Kifo ndiyo mapumziko

Kifo ndiyo mapumziko

Ayubu 14 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
² Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Maisha ya duniani ni mafupi sana, hata ungekaa miaka 90 au mia. Ni mafupi sana ukilinganisha na yale ya milele pamoja na Mungu. Amua kumkabidhi Bwana Yesu maisha yako leo.
Hapo kwenye mafupi malizia... "Na Matamu hasa ukiwa na pesa"
 
Hapo awali nilidhani ukiwa na hali fulani ya maisha unaweza kuwa na furaha muda mwingi wa maisha yako. Ukweli mchungu!

Ili binadamu apate pumziko halisi kimwili na kiakili basi aishi sehemu tofauti na hii Dunia.

Haijalishi ni mtu wa hali ipi kimaisha wote tunadondokea kwenye mtumbwi mmoja.

Njia pekee ya kuepuka ni kifo tu na hapo ndipo unaweza tengana na vurugu za duniani.
Kufa ni faida
 
Back
Top Bottom