Ni sahihi, duniani hakuna raha kamilifu. Furaha na raha kamilifu iko peponi (paradiso). Hii hupatika kwa kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi.Hapo awali nilidhani ukiwa na hali fulani ya maisha unaweza kuwa na furaha muda mwingi wa maisha yako. Ukweli mchungu!
Ili binadamu apate pumziko halisi kimwili na kiakili basi aishi sehemu tofauti na hii Dunia.
Haijalishi ni mtu wa hali ipi kimaisha wote tunadondokea kwenye mtumbwi mmoja.
Njia pekee ya kuepuka ni kifo tu na hapo ndipo unaweza tengana na vurugu za duniani.
Ni kama utafaulu kuingia peponi lakini. Vinginevyo ni tabu tuKifo ndio uhuru wa kweli,utanishangaza kama utapinga kuwa duniani hakuna uhuru...uhuru wa kweli upo kaburini
Pole mkuu.Hapo awali nilidhani ukiwa na hali fulani ya maisha unaweza kuwa na furaha muda mwingi wa maisha yako. Ukweli mchungu!
Ili binadamu apate pumziko halisi kimwili na kiakili basi aishi sehemu tofauti na hii Dunia.
Haijalishi ni mtu wa hali ipi kimaisha wote tunadondokea kwenye mtumbwi mmoja.
Njia pekee ya kuepuka ni kifo tu na hapo ndipo unaweza tengana na vurugu za duniani.
Kabrini hakuna kupumzika!!jitu liliishi duniani kwa kukandamiza watu alafu life heti linaenda kupumzika? sio kweliHapo awali nilidhani ukiwa na hali fulani ya maisha unaweza kuwa na furaha muda mwingi wa maisha yako. Ukweli mchungu!
Ili binadamu apate pumziko halisi kimwili na kiakili basi aishi sehemu tofauti na hii Dunia.
Haijalishi ni mtu wa hali ipi kimaisha wote tunadondokea kwenye mtumbwi mmoja.
Njia pekee ya kuepuka ni kifo tu na hapo ndipo unaweza tengana na vurugu za duniani.
Subiri roha hikutoke ufukiwe na tani 7 za kifusi hili ukaone uokovu wa Mungu wako yesu chezea kifoNi sahihi, duniani hakuna raha kamilifu. Furaha na raha kamilifu iko peponi (paradiso). Hii hupatika kwa kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi.
Kwa upande wa pili (kuzimu) kuna mateso na shida zaidi ya hapa duniani. Hivyo kila mmoja aitafute pepo kwa kuitumia neema iliyopo sasa (APOKEE WOKOVU), ili apate maisha ya raha atokapo kwenye hii dunia.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Una experience na huko? Unaandika kwa kujiamini kana kwamba ulishawahi kwenda ukaona na kurudi, dini zisiwapumbaze hakuna anayejua uhalisia nini kinaendelea baada ya kufa.Kabrini hakuna kupumzika!!jitu liliishi duniani kwa kukandamiza watu alafu life heti linaenda kupumzika? sio kweli
Vipi tena wewe unataka ukajirushe gorofa ya 14?Hapo awali nilidhani ukiwa na hali fulani ya maisha unaweza kuwa na furaha muda mwingi wa maisha yako. Ukweli mchungu!
Ili binadamu apate pumziko halisi kimwili na kiakili basi aishi sehemu tofauti na hii Dunia.
Haijalishi ni mtu wa hali ipi kimaisha wote tunadondokea kwenye mtumbwi mmoja.
Njia pekee ya kuepuka ni kifo tu na hapo ndipo unaweza tengana na vurugu za duniani.
huyu jamaa ana viashiria vya u-antinatalistThis thread has suicide ideation triggers.
Read at your own risk.