Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Weka pichaWenye tunalala wenyewe kama nyoka je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka pichaWenye tunalala wenyewe kama nyoka je?
Hapa hapaTeam kataa ndoa tunakomenti wapi?
##kataandoa##
##ndoaniujambazi##
Weka picha ya nywele nyingiNilipita saluni kunyoa ili nipige picha. Kichwa kina nywele nyingi kuliko kifua, ila kichwa ni bei chee sana.
Nikauliza what's the reason, nikaambiwa ni mto Nile huo, inatakiwa tuunyoe kuanzia Jinja Uganda hadi Misri. Ambao hamkibebwa kwenye mbeleko msije kuniomba tafsiri.
Bujibuji Simba Nyamaume is the illest
Njooni kwanguWenye tunalala wenyewe kama nyoka je?
Za kutoka Jinga Uganda hadi Misri, Nile valley?Weka picha ya nywele nyingi
KiruZa kutoka Jinga Uganda hadi Misri, Nile valley?
Shule umemaliza?Njooni kwangu
NdioShule umemaliza?
Lini?Ndio
Poyeeeeesisi wenye kifua kama ganda la uji iko siku nasi tutafikiwa imani yangu ni kubwa juu ya hili
Weka picha tuone hicho kifua tajwasisi wenye kifua kama ganda la uji iko siku nasi tutafikiwa imani yangu ni kubwa juu ya hili
Mbona wewe hujaweka?Embu weka picha ya kifua cha mpenzi wako kwanza tuone
JanuaryLini?
Mimi mwanamke sa kifua cha mwanamke cha nini?Mbona wewe hujaweka?
Form 4 au darasa la 7?January
Nina kazi nacho mrembo😄Mimi mwanamke sa kifua cha mwanamke cha nini?
Kina mwemye maliNina kazi nacho mrembo😄
ChuoForm 4 au darasa la 7?