu wa Roho mpaka kuja kutokea katika ulimwengu wa Mwili(inaweza kuwa siku,majuma kadhaa n.k)
Njia moja wapo ya mwanadamu kupata taarifa ya yale yanayotokea katika ulimwengu wa Roho ni kupitia ndoto mtu anazoota.Ndoto zote binadamu anazoota ni matukio halisi yanayotokea katika ulimwengu wa Roho ,tafuta sana kujua maana ya ndoto zote unazoota,usipuuze ndoto yoyote.Ndoto zote zina maana .Ya mambo yatakayokutokea ,au yaliyokwishatokea.TAARIFA hizi unazozipata kwenye ndoto ukizifanyia kazi kwa kuombewa na watumishi wa Mungu unaweza kubatilisha ku reverse madhara waliyokusudia uyapate adui zako hasa ufalme wa giza(wachawi,mizimu,waganga wa kienyeji,roho za mauti ,mapepo,majini)
njia nyingine taarifa zinaweza za kitu kibaya au hatari,ni kwa roho au nafsi yako kujisikia vibaya ,huzuni,kukosa amani,kuchukia au kukataa,au kusikia kabisa sauti inakusemesha ndani yako juu ya hatari fulani,au inakukataza jambo fulani la hatari,au inakutahadharisha .

DAWA SULUHISHO
Ukisikia dalili hizo au ukiota ndoto hizo,ni kusali kuomba rehema,neema kwa YESU kristo ndiye pekee anayeweza kukuokoa hata katikati ya mateso,hasa kama mateso yanasababishwa na ufalme wa giza na si mapenzi ya Mungu yakupate hayo.YESU anaweza kukuokoa kutoka nguvu za giza.
 
Anza na dalili zako ili ukitangulia nasi tuprove nadharia yako kama ulivyosema kwwa mwandishi wa mawingu
Gadner alionyesha dalili ni kweli itafute clip aliyokuwa na shehe kipoozeo akiutaja mwaka 2024 kwamba una mambo mengi mbele ila hauelewi huku anacheka.
 
Back
Top Bottom