Kila siku watu wanakufa vifo vya ghafla. Sio kisa lemutuz na membe ndio uwaze mengine. Hata humu kuna watu imewakuta mtu umeongea naye jioni asubuhi hayupo na sio ajaliMbona hatuambiwi sababu ya kifo chake au covid 19 imerudi tena, maana kufa kupo Ila haraka haraka inastua sana
Katoka huko kaenda kukesha Wavuvi camp ndo amerudi nae ikawa RIP ๐ฅฒJana tu jioni yeye na akina Kinjekitile Ngombale Mwiru walikuwa msibani kwa Membe
Umewai kukesha wewKiukweli yatupasa tukeshe tukiomba kwa sababu hatujui siku wala saa ya kutwaliwa
RIP Le mutuz!
No, nilikuwa naonyesha tu kuwa mchana alikuwa kwenye maisha yake ya kawaida na msibani kwa Membe alikuwapo.Kwa iyo kinje anafuatia?
Mi mchimba chumvi tu, Niko nanjilinjii ๐๐Hamna mkuu ni alert tuu kujua mpo au laah ..
Maana mpo dasalamu nyie
Tupo pamoja karibu njia 4 hapaMi mchimba chumvi tu, Niko nanjilinjii ๐๐
Sorry bro๐, I thought uli nitakia mabayaAin't fucck!ng with you either!
Fuatilia mtiririko wa posts ujue nini kinaendelea badala ya kukurupuka tu.
Nipe no yako mkuu๐Tupo pamoja karibu njia 4 hapa
Sawa mkuuNipe no yako mkuu๐