Kifo kinaonekana kabla hakijatokea, hakuna kifo cha ghafla

Kifo kinaonekana kabla hakijatokea, hakuna kifo cha ghafla

Hujaelewa, siri ya kifo hutoijua. Ila Siku ya Kufa ikifika lazima ujue tu.
ni uongo mkubwa kusema kuwa siku ya kufa lazma ujue,hakuna aliye experience hili jambo na akaja kusema nlipotaka kufa nikajua hakuna kila mtu atakufa kivyake na chanzo cha kifo kinatofautiana,ajari,magonjwa,mauaji na kifo kisicho na sababu kipo.
 
Kuna mtu nashindwa kurudi nmtag...kazngumza kuhusu boda boda au gari kuacha njia likugonge iko hiviii
Kiuhalisia nafsi waga ina tabia ya kunusa au kujua jambo fulani kabla halijatokea
Ndo ile unakuta unataka kwenda pahali ila mwili na akili inagoma kabsa,inaweza ikawa hata dukani ajabu mwili utashikwa na hofu sana...ukishindana sana na hiyo hali matokeo yake ni alienda tu kuchukua vocha dukani

Kwa hiyo wazee ni kweli,dalili waga zinakuja kabla hujakata roho,yaani mhusika anafahamu nini kitatokea.
 
Kuna mtu nashindwa kurudi nmtag...kazngumza kuhusu boda boda au gari kuacha njia likugonge iko hiviii
Kiuhalisia nafsi waga ina tabia ya kunusa au kujua jambo fulani kabla halijatokea
Ndo ile unakuta unataka kwenda pahali ila mwili na akili inagoma kabsa,inaweza ikawa hata dukani ajabu mwili utashikwa na hofu sana...ukishindana sana na hiyo hali matokeo yake ni alienda tu kuchukua vocha dukani

Kwa hiyo wazee ni kweli,dalili waga zinakuja kabla hujakata roho,yaani mhusika anafahamu nini kitatokea.
kuna mtu alikwambia kuwa ukitaka kufa nafsi inahisi?mana mtu akifa harudi ww hii knowledge ulitoa wapi ili hali hujafa?
 
Mwaka 2006

Nilikuwa kijijini - bibi yangu she was at 45 years alikaa chini ya Mti wa kivuli cha mkahawa

Na akasema
Nikifa mali zangu zichukulie na MTU fulani

Kiufupi ali highlight mchakato mzima wa Mali zake na ugawanyaji

After two days aliondoka .

Kabla ya kufanya yote akikuwa yupo normal kiafya na kaiakili -Ila alikuawa anafanya Kama story na kila MTU alikuwa anachombeza

I was standard 03 but I'm still remember this scenario
 
Kuna mgonjwa aliniambia anasikia harufu ya kifo (sijui ikoje), nilimtia moyo kwamba atapona.. kama masaa 2 alikata moto. Hata hayati Rais JPM alimwambia mkuu wa majeshi kwamba atakufa,wampeleke kijijini kwa mama yake
 
Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafla.

Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.

Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.

Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.

Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema.
Ingekuwa ni hivyo hao wanaokata roho kabla hawajafa wangekua wanatoka baru balaa
 
kuna mtu alikwambia kuwa ukitaka kufa nafsi inahisi?mana mtu akifa harudi ww hii knowledge ulitoa wapi ili hali hujafa?
I mean mwili siku hiyo waga unahisia fulani nzito sana mzee....

Naomba nitoe mfano japo hauhusu kufa
Kuna siku nliamka tu nkawa tu na hofu,nakumbka nlimwambia mtu wangu tu
Nlikua na ofisi ya playstation ban mida yangu ya kufungua ilkuaga sa4-5 lakn siku hiyo nliamua kuchill sabu nafsi ilkua inahofu kana nimefanya tukio baya hivyo natafta...ilvyogka sa 6'-7 nkaenda kufungua ..saangp sjadakwa na maaskari-IGOGO nililala.

Hapo ndo nilitambua kuwa nafsi inatabia ya kutoa taarifa ya kile kinachoenda kuhappen sema waga tunapuuza.
 
Back
Top Bottom