Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio hivyo sasa ila usiseme kifo ndio mapumzikoIngekuwapo option ya kubaki duniani wengi tungeifuata
Bora shida za hapa ukiwa na pesa kuliko shida za kuleNilichomaanisha ukitaka kuziepuka shida za Dunia hakuna chaguo zaidi ya kuihama dunia ila huko utakapokimbilia ndio mtihahani mwingine
Na kanisa ni mojaNi sahihi, duniani hakuna raha kamilifu. Furaha na raha kamilifu iko peponi (paradiso). Hii hupatika kwa kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi.
Kwa upande wa pili (kuzimu) kuna mateso na shida zaidi ya hapa duniani. Hivyo kila mmoja aitafute pepo kwa kuitumia neema iliyopo sasa (APOKEE WOKOVU), ili apate maisha ya raha atokapo kwenye hii dunia.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
naqubari.Haya mambo yanahitaji upole wa Hali ya juu
Nyakati zinapokuwa ngumu maishani basi binadamu hutafuta suluhisho la kudumuKuna siku nilikuwa nakwenda kazini, nikawa napita kwa rafiki yangu mmoja kumjulia hali.
Nikamkuta amelala kitandani amenyong'onyea.
Nikamuuliza vipi hali, mbona hivyo?
Akasema hajisikii vizuri.
Tukaongea mambo gani sijui, topic ikaenda kwenye kifo.
Nikawa nasema maneno kama haya ya kifo ni mapumziko, kidhahania sana.
Kesho yake nikapata habari yule kijana alijipiga risasi kwao.
Iliniuma sana, nikajiuliza sana kama yale mazungumzo yangu yalichangia maamuzi yake yale.
Toka siku hiyo, nakuwa muangalifu sana kufanya maongezi haya ambayo yanaweza kuwa na suicide ideation triggers yakawafanya watu wengine waone kujiua ni poa tu.
Wanasema kujiua hakufai kwa sababu ni suluhisho la kudumu kwa tatizo la kupita.Nyakati zinapokuwa ngumu maishani basi binadamu hutafuta suluhisho la kudumu
Husomagi neno la Mungu?Una experience na huko? Unaandika kwa kujiamini kana kwamba ulishawahi kwenda ukaona na kurudi, dini zisiwapumbaze hakuna anayejua uhalisia nini kinaendelea baada ya kufa.
Amina Baba MtumishiNi sahihi, duniani hakuna raha kamilifu. Furaha na raha kamilifu iko peponi (paradiso). Hii hupatika kwa kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi.
Kwa upande wa pili (kuzimu) kuna mateso na shida zaidi ya hapa duniani. Hivyo kila mmoja aitafute pepo kwa kuitumia neema iliyopo sasa (APOKEE WOKOVU), ili apate maisha ya raha atokapo kwenye hii dunia.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Kifo kipo Kila sehemu mkuu,Ndio Maana hakuna kijiji kisicho na Shamba la kuzikia wafu,labda kule kwa Wahindi ambako maiti huchomwa moto.Kifo ni Ibadan,kwetu huku kila wiki tunazika,ibilisi mtoa roho kaweka kiti kabisa Kanda yetu
factKifo ndio uhuru wa kweli,utanishangaza kama utapinga kuwa duniani hakuna uhuru...uhuru wa kweli upo kaburini
Nakazia.Maisha ya dunia si lolote si chochote ni upepo tu
Not at all, this thread has exposed a brutal truth that we need to accept to be stronger and wiser...This thread has suicide ideation triggers.
Read at your own risk.