Ayubu 14 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
² Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
Maisha ya duniani ni mafupi sana, hata ungekaa miaka 90 au mia. Ni mafupi sana ukilinganisha na yale ya milele pamoja na Mungu. Amua kumkabidhi Bwana Yesu maisha yako leo.