Kigamboni: Ndugulile tutakukumbuka kwa kuipigania ardhi yetu isiuzwe kwa mabeberu na akina Methew wa CHADEMA

Beberu mkubwa ni huyu mwanaharamu alieshindwa kwenye kura za maoni leo, kwa kitendo tu cha kumshinda Bashite, Tumjengee mnara wa kumbukumbu
 
Beberu mkubwa ni huyu mwanaharamu alieshindwa kwenye kura za maoni leo, kwa kitendo tu cha kumshinda Bashite, Tumjengee mnara wa kumbukumbu
Hahahaaaa....... Nimemkuta Pierre Liquid akiwa na furaha ya ajabu!
 
Alichosahau kwamba Waziri wa Ccm ni mkubwa kuliko diwani wa CDM...
 
Mchawi huaibika asubuhi
 
Ndungulile bye bye! Japo anaongoza kura za maoni akifika kwa jiwe atakatwa tu. Mbunge ajaye wa Kigamboni ni Makonda.
Vijana Wana tanaa hawaridhiki
Sijamtuma mtu kugonbea alisikika mh RAIS na kigamboni walielewa vyema kauli za viongozi wakuu wa chama na serikali pia, Asubiri Viti maalum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…