JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Sawa bwana iZraeli! Tunakusubiri utupe muongozo wa kukikwepa kifoKutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.
Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.
Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.
Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.
Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Na Mimi kama mkuu wa kitengo cha makombora nyuki ya Masafa Marefuu,,,"Na Sema na Iwe Kama Ulivyonena"Ghafula ✖️
Ghafla ✔️
Mimi kama msemaji wa Iran kosa lako la kuharibu kiswahili Israel watawajibika juu ya hilo
Migo ni kifo tuKwa wale wanaokufa kwa ajali, nao wana dalili ambazo huonekana kabla ya vifo vyao?
Kwa mfano mimi mlevi nisiache kbs pombe bali nipunguze kutoka kunywa konyago ni deal na safari lager 5 tu kila siku c ndio?
😀😀Kwenye hayo mambo 10 hili la kuandika hapa JF ni la 9 JIPANGE...
Ukiufungua saa 6 usiku lazma ulale uvunguniUzi wa kuogopeshana.
Type dalili za kifo cha didaKutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.
Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.
Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.
Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.
Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Iweke kwa upana mkuuTruly one of the symptoms that ur day are numbered .
Ukianza kuogopa Sana changamoto -mwili huwa unaachia taratibu.
Uncle hata magufuli alijua nini kifuatacho kwa taarifa yako.Mtu anayeona dalili ya kufa ni yule anayeumwa sana, tofauti na hapo.... haiwezekani.
Zaidi ni kwamba watu wataokota visa vya mambo flani ya kugusa aliyofanya marehemu muda mchache kabla ya kufa.
Mfano ile hotuba ya maghufuli ya 'mtanikumbuka'? ilivyochukuliwa na watu baada ya kifo chake.
Au labda flani alikuwa anakudai pesa kwa muda mrefu, ukafa punde baada ya kumlipa... wengi watasema ulijua kuhusu kifo chako.
Kitaalamu wanaita 'confirmation bias'.
Mada ngumu hii, nawaachia nyie wakereketwa wa CCM.Uncle hata magufuli alijua nini kifuatacho kwa taarifa yako.
Uliza wandewa!… Walimkalia kooni mpaka akawa anaogopa kukaa ofisini, just imagine ofisi ya Rais inaogopwa na yeye mwenyewe Rais akakimbilia zake chato 😂
Nimewahi kupata majibu kwa namna hii, ni kweli kabsa, japo ina ugumu kiasiJambo ambalo ameandika mtoa mada lipo hivi.
Ukiwa unasikiliza Sana na unjisikiliza Sana kuna uwezekano wa kujua muda wako Kuwa umeisha hapo
Hii sio katika kifo tu hata katika miasha ya kawaida.
Ukiwa unaruhusu kujisikilza waweza kujua mambo ambayo yatatokea mbele
Inaweza kuwa intuitive ,instinct n.k.
Lucas Mwashambwa 😂Mada ngumu hii, nawaachia nyie wakereketwa wa CCM.
Ukija kutoa hizo dalili naomba unitag..Kutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.
Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.
Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.
Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.
Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
maandalizi tena jamani wagosiKutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.
Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.
Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.
Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.
Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .
Mimi Bibi Yenu hebu fika huku utupe darasa kidogoKutokuwa na uwezo wa kuwa intuitive ndo watu husema MTU Fulani amekufa ghafula.
Kama ilivyo dalili za wewe kuja duniani (kuzaliwa) ndivyo zilivyo dalili za kifo.
Mtangazaji aliyefariki alitoa dalili zote kuwa her days are numbered.
Na yule naodha wa jahazi wa mawingu the same alitoa dalili zote za kuaondoka.
Ntarudi kuelezea mambo kumi yatayokutokea kabla ya kifo chako ili ufanye maandalizi mapema .